mafe_herbs

mafe_herbs Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from mafe_herbs, Business service, Makumbusho bus stand, Dar es Salaam.

Fertility tea (Fibroid/ womb tea)Bei: 20,000Inasaidia🌸 inaboresha na kuimalisha mfumo wa uzazi kwa mwanamke🌸inasaidia ku...
19/09/2023

Fertility tea
(Fibroid/ womb tea)

Bei: 20,000

Inasaidia
🌸 inaboresha na kuimalisha mfumo wa uzazi kwa mwanamke
🌸inasaidia kushika mimba
🌸inasaidia kubalance hormones
🌸 inarekebisha mfumo wa hedhi
🌸 inaimalisha mfuko wa uzazi (uterus)
🌸 inasaidia kupata ute wa uzazi (ovulation)
🌸 inasaidia kupevusha mayai ya uzazi

Jinsi ya kutumia
⚫️ kwa ajili ya kuimarisha uzazi
Tumia kila siku week moja kabla ya siku za hatari (ovulation) na endelea kutumia wakati wa siku za hatari

⚫️kwa ajili ya kubalance hormones
Tumia mara 3-5 kwa week

Kwa zote
Unatumia tea bag 1-4 kwa siku, unaweza weka kwenye maji ukaitunza kwenye fridge ukanywa ndani masaa 48

Angalizo
🌸 usitumie k**a uko period
🌸 usitumie k**a ni mjamzito

Zipo tea bags 30

Contact: 0754943471

Duka lipo makumbusho bus stand jengo lenye ATM ya CRDB na NMB floor ya kwanza room B10

Hemorrhoids tea(Chai ya bawasili)Bei: 20,000🌸inafaa kwa bawasili zote za nje na ndani🌸 inasaidia kupunguza maumivu🌸 inas...
19/09/2023

Hemorrhoids tea
(Chai ya bawasili)

Bei: 20,000

🌸inafaa kwa bawasili zote za nje na ndani
🌸 inasaidia kupunguza maumivu
🌸 inasaidia kuondoa shida ya kuvimba
🌸 inakausha michubuko

Jinsi ya kutumia
Unatumia teabag 1-2 kwa wakati mmoja , asubu na jioni

Contact: 0754943471

Duka lipo makumbusho bus stand jengo lenye ATM ya CRDB na NMB floor ya kwanza room B10

Dark knees and elbows strong whitening creamBei: 15,000Hii ni ya kutoa sugu magotini, kwenye viwiko vya mikono, vidoleni...
19/09/2023

Dark knees and elbows strong whitening cream

Bei: 15,000

Hii ni ya kutoa sugu magotini, kwenye viwiko vya mikono, vidoleni na sehemu nyingine zenye sugu

Jinsi ya kutumia
Unapaka asubuh na usiku/jioni baada ya kuoga/ kusafisha

Contact: 0754943471

Duka lipo makumbusho bus stand jengo lenye ATM ya CRDB na NMB floor ya kwanza room B10

Snow bleachBei: 15,000Hii ni kwaajili ya uso na mwili🌸inaondoa makovu (dark sports)🌸 inaboresha muundo wa ngozi🌸 inafany...
18/09/2023

Snow bleach

Bei: 15,000

Hii ni kwaajili ya uso na mwili

🌸inaondoa makovu (dark sports)
🌸 inaboresha muundo wa ngozi
🌸 inafanya ngozi kuwa nyororo (soft)
🌸 inang’arisha ngozi
🌸 inaondoa makovu ya chunusi, jua
🌸 inaondoa weusi bikini area na other sensitive areas k**a mapajani, makwapani, chini ya maziwa etc
🌸 inafanya ngozi kuglow
🌸 unaweza changanya na mafuta unayopaka mwilini

Jinsi ya kutumia
Unapaka asubuh na jioni/usiku baad ya kuoga

Contact: 0754943471

Duka lipo makumbusho bus stand jengo lenye ATM ya CRDB na NMB floor ya kwanza room B10

Fat blaster diet shake Bei: 25,000Hii ni mlo mbadala ( meal replacement product). Inasaidia yule anayetaka kuruka mlo fu...
18/09/2023

Fat blaster diet shake

Bei: 25,000

Hii ni mlo mbadala ( meal replacement product). Inasaidia yule anayetaka kuruka mlo fulani.

Iko na flavor ya french vanilla, strawberry na chocolate

Unaweza ukala badala ya mlo wa asubuh, mchana au jioni.

