ANZA Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from ANZA, Business consultant, dar es salaam, Dar es Salaam.

MIMI NI MMILIKI WA BIASHARA AMBAYO INASAIDIA WATU:
🌿 KUKUA KIFIKRA
🌿KUPATA KIPATO
🌿 KUSAFIRI DUNIA
🌿KUKUTANA NA WATU WENYE MTAZAMO CHANYA
🌿KUWA NA AFYA NJEMA

📌 BIASHARA UNAYOWEZA KUIFANYA FULL TIME AU MUDA WA ZIADA📌
https://wa.me/0692094150

Here we go🔥🔥🔥🔥🔥🔥
13/05/2026

Here we go🔥🔥🔥🔥🔥🔥

KUNA MTU MPAKA SASA HAJAANZA BIASHARA ANATAKA AKANUNUE SIMU KWANZA YA LAKI 3.5 AU LAKI 5 NDIO AANZE KUTAFUTA MTAJI WA KU...
04/05/2026

KUNA MTU MPAKA SASA HAJAANZA BIASHARA ANATAKA AKANUNUE SIMU KWANZA YA LAKI 3.5 AU LAKI 5 NDIO AANZE KUTAFUTA MTAJI WA KUANZA BIASHARAHII SIO AKILI YA KIBIASHARA📌

au ni kupunguza stress

LEO INAWEZEKANA NA WEWE UNAHII CHANGAMOTO YA KUWEKEZA KWENYE VITU VYA KUPITA
Simu zinabadilika kila siku, fasheni zitaenda trend zitapita ila biashara itakupa kila unachokitaka

Kuna mwalimu aliwahi kunifundisha kuwa ukiwa hauna akili ya kuwekeza utanunua vitu usivyo na kazi navyo

Je unajua kwanini ufanye biashara na kuwekeza?

Unaweza kuwa yule unayetaka kuwa  ukiamua kuchukua hatua  ya uthubutuKuna watu wanafikiri uthubutu ni maamuzi ya siku mo...
04/05/2026

Unaweza kuwa yule unayetaka kuwa ukiamua kuchukua hatua ya uthubutu

Kuna watu wanafikiri uthubutu ni maamuzi ya siku moja ni mwendelezo wa maamuzi utakayokuwa unayachukua kila siku

Kupata kazi ni hatua ya kwanza kuamuka asubuhi kila siku ni uthubutu

Kuanza biashara ni hatua ya kwanza kuipambania ni hatua ndogo ndogo za uthubutu
ANZA

ANZA Kila mtu anatamani kufanikiwa je unakinachohitajika kufanikiwaTunaanzia hapa leo tarehe 1Tunaanza hapa kwenda mbele...
01/05/2026

ANZA
Kila mtu anatamani kufanikiwa je unakinachohitajika kufanikiwa

Tunaanzia hapa leo tarehe 1

Tunaanza hapa kwenda mbele🔥🔥🔥🔥🔥

Gharama kubwa ya uendeshaji wa biashara, Eneo hili halina mzunguko, sina Muda wa kutulia kwenye biashara, wote tunafanya...
28/04/2026

Gharama kubwa ya uendeshaji wa biashara, Eneo hili halina mzunguko, sina Muda wa kutulia kwenye biashara, wote tunafanya biashara inayofanana nk. Ni maneno ya wapambanaji wanaotamani kuongeza kipato

Inawezekana Pesa ni changamoto kubwa kwasababu unategemea vyanzo vya mapato ambavyo vinakupa stress ya kuvifuatilia kiusahihi hivyo unaibiwa na kuingia kwenye madeni

Unategemea chanzo kimoja cha mapato Au unamtegemea mtu kukupa kila kitu

Nafundisha jinsi ya kutengeneza pesa popote ulipo huku ukiwa na ufuatiliaji mdogo na kupewa mafunzo na kisaidiwa jinsi ya kufanya biashara na unaanza kwa mtaji mdogo sana

Mafunzo haya yanatolewa Whatsapp 📱0742555795
0692094150 whatsapp
ANZA

23/04/2026

Zamu ya geita
Nani ana ndugu anayependa afanikiwe mpe taarifa
ANZA

Jumapili hii ni zamu ya Geita Tunaenda kuwa na mafunzo ya biashara live  GeitaPia Tutafundisha Namna ya kutengeneza kipa...
23/04/2026

Jumapili hii ni zamu ya Geita

Tunaenda kuwa na mafunzo ya biashara live Geita
Pia Tutafundisha
Namna ya kutengeneza kipato kwa muda wa ziada 🔥

Kisha kutakuwa na positive vibe kubwa sana k**a kuna wanao. kukatisha tamaa au unajikatisha tamaa na kuona huwezi chochote

Hakikisha unakuwepo ukutane na watu ambao wametoka huko na wamefanikiwa

Je utakuwepo?
ANZA
0742555795

19/04/2026

Tanga 🔥🔥
Leo watu wanakuja kufundishwa biashara
ANZA

HUYU MAMA AMEOLEWA YEYE NA MUME WAKE WAMEJENGA NYUMBA YA GHOROFA WANA MAGARI YA KUTEMBELEA YA FAMILIA ILA BINAFSI ALIKUW...
15/03/2026

HUYU MAMA AMEOLEWA YEYE NA MUME WAKE WAMEJENGA NYUMBA YA GHOROFA WANA MAGARI YA KUTEMBELEA YA FAMILIA ILA BINAFSI ALIKUWA HANA PESA MAMA YAKE AKIMUOMBA ELFU 50 MPAKA AITAFUTE HUKU NA KULE NDIO AIPATE NA KWASABABU ALIKUWA ANAISHI MAISHA MAZURI WATU WANAJUA PESA ANAZO
KWASABABU ALIKUWA MWALIMU KWA TAALUMA
aliamua kutafuta ajila kwenye shule moja lakini mshahara ukawa hautoshi akaamua kumtafuta rafiki yake aliyemuacha chuo alikuwa anaendelea na masters akashangaa anamuuzia dada yake duka kariakoo la under ware
Amefanya biashara nyingi ameuza underware alizungusha kwa majirani kila mtu alimshangaa alipika cake lakini pesa ilikuwa ndogo akaamua kutafuta hii biashara

ILA JANA NDIO NIMEJIFUNZA KUMBE KUNA PESA ZA FAMILI ANA PESA BINAFSI
Watu wanaweza kuona unajitesa lakini wewe ndio unajua nini unakitafuta

15/03/2026

Jana nilikuwa na mafunzo maalumu ya uongozi
K**a ulinitafuta jana nitafute tena

15/03/2026

Ila nimecheka watu wa benki haya ni kweli?
ANZA

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ANZA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share