Magonjwa na Utabiri

Magonjwa na Utabiri ASTRONOMY AND FEATURES LIFE

DAWA YA ASILI YA MINYOO YA AINA YOYOTE Utachukua papai lililoiva menya kula tunda zile mbegu kausha vizuri juani twanga ...
29/11/2023

DAWA YA ASILI YA MINYOO YA AINA YOYOTE

Utachukua papai lililoiva menya kula tunda zile mbegu kausha vizuri juani twanga pata unga wake tumia kijiko kidogo kile cha chai tia kwenye chai au uji au maji vuguvugu kunywa x2 kutwa siku 5 tu

Maalim Jawzatulhindiiy Tamr
+255 653 663 567

DAWA YA KUPATA CHOO KWA KILICHOFUNGA (KUKOSA CHOO)

Utachukua ndizi mbivu zile ambazo zikiiva zinakuwa k**a zina madoadoa meusi (madoa yake k**a vidotodoti) kula ndizi zako mpaka ujione kushiba tulia utafunguka choo vizuri bila kuharisha na ukitaka ya kuharisha chukua uwatu mbegu chemsha kwenye maji kunywa kikombe kimoja tu utaharisha x3-5 na kitakuwa kimefunguka choo chako pia nyingine habatmulki chukua mbegu ya habatmulki igawe vipande 4 kipande kimoja tafuna meza utaharisha vizuri na kitafunguka choo chako hii usije kuitafuna punje nzima utalazwa hospitali maana inaharishisha kwa wingi kuliko zote kutokana na uwezo wake mkubwa wakusafisha tumbo na kutoa sumu mwilini kwa haraka zaidi.

Maalim Jawzatulhindiiy Tamr
+255 653 663 567

DAWA YA WATEJA KWENYE BIASHARA

Chukua ambari karafuu na kitunguuswaum choma mlangoni mwako kila ukifungua hakika itafunguka biashara yako na utauza sana tu hata wale wenye vilinge vinaota majani vinajaa mabuibui wateja hakuna kabisa basi tiba ni hii na usifunge watu ukiwa kilingeni kwako ndio kinachokufungia na usifungue mtu bila kujifungua baada yake utanawiri na kupendeza kwenye kazi yako daima.

Maalim Jawzatulhindiiy Tamr
+255 653 663 567

DAWA YA KUPATA USINGIZI

Kunywa asali kijiko kimoja cha chakula kwenye maziwa fresh glasi moja au pia waweza kuiweka kwenye maji robo kikombe ukanywa baada tu ya kula Cha usiku utapata usingizi mzuri sana na asali yenyewe iwe ya nyuki wadogo.

Maalim Jawzatulhindiiy Tamr
+255 653 663 567

DAWA YA KUONGEZA HAMU KWA WOTE

( i ) Wanaume

Nenda duka asili waambie wakupe hii dawa inaitwa kalila mlipu mdaula na mkundekunde changanya pamoja vizuri kisha tumia kunywa kwenye chai au uji kijiko kimoja cha mchanganyiko huo na utaona utofauti wa awali na baada ya kuitumia dawa hiyo na dawa hii haiwasaidii wengi wenye matatizo ya jini subiani na maswala ya mizimu ubabani yanachangia sana tatizo hilo hivyo ikiwa unafahamu kuwa unashida hiyo basi nenda kajishughulikie ndio uitumie hivihivi katu utabaki kulaumu dawa sio nzuri dawa hazifanyi kazi kariri hili mwanaume asiye na stress huburudika zaidi kwenye tendo kuliko mwenye stress mwanaume mwanamazoezi anafurahia zaidi tendo kuliko aliyekaa tu hana muda wa mazoezi japo dakika 10 tu kwa siku huyu hata atumie muku atabaki kulaumu maana zile zinamzidi nguvu mwanaume anayepata huduma hiyo kwa wakati huwa imara zaidi kuliko ambaye upataji wake huduma hiyo ni kwa mwezi x1 au 2 tu huyu madhaifu kwake ni kawaida lakini anayeipata kwa wingi na kwa uzuri zaidi huifurahia zaidi kila apatapo nafasi hiyo kwakuwa anauhakika wa kumridhisha aliyenaye na kuridhika binafsi hivyo tuvipe vitu haki yake tusilazimishe wala tusijizuie haki kuipa nafasi yake.