Mfano unataka uwe unakula mlo mmoja kwa siku unaamua uile asubuh na jioni alafu mchana unakula mlo wako wa kawaida.

Hii ukichanganya na slim green coffee inafanya kazi vizuri zaidi

Slim green coffee unatumia asubuh
Mchana unakula mlo wa kawaida
Usiku unatumia hii diet shake

Contact: 0754349471

Duka lipo makumbusho bus stand jengo lenye ATM ya CRDB na NMB floor ya kwanza room B10

Slim fit juiceBei : 20,000Hii unakunywa usiku baada ya kumaliza milo yako yote au kabla tu ya kulala ni tamu Iko na flav...
17/09/2023

Slim fit juice

Bei : 20,000

Hii unakunywa usiku baada ya kumaliza milo yako yote au kabla tu ya kulala ni tamu

Iko na flavor ya kiwi, pineapple na lemon

🌸 inakata appetite ya kula
🌸 inasaidia kupunguza mwili
🌸 ni antioxidant
🌸 inaboost metabolism
🌸 inaondoa kuvimbiwa
🌸 inang'arisha ngozi
🌸 ni tamu

Jinsi ya kutumia
Unatumia sachet moja kwa siku baada ya mli wa usiku au kabla tu ya kulala unaweza kunywa. Na maji ya moto au ya baridi

Mama anayenyonyesha anaweza tumia ila angalizo kuwe na chakula mbadala cha kumtosha mtoto, asitumie ambaye mtoto anategemea kunyonya kwa mama tu kupata chakula chake mana inakata hamu ya kula kwa mama

Zipo saches 10

Contact: 0754943471

Duka lipo makumbusho bus stand jengo lenye ATM ya CRDB na NMB floor ya kwanza room B10

Slim milk teaBei : 20,000Wale wanaompenda kupungua mwili ila hawapendi ladha mbaya hii ndo yako sasa, unapungua na ni ta...
17/09/2023

Slim milk tea

Bei : 20,000

Wale wanaompenda kupungua mwili ila hawapendi ladha mbaya hii ndo yako sasa, unapungua na ni tamu

🌸 inakata appetite ya kula
🌸 inasaidia kupunguza mwili
🌸 ni antioxidant
🌸 inaboost metabolism
🌸 inaondoa kuvimbiwa
🌸 inang'arisha ngozi

Jinsi ya kutumia
Unatumia sachet moja kwa siku kabla au baada ya chakula, unaweza kunywa. Na maji ya moto au ya baridi

Mama anayenyonyesha anaweza tumia ila angalizo kuwe na chakula mbadala cha kumtosha mtoto, asitumie ambaye mtoto anategemea kunyonya kwa mama tu kupata chakula chake mana inakata hamu ya kula kwa mama

Zipo saches 10

Contact: 0754943471

Duka lipo makumbusho bus stand jengo lenye ATM ya CRDB na NMB floor ya kwanza room B10

Men power energy coffeeBei: 25,000Hii ni nzuri sana kwa wanaume umetengenezwa na epimedium, maca, tongkat ali na gingsen...
17/09/2023

Men power energy coffee

Bei: 25,000

Hii ni nzuri sana kwa wanaume umetengenezwa na epimedium, maca, tongkat ali na gingseng mimea mizuri sana kwa ajili ya nguvu za kiume na afya ya uzazi kwa mwanaume

⚫️ inaongeza uwezo wa tendo
(Improve sexual performance)
⚫️inaboresha ubora wa manii (sperms)
⚫️inaongeza hamu ya tendo (libido)
⚫️ inasaidia kuondoa uchovu
⚫️ inasaidia kuondoa msongo wa mawazo (stress)
⚫️ inaongeza nguvu za kiume
⚫️ inahuisha mfumo wa mbegu za kiume
⚫️inasaidia kutanua na kimarisha mishipa ya uume kwa kuongeza msukumo wa damu eneo hilo
⚫️inasaidia mzunguko wa damu kuwa mzuri, ambapo hupelekea kuufanya mwili uwe imara na afya njema

Jinsi ya kutumia

Unatumia sachets mbili kwa siku

Ni nzuri sana kwa mwanaume yoyote kutumia hata k**a huna shida yoyote. Kunywa walau box moja kila miezi 6 kuuweka mwili wako katika kiwango cha juu

Zipo sachts 20

Contact: 0754943471

Duka lipo makumbusho bus stand jengo lenye ATM ya CRDB na NMB floor ya kwanza room B10

