Geoswahili - GS

Geoswahili - GS GEOSWAHILI ni kampuni binafsi inayotoa huduma za ushauri katika sekta ya madini.

TAARIFA MUHIMU
11/06/2024

TAARIFA MUHIMU

Graphite ni aina ya madini ya viwanda,madini haya yanatumika kutengeneza vitu mbali mbali vya kielectronics,Soko lake ni...
30/03/2024

Graphite ni aina ya madini ya viwanda,madini haya yanatumika kutengeneza vitu mbali mbali vya kielectronics,Soko lake ni kubwa hasa china,madini haya yanauzwa kwa tani baada ya kusafishwa.

Tangazo muhimu kwa wadau wa madini
09/01/2024

Tangazo muhimu kwa wadau wa madini

16/09/2023
MICA MINERAL
07/08/2023

MICA MINERAL

QUARTZ
06/08/2023

QUARTZ

Deeper Sand &Gravel  ni kampuni ya Kitanzania  katika sekta ya madini hapa Tanzania,karibu wakuhudumie.
06/08/2023

Deeper Sand &Gravel ni kampuni ya Kitanzania katika sekta ya madini hapa Tanzania,karibu wakuhudumie.

Asante washirika wetu DEEPER SAND & GRAVEL LTD, tupo kuwahudumia
06/08/2023

Asante washirika wetu DEEPER SAND & GRAVEL LTD, tupo kuwahudumia

JE UNA SWALI AU CHANGAMOTO KATIKA UTAFUTAJI,UCHIMBAJI AU BIASHARA YA MADINI NA UJAPATA MAJIBU YA KITAALAM???GEOSWAHILI N...
18/05/2023

JE UNA SWALI AU CHANGAMOTO KATIKA UTAFUTAJI,UCHIMBAJI AU BIASHARA YA MADINI NA UJAPATA MAJIBU YA KITAALAM???GEOSWAHILI NDIO JIBU LAKO,KARIBU KWETU TUKUHUDUMIE.

WASILIANA NASI;
Email: [email protected]
Au tuma msg katika kurasa zetu za mitandao ya kijamii.

KARIBU GEOSWAHILI
18/05/2023

KARIBU GEOSWAHILI

GEOSWAHILI (GS) ni kampuni binafsi inayotoa huduma za ushauri wa kitaalam kwa kampuni au watu binafsi wanaofanya utafiti,uchimbaji na biashara katika sekta ya madini hapa Tanzaia.
Huduma zetu ni:

1.Tunatoa elimu juu ya fursa zilizopo kwenye sekta ya madini.

2.Tunatoa elimu ya namna ya mtu anavyoweza kuanza uchimbaji wa madini.

3.Tunatoa elimu ya aina ya leseni za madini zinazotolewa na serikali.

4.Tunatoa elimu juu ya mtu anavyoweza kuanza biashara ya kuuza na kununua madini.

5.Tuna huduma ya kuandaa taarifa za kigeologia kwa lengo la kuandaa taarifa ya kampuni ya uchimbaji madini.

6.Tunafanya huduma ya ushauri kwa wachimbaji madini.

Tunatoa huduma za kifaa cha GPS kwa lengo la kupata coordinates.

7.Tunatoa huduma ya kusoma majibu ya maabara yanayohusu miamba au madini.

8.Tunatoa huduma ya utambuzi wa madini kwa njia ya mtandao,

Karibu sana tukuhudumie,Geoswahili tunakuhakikishia huduma bora toka wataalam wetu wa madini,kwetu uaminifu ndio msingi wa
kazi.

Mawasiliano;
Senior Geologist: Baraka Mdemwa.
Email: [email protected]

Mgodi ni eneo ambalo madini uchimbwa katika uso wa dunia au chini ya ardhi katika miamba.K**a zilivyo biashara zingine,u...
18/11/2021

Mgodi ni eneo ambalo madini uchimbwa katika uso wa dunia au chini ya ardhi katika miamba.
K**a zilivyo biashara zingine,uanzishaji wa mgodi pia unahitaji umakini mkubwa kwa sababu ni biashara inayotumia mtaji mkubwa.
Leo Geoswahili tuta angazia baadhi ya mambo muhimu ya kuzingatia ili kuwa na biashara yenye faida k**a ifuatavyo;

1.Hakikisha una elimu ya kutosha kuhusu madini.
-Elimu hii utaipata kwa kuongea na watu wanaochimba madini,wataalam wa madini,kusoma vitabu,kushiriki uchimbaji wa madini katika maeneo mbalimbali na kadhalika.

2.Tambua aina ya madini unayotaka kuchimba,Je ni madini ya metaliki,viwanda,ujenzi,vito n.k

3.Tambua ukubwa wa soko la hayo madini unayotaka kuchimba.
-Je madini hayo yana soko??wapi wananunua??bei ni sh ngapi??yanauzwa kwa kipimo kipi??.

4.Tambua aina teknologia inayohitajika kuchimba madini husika
-Aina ya vifaa vya kuchimbia,mbinu za kuchenjua n.k

5.Tambua aina za sheria na leseni zinazohitajika ili kuanzisha mgodi wa uchimbaji madini.
Mfano;
-Leseni ya uchimbaji.
-vibali vya mazingira.
-muktasari ya kijiji
-usajili wa kampuni n.k

6.Tambua uhalisia wa uwepo wa madini unayohitaji kuchimba katika eneo tarajiwa.
-Tumia wataalam wa uhakika mfano Geoswahili,

7.Tambua miundombinu itakayohitajika katika mgodi wako.mfano;
-Maji safi na salama.
-Barabara za kuingia na kutoka mgodini.
-vyanzo vya nishati.
-Makazi ya wafanyakazi n.k

8.Mtaji wa kuendesha shughuli za uchimbaji madini,mtaji wa uchimbaji madini utajumuisha gharama za mambo yafuatayo.
-Gharama za utafiti wa madini katika eneo husika.
-Gharama za kukata leseni na vibali mbalimbali.
-Gharama za kununua vifaa vya uchimbaji.
-Gharama za kuendeshea mgodi.
-Gharama zingine pia kadri zitakavyojitokeza.

Haya ni baadhi tu ya mambo muhimu katika kuanzisha mgodi ila yapo mengi, kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi.
Geoswahili ni taasisi binafsi,tunatoa huduma za ushauri katika sekta ya madini.
Wasiliana nasi;

Geologist,
Whatsap: +255653855050
Email: [email protected]

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Geoswahili - GS posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Geoswahili - GS:

Share