frika_net

frika_net Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from frika_net, Business service, Dar es Salaam.

16/04/2023

Foot Massager ni kifaa kilichotengenezwa na teknlogia ya kisasa, kinachosaidia kuchochea misuli kwenye miguu na kutoa massage yenye manutaa kwa afya ya miguu.

Kifaa hiki kinasaidia
• Kupunguza maumivu,
• kuimarisha misuli,
• kuboresha mtiririko wa damu,
• kuondoa miguu kuwaka moto
• Miguu kufa ganzi
• Miguu kujaa na
• kusaidia kupumzisha misuli ili kuondoa mongo wa miguu na kusaidia kupata usingizi.

Kifaa hchi ni husaidia makundi mbali mbali ikiwemo:
• Watu wanaotumia mda mrefu Kusimama au Kukaa
• Watu wenye matatizo ya miguu k**a plantar fasciitis, soreness, neuropathy, or poor circulation na mengineyo
• Watu wa Mazoezi
• Watu wanaosafiri
• Watu wanaojali afya zao na kutaka kurelax baada ya mda mrefu wa kazi

Hairuhusiwi kwa
• Wanawake wajawazito au wananyonyesha
• Watu wenye vidonda vibichi kwenye miguu
• Watu wenye upasuaji wa hivi karibuni kwenye miguu yao
Matumizi
• Weka massager kwenye sehemu inayofaa k**a sakafu.
• Weka miguu yako kwenye massager juu ya maeneo ya kutibu.
• Washa massager na kuchagua level.( unashauliwa kuanza na level 1 ilikuzoea kwanza).
• Chagua mode na nguvu ya massage kulingana na mapendekezo yako.
• Anza kufurahia massage yako ya miguu.
• Unawezatumia massager hii popote pale maana ni rahisi kubeba.

EMS Foot Massager ni kifaa kilichotengenezwa na teknlogia ya kisasa, kinachosaidia kuchochea misuli kwenye miguu na kuto...
15/04/2023

EMS Foot Massager ni kifaa kilichotengenezwa na teknlogia ya kisasa, kinachosaidia kuchochea misuli kwenye miguu na kutoa massage yenye manufaa kwa afya ya miguu.

Kifaa hiki kinasaidia
• kupunguza maumivu,
• kuimarisha misuli,
• kuboresha mtiririko wa damu,
• kuondoa miguu kuwaka moto
• Miguu kufa ganzi
• Miguu kujaa na
• kusaidia kupumzisha misuli ili kuondoa msongo wa miguu na kusaidia kupata usingizi.

Kifaa hchi ni husaidia makundi mbali mbali ikiwemo:
• Watu wanaotumia mda mrefu Kusimama au Kukaa
• Watu wenye matatizo ya miguu k**a plantar fasciitis, soreness, neuropathy, or poor circulation na mengineyo
• Watu wa Mazoezi
• Watu wanaosafiri
• Watu wanaojali afya zao na kutaka kurelax baada ya mda mrefu wa kazi

Hairuhusiwi kwa
• Wanawake wajawazito au wananyonyesha
• Watu wenye vidonda vibichi kwenye miguu
• Watu wenye upasuaji wa hivi karibuni kwenye miguu yao

Matumizi
• Weka massager kwenye sehemu inayofaa k**a sakafu.
• Weka miguu yako kwenye massager juu ya maeneo ya kutibu.
• Washa massager na kuchagua level.( unashauliwa kuanza na level 1 ilikuzoea kwanza).
• Chagua mode na nguvu ya massage kulingana na mapendekezo yako.
• Anza kufurahia massage yako ya miguu.
• Unawezatumia massager hii popote pale maana ni rahisi kubeba.

Inashauliwa kutumia massager hii mara 2 au 3 kwa wiki ili kuachia misuli kujiimalisha vizuri.

Karibuni sana, Tunakuletea kifaa hiki popote ulipo Mwanza na mikoa mingine tunatuma kwa uaminifu

0746 201 295
piga simu / WhatsApp

EMS Foot Massager ni kifaa kilichotengenezwa na teknlogia ya kisasa, kinachosaidia kuchochea misuli kwenye miguu na kuto...
15/04/2023

EMS Foot Massager ni kifaa kilichotengenezwa na teknlogia ya kisasa, kinachosaidia kuchochea misuli kwenye miguu na kutoa massage yenye manufaa kwa afya ya miguu.

Kifaa hiki kinasaidia
• kupunguza maumivu,
• kuimarisha misuli,
• kuboresha mtiririko wa damu,
• kuondoa miguu kuwaka moto
• Miguu kufa ganzi
• Miguu kujaa na
• kusaidia kupumzisha misuli ili kuondoa msongo wa miguu na kusaidia kupata usingizi.

Kifaa hchi ni husaidia makundi mbali mbali ikiwemo:
• Watu wanaotumia mda mrefu Kusimama au Kukaa
• Watu wenye matatizo ya miguu k**a plantar fasciitis, soreness, neuropathy, or poor circulation na mengineyo
• Watu wa Mazoezi
• Watu wanaosafiri
• Watu wanaojali afya zao na kutaka kurelax baada ya mda mrefu wa kazi

Hairuhusiwi kwa
• Wanawake wajawazito au wananyonyesha
• Watu wenye vidonda vibichi kwenye miguu
• Watu wenye upasuaji wa hivi karibuni kwenye miguu yao

Matumizi
• Weka massager kwenye sehemu inayofaa k**a sakafu.
• Weka miguu yako kwenye massager juu ya maeneo ya kutibu.
• Washa massager na kuchagua level.( unashauliwa kuanza na level 1 ilikuzoea kwanza).
• Chagua mode na nguvu ya massage kulingana na mapendekezo yako.
• Anza kufurahia massage yako ya miguu.
• Unawezatumia massager hii popote pale maana ni rahisi kubeba.

Inashauliwa kutumia massager hii mara 2 au 3 kwa wiki ili kuachia misuli kujiimalisha vizuri.

Karibuni sana, Tunakuletea kifaa hiki popote ulipo Mwanza na mikoa mingine tunatuma kwa uaminifu

☎️0746 201 295
piga simu / WhatsApp

Stay tuned for our new products
15/04/2023

Stay tuned for our new products

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when frika_net posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share