Maalim Jawzatulhindiiy Tamr
+255 653 663 567

(ii) KUONGEZA HAMU KWA WANAWAKE

Ondoa stress zote ruhusu haki ipate haki yake

Nenda porini tu chukua kokwa la embe twanga kausha twanga upate unga wake changanya na maji kidogo sana liwe rojo (changanya na kitu chochote lakini sio mkono wako ili isijekuharibika) ikishakuwa rojo basi utatumia kupaka mle kidogo kila usiku kwa wiki moja kutakuwa na joto na hamu itapatikana pia pendelea kunywa supu ya kuku ngombe pweza viazi mviringo mchuzi wake utaona vitu vikienda vizuri na ujizuie kabisa na vitu vya kuzuia mimba isiingie wala isipenye ndio chanzo cha matatizo yenu wanawake yote yanaanzia hapo hujiulizi kwanini wengine huhama bila sababu sababu zao ni kuwa kumepoa kwa bariiid na kuna harufu hivi vyote humpa mtu nafasi ya kuangalia penye joto pasipotoa harufu ikiwa kwako kunatoa harufu kwa sababu ya uchafu kutoka au harufu basi chukua pamba iloweshe miski nyeupe ya mafuta usiku iweke mlango mwa mle kisha asubuhi itoe utaikuta imevuta uchafu wote fanya mpaka uishe utarudisha ubora wako na utapendwa k**a awali hata yule msimamaji akishaisikia harufu hamu hupungua hivyo patengeneze hapo utafurahia mengi kwa huyo bwana atatoa pesa bila kuomba atanunua gari bila kusema nataka gari pambana mchawi wa kwanza kwa mwanaume ni uke wako wewe shangaa na hangaika na madawa tu anza hapo ndio uendelee na zile za kula.

Maalim Jawzatulhindiiy Tamr
+255 653 663 567

DAWA YA KUMUACHISHA MTU POMBE

Utachukua mavi ya kuku yafunge kwenye karatasi uliyoandika manuizo na jina la mnywaji pombe unayehitaji aache baada ya hapo kayafukie kwenye makaburi siku 3 tu baada ya hapo toa nenda kaichome iwe unga laini saga changanya vizuri baada ya hapo muwekee kwenye kinywaji chake ataaacha tu hii hatapiki wala haharishi ila tu ataona pombe sio nzuri k**a alivyozoea.

Maalim Jawzatulhindiiy Tamr
+255 653 663 567

DAWA YA MTU KUACHA UMALAYA

Utachukua damu ya kuku asiyeatamia hata apandwe vipi yeye hatagi ananenepa tu mchinje chukua damu yake changanya na nyayo zako sema sitaki awe hivi tena baada ya hapo choma vizuri pamoja kisha tia kwenye chakula au kinywaji chochote Cha moto.

Maalim Jawzatulhindiiy Tamr
+255 653 663 567

DAWA YA KUMFANYA MTU AWE MALAYA (Hii sielekezi sio nzuri) ila hii wanafanyiwa watu ambao amemuacha mumewe kisa tamaa au mkewe kisa tamaa basi akishafanyiwa hii atafanya usaliti mpaka atafukuzwa huko na atarudi tena kwako au ngoja nielekeze nimeona unaanza kulaumu chaguo ni lako utachukua jina la mhusika changanya na damu ya kicheche kisha iweke njiapanda usiku asubuhi ukiamka ichukue iweke chini ikalie inuilie unavyotaka kisha chukua ichanganye na chakula chochote kinacholiwa na mbwa au paka kisha isomee neno hili ZAMZUMAA x313 baada ya hapo nenda kaiweke kwenye pembe ya nyumba yoyote kwa nje italiwa na itamfikia mhusika na atakuwa hivyo hivyo mpaka ataacha tu.

Maalim Jawzatulhindiiy Tamr
+255 653 663 567

DAWA YA KUPOTEZA UHAMISHO AU KUUZIMA AU KUUFUTA

Utachukua kinyonga chura na paka vyote hivi pata ngozi zao baada ya hapo andika jina lako choma vyote pamoja saga vizuri funga vizuri nenda kwenye sehemu iliyotulia viweke kwenye chupa kisha kazike kwenye eneo hilo hawatakuhamisha na kila wakiongelea watajikuta tu wanamuona mtu mwingine lakini sio wewe na hutohamishwa katu hii pia ni Kinga dhidi ya maadui zako watakupa heshima kubwa hawatakusumbua katu.