🍆🍌

Man & woman love teaBei: 20,000🌸inapromote metabolism 🌸inang'arisha ngozi🌸 inaondoa uchovu🌸 inaongeza uwezo wa tendo ( i...
17/09/2023

Man & woman love tea

Bei: 20,000

🌸inapromote metabolism
🌸inang'arisha ngozi
🌸 inaondoa uchovu
🌸 inaongeza uwezo wa tendo ( improve sexual performance)
🌸 inaboresha kazi za figo
🌸 inarejesha nguvu za kimwili
🌸 inaboresha kumbukumbu
🌸inaboresha mfumo wa hedhi kwa mwanamke
🌸inasaidia tatizo la upungufu wa damu
🌸inasaidia ugonjwa wa kukoma hedhi
🌸 inaboresha ubora wa usingizi
🌸 inazuia shida ya akili
🌸 inapunguza matukio ya moyo na mishipa ( cardiovascular)
🌸 inapunguza matukio ya shida za mishipa ya ubonge ( cerebrovascular)
🌸 inaondoa tatizo la hyperlipidemia

Jinsi ya kutumia

⚫️ unatumia tea bag 3 kwa siku unakunyaa k**a chai (maji ya moto)
⚫️ usiweke sukari. Unaweza ongezea asali, ndimu au limao
⚫️Tea bag moja unaitumia hadi ichuje kabisa, ikichuja maji hayabadiliki rangi

Angalizo

⚫️ asitumie mjamzito
⚫️ asitumia mama anayenyonyesha
⚫️ wasitumie watoto

Zipo tea bags 20

Contact: 0754943471

Duka lipo makumbusho bus stand jengo lenye ATM ya CRDB na NMB floor ya kwanza room B10

Curves coffeebei: 25,000🌸 inasaidia kusimamisha matiti🌸 isaidia kukaza misuri ya mtiti kuzuia yasilale au kusinyaa ( sag...
17/09/2023

Curves coffee

bei: 25,000

🌸 inasaidia kusimamisha matiti
🌸 isaidia kukaza misuri ya mtiti kuzuia yasilale au kusinyaa ( saggy breasts
🌸 inakaza mtiti yaliyolegea
🌸 inasaidia kutengeneza curves kqa mwanamke

Jinsi ya kutumia
Unatumia satchet moja kwa siku, unaweza ongezea sukari, cream au maziwa utakavyopenda

Angalizo
Asitumie mjamzito
Asitumie mtoto chini ya miaka 14

Contact: 0754943471

Duka lipo makumbusho bus stand jengo lenye ATM ya CRDB na NMB floor ya kwanza room B10

Collagen milk teaBei: 25,000🌸inasaidia kuimarisha afya ya ngozi, nywele, kucha na mifupa🌸 inafanya ngozi kuwa nyevu, nyo...
17/09/2023

Collagen milk tea

Bei: 25,000

🌸inasaidia kuimarisha afya ya ngozi, nywele, kucha na mifupa
🌸 inafanya ngozi kuwa nyevu, nyororo na yenye kuvutia
🌸 ni anti aging
🌸 inasaidia kupunguza chronic inflamation

Jinsi ya kutumia

Unatumia satchet moja kwa siku kwenye maji ya moto au ya baridi

Zipo satches 10

Contact: 0754943471

Duka lipo makumbusho bus stand jengo lenye ATM ya CRDB na NMB floor ya kwanza room B10

Collagen peptides powderbei: 25,000Hii ni nzuri sana kwa ajili ya kuimalisha na kung’arisha ngozi, kucha na nywele pia i...
17/09/2023

Collagen peptides powder

bei: 25,000

Hii ni nzuri sana kwa ajili ya kuimalisha na kung’arisha ngozi, kucha na nywele pia inaimarisha mifupa.

🌸 afya ya ngozi, inasaidia unyevu na unene wa ngozi kupelekea kupunguza makunyanzi na kuboresha muundo wa ngozi

🌸 afya ya nywele na kucha, inaimarisha afya ya nywele na kucha. Inasaidia kuzuia nywele na kucha kukatika katika na kuharibika

🌸afya ya viungo, inasaidia kupunguza maumivu ya viungo na kufanya viwe imara

Jinsi ya kutumia

Unatumia sachets 2 kwa siku

Zipo sachets 20

Contact: 0754943471

Duka lipo makumbusho bus stand jengo lenye ATM ya CRDB na NMB floor ya kwanza room B10

Address

Makumbusho Bus Stand
Dar Es Salaam
0000

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when mafe_herbs posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share