DAWA YA KUMUONA YOYOTE NDOTONI

Utachukua mayai ya chatu mawili yafungwe kwenye kitambaa cha bluu kisha chukua karatasi andika unachotaka kukiona kisha itandike chini weka yale mayai juu ya hiyo karatasi kisha weka uvunguni mwako ikiwa unalala kitandani na ikiwa unalala kwenye kitu weka chini ya kitu na ikiwa unalala chini basi weka usawa wa karibu na kichwa utaletewa sikushauri Sana useme nataka kumuonamchawi wangu angalau omba kuuliza nani ananifaa kwa mafanikio yangu au kipi nifanye nifanikiwe n.k mazuri mazuri tu utaona vyote.

Kwa matatizo yoyote makubwa na madogo usisite kuwasiliana na:-

Maalim Jawzatulhindiiy Tamr
+255 653 663 567

*Mlipu* una manufaa mengi kwa watu lakini leo nimekusudia kuwaelekeza katika namna tatu za matumizi yake au faida zake :...
24/11/2023

*Mlipu* una manufaa mengi kwa watu lakini leo nimekusudia kuwaelekeza katika namna tatu za matumizi yake au faida zake :-

*Maalim Jawzatulhindiiy*
*+255 653 663 567*

(1) MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME

Hapa twamaanisha kuamka kwa shida kwa uume kuamka legelege kuamka na kuzima hapohapo kuamka na kulala katikati ya furaha ya mtu fulani kuamka asubuhi kila siku imelala kusimama kwake mpaka imasajiwe n.k madhaifu yote ya dhakari kasoro urefu na unene hii haitumiki kwa hayo ya urefu na unene bali uiamarishaji halisi wa uume wako utachukua mizizi ya mti huu chemsha ujazo wa viganja viwili vya mikono yako kwenye maji lita moja yakishachemka vizuri epua kunywa hiyo lita moja kidogo asubuhi mpaka jioni utaichemsha mizizi hiyo hiyo mfululizo siku 9 tu ila kila ukiiepua hakikisha unaitoa kwenye sufuria na isiwe na maji ili iwe salama kwa siku zote hizo kwa manufaa yako hii itakuimairisha sana mizizi hii uipate mibichi ndio mizuri zaidi au ukishaipata ukiichemsha dawa hii kunywa ukiona ya uchungu kidogo ndio yenyewe na ukienda duka la dawa asili pendelea kwenda kuulizia dawa kwa jina tu na uwe unaifahamu usifike na kusema nipe mizizi ya mlipu utapewa mizizi ya turatura maana sihuifahamu kwahiyo waweza kuuziwa mizizi ilimradi mtu apate pesa wewe utajua mwenyewe hivyo hii kuifahamu kidogo itakusaidia wewe usije kupigwa.

Maalim *Jawzatulhindiiy*
0653663567

(2) KUFUNGUA BIASHARA ILIYOFUNGWA IKAWA K**A HAIPO

Hii ni vile upo na biashara haiendi vizuri wakati huko awali ulipoifungua ulikuwa na wateja wengi na ulikuwa ukiona hata biashara unayoifanya lakini kwa sasa unaichukia na ofisi yako au wateja wanapita k**a hakuna biashara hapo kwako kutwa ni kusinzia tu kwenye duka lako sasa Leo nakuelekeza njia rahisi ya kuweza kuifungua na kuiruhusu biashara yako iwe hai k**a hapo awali au zaidi ya awali utachukua maua 7 ya mti huu wa mlipu na mzizi angalau mmoja wa mlipu twanga vizuri kisha changanya pamoja vizuri kisha utachukua mafuta ya Qudra matone 7 maji ya bahari ya kuingia changanya vizuri baada ya hapo utaweka kwenye mvuke wa maji ya moto kwa dakika 15 tu baada ya hapo tumia kujipakaa k**a mafuta mwilini mwako kwa muda wa siku 9 tu zoezi hili la kutengeneza tengeneza Alhamisi na Anza kutumia Alhamisi asubuhi kabla hujaongea na mtu hakika utaona majibu yake ni mazuri Sana kwakuwa dawa hii inarudisha mvuto na nyota yako iliyochafuka husafishika kwa haraka zaidi.

Pia unaweza kuwa huwezi kuuandaa wewe mwenyewe tafuta mtu akuandalie lakini akikuandalia kabla ya kukukabidhi ausomee SURATUL FATIHA X313
Suratul Naas x17
Suratul falaq x17
Suratul inshirah x17 hapa ndio akukabidhi ukatumie utafurahia sana inawezekana kuna vingi unavitamani hujawahi kuvipata sasa tumia hii utaona majibu yake kikubwa tu muandaaji awe muaminifu kwako utafurahia mengi.

(3) JINSI YA KUUWA UCHAWI NDANI KWA HUU MLIPU

Utaenda kwa mlipu mizizi yake ichimbe kwa utaalamu wake yani ubishe hodi umwage sadaka yake pale kisha chimba mizizi yake nenda kaitwange vizuri ongeza maji ya kisima au bahari nenda kamwage nje ya nyumba Kisha ndani mpaka juu ya paa au gypsum board zako hakikisha dawa hiyo hairudi nje ukishamwaga ndani iishie ndani yote ukitoka nayo nje umeshaharibu hiyo tiba ukishaifanya hii hata ikiwa watoto hawalali basi watalala ndani haipatikani pesa itapatikana na furaha itarejea ndani kwako.

Maalim Jawzatulhindiiy Tamr
+255 653 663 567
https://chat.whatsapp.com/FK74E5MxWof7s743Dz0xsT

JUMAMOSI NI MIONGONO MWA MASIKU MAZURI KWA KUHARIBU KUFUNGA KUTENGENEZA NA KUFUNGUA LEO HAPA NAWAPA NAMNA YA KUFUNGUA Ik...
13/10/2023

JUMAMOSI NI MIONGONO MWA MASIKU MAZURI KWA KUHARIBU KUFUNGA KUTENGENEZA NA KUFUNGUA LEO HAPA NAWAPA NAMNA YA KUFUNGUA

Ikiwa umefungwa mambo yako hayaendi vizuri kabisa

Leo JUMAMOSI vaa nguo yako nyeusi kaa kwenye chumba tupu kiwe na giza choma kuzbara na ubani mushtaka kwa pamoja tamka maneno haya YAA QAHHAR x50,000 hautafikia hii idadi utaanza kusikia harufu tofauti na hapo ulipo au uliyoizoea ukishasikia hivyo tu basi sema tatizo lako kwa ufupi tu ( *NATAKA KAZI YENYE FAIDA* ) Sema hivyo x11 kisha acha hilo zoezi nenda kalale utakuja kutupa feedback

Muda mzuri wa hili zoezi ni usiku saa 1 jioni nakuendelea

Usifanye hii kwa majaribio fanya ukiwa na shida kweli ukikurupuka hautafanikiwa lolote na utakuwa mwenye kujitia mikosi zaidi

Ukihitaji kuona kiumbe na uongee nae hapo hapo na akupe kitu hapohapo endelea na Dua yako ukishasikia harufu endelea na Dua yako mpaka utamuona mtu macho yake mekundu mwili wake k**a unawaka moto utamuitikia salamu yake na utamwambia jambo lako na atalifanya hapo hapo iwe shida kweli kweli sio unaomba pesa na mfukoni una elfu 50 omba pesa pesa ukiwa huna hata sh.50

Maalim Jawzatulhindiiy Tamr
+255 653 663 567
+255 782 479 277

K**a bado hujajiunga GROUP HILI BONYEZA LINK HII

WhatsApp Group Invite

02/09/2023

UTABIRI WA LEO TAREHE 2/9/2023

ANGALIA HERUFI YA JINA

HERUFI A M Y I U E Q

Haja zako nyingi zitatimia bila shida yoyote

Maadui zako watapata mitihani mizito na wataangamia kwa ubaya wao

Tegemea kufanikiwa mengi katika mambo yako lakini mahusiano yako bado yatakuwa yasiyoeleweka stahmili yanapita na kila kitu kitakaa sawa.

HERUFI B N Z F R J V

Ukikutana na watu wengi wamevaa sare nyeusi leo utapoteza kitu muhimu sana hivyo kuwa makini na vitu vyako

Maadui watazidi kukurudisha nyuma na ukikutana na sare nyeupe basi haja zako zitatimia bila shaka yoyote na utakuwa mshindi kwenye kila kitu kwa wiki hii jiamini zaidi utafikia malengo yako.

HERUFI C O G S K W

Utapata faida kwenye biashara zako na nguvu kubwa itapatikana kwenye haja zako kwakuwa utasaidiwa kila mpango wako.

Na safari zako za mbali ndio zitakazokupa mabadiliko hivyo usipuuzie wito wala mualiko wowote utakaokufikia kwakuwa una mafanikio makubwa kwako.

HERUFI D P H T L X

Utapata bahati mbaya Leo na utapishana kauli na watu wako wa karibu

Siku ya leo usianzishe kitu hakitakupa faida na kitatumia nguvu zako nyingi bila mafanikio yoyote.

Tegemea kupata maudhi.

[email protected]
+255 653 663 567

JIUNGE LEO GROUP LA BURE WHATSSAP UPATE HIVI VITU UTABIRI WA LEO TAREHE 1/9/2023 ANGALIA HERUFI YA JINAHERUFI A M Y I U ...
01/09/2023

JIUNGE LEO GROUP LA BURE WHATSSAP UPATE HIVI VITU

UTABIRI WA LEO TAREHE 1/9/2023

ANGALIA HERUFI YA JINA

HERUFI A M Y I U E Q

Utapata bahati mbaya Leo na utapishana kauli na watu wako wa karibu

Siku ya leo usianzishe kitu hakitakupa faida na kitatumia nguvu zako nyingi bila mafanikio yoyote.

Tegemea kupata maudhi.

HERUFI B N Z F R J V

Haja zako nyingi zitatimia bila shida yoyote

Maadui zako watapata mitihani mizito na wataangamia kwa ubaya wao

Tegemea kufanikiwa mengi katika mambo yako lakini mahusiano yako bado yatakuwa yasiyoeleweka stahmili yanapita na kila kitu kitakaa sawa.

HERUFI C O G S K W

Ukikutana na watu wengi wamevaa sare nyeusi leo utapoteza kitu muhimu sana hivyo kuwa makini na vitu vyako

Maadui watazidi kukurudisha nyuma na ukikutana na sare nyeupe basi haja zako zitatimia bila shaka yoyote na utakuwa mshindi kwenye kila kitu kwa wiki hii jiamini zaidi utafikia malengo yako.

HERUFI D P H T L X

Utapata faida kwenye biashara zako na nguvu kubwa itapatikana kwenye haja zako kwakuwa utasaidiwa kila mpango wako.

Na safari zako za mbali ndio zitakazokupa mabadiliko hivyo usipuuzie wito wala mualiko wowote utakaokufikia kwakuwa una mafanikio makubwa kwako.

https://chat.whatsapp.com/KI0KhIOxUEeFcYgrGlwFDS

[email protected]

WhatsApp Group Invite

UTABIRI WA LEO TAREHE 15/08/2023RANGI YA BAHATI LEO NYEKUNDU NA DAMU YA MZEENAMBA YA BAHATI LEO NI 1 NA 8HERUFI A M Y E ...
15/08/2023

UTABIRI WA LEO TAREHE 15/08/2023

RANGI YA BAHATI LEO NYEKUNDU NA DAMU YA MZEE

NAMBA YA BAHATI LEO NI 1 NA 8

HERUFI A M Y E Q I U

Lipa madeni yako yanayokusumbua na usikubali kabisa mtu kukufuatilia kwakuwa anakudai (hali hii itakuharibia sifa yako na hadhi yako itashuka na unaweza ukahama mazingira unayoishi kwa maudhi tu)

Pia inaonekana kuna vitu unavitamani sana vitokee kwenye maisha yako vya kidunia au vya starehe jihadhari havina kheri kwako licha ya kuwa utafanikiwa kwa njia unayoipitia lakini madhara yake mwisho ni makubwa hivyo izuie tamaa yako kwa sasa itakuletea shida baadaye na majuto.

Tegemea kupata mpenzi mpya lakini hamtadumu na mtaachana kwa uadui na visa vingi

Utatumia hovyo pesa zako leo au utavuruga bajeti zako leo hivyo toka na mipango kamili usikurupuke utapoteza mwenyewe na utahisi umeibiwa.

Kuwa makini pia na mizigo yako leo inaonekana utasahau kitu muhimu nyumbani au sehemu na hutakipata tena mpaka uanze upya.

HERUFI B N Z F R J V

Maradhi ya tumbo yatakusumbua leo (usike vyakula usivyovielewa leo vitakuletea shida kwenye afya yako ) na siku ya leo usile kwa mtu asiye rasmi kwako haswa mchepuko n.k itakuletea shida kuna namna mpango mbaya unaweza kukusibu leo kwa namna usiyoitarajia hivyo uwe makini na tumbo lako Leo au vyakula.

Utapata maudhi maudhi sana siku ya leo na maneno ya kukera adui yako leo anayo amani ya nafsi hivyo kwako utahisi mtu usiye na bahati hivyo kuwa mpole stahmili usijibizane na mtu kwakuwa kiza kitakuvaa na hutapata msaada.

HERUFI C O G S K W

Utapata furaha leo na habari njema zitakufikia.

Utakumbukwa na marafiki zako pia haja zako zitatimia bila shaka yoyote

Utapata kitu kizuri au pesa Leo uliyokuwa unadai au unategema kuipata na nyingine kwa namna usiyoitarajia

Siku ya Leo ni nzuri sana kwako migogoro yako au kesi zitaisha na utakuwa na amani zaidi.

HERUFI D P H T L X

Matumaini mapya na mazuri yataonekana kwenye shughuli zako na mahusiano yako ya zamani yanaweza kuwa tatizo kwako hivyo jizuie kwa lolote jipya litakalojiri Leo kwako kutoka kwenye mahusiano (kwakuwa kinachoonekana kuja kukuvuruga baadaye sio kingine ni mahusiano yako ya zamani tu hivyo usiafikiane na wazo lake).

Utapata marafiki wapya wa kikazi na mafanikio makubwa utayapata kwenye shughuli zako endelea kufuatilia vizuri maelekezo unayopatiwa wewe kiasili una mafanikio ya ndani au yakuzaliwa na ndio maana huwa unakwama sana kisha unainuka tena kimaajabu na mambo yanakuwa mazuri kwa namna usiyoitarajia hivyo usibweteke kufanya biashara mpya kila uchwao hiyo ndio njia yako ya kufikia utukufu unaoutaka.

Leo ukikutana na ndege mweupe basi kabla ya wiki kuisha kuna kitu kizuri mno kitakutokea kwenye maisha yako.

Maalim Jawzatulhindiiy
+255 653 663 567

https://chat.whatsapp.com/KI0KhIOxUEeFcYgrGlwFDS

UTABIRI WA LEO TAREHE 12/8/2023RANGI YA BAHATI NYEUSI NA KIJIVUNAMBA YA BAHATI 10 NA 11HERUFI A M Y E Q  I UUtapokea hab...
12/08/2023

UTABIRI WA LEO TAREHE 12/8/2023

RANGI YA BAHATI NYEUSI NA KIJIVU

NAMBA YA BAHATI 10 NA 11

HERUFI A M Y E Q I U

Utapokea habari mbaya Leo stahmili

Biashara yako itakupa hasara kubwa leo usianzishe kitu Leo wala usinunue kitu kipya kitaharibika kabla ya kuridhika nacho.

Utatibuliwa Leo na mtu vumilia tu na usichangie chochote leo kwenye maongezi toa dharura ikiwezekana usiwepo kwenye vikao na mikutano leo au mikusanyiko itakuletea giza au mkosi kwenye mambo yako kwa leo.

HERUFI B N Z F R J V

Ukikutana na watu wawili wameshikana k**a watoto wanavyoshikana mabega utapata furaha na habari nzuri sana zitakufikia Leo na wiki hii yote hivyo jitahidi kushirikiana na watu unaowaamini ili kulifikia lengo lako

Mahusiano yako yasikupasue kichwa kwa sasa vitu vyako vingi vinajitengeneza vyenyewe hivyo kuwa na subira utafika wakati wewe ndio unatafutwa wala usijichoshe kuhangaikia mawasiliano.

Fuatilia maswala yako ya pesa katika kipindi hichi na utapata sana kwa namna usiyoitarajia.

HERUFI C O G S K W

Tegemea kupata faraja na utulivu mkubwa wa nafsi yako kwakuwa mipango yako mingi utafanikiwa kwa namna usiyoitarajia

Pia watu watashirikiana na wewe katika mambo yako

Na maadui zako hawana nguvu kwa sasa hivyo tumia vizuri nafasi utakayoipata

Ukikutana na mtu mrefu mzuri hata kwa sura tu kisha akakuchekea bila lolote hiyo ni ishara ya kufaulu au kushinda katika jambo lako fulani.

Herufi D P H T L X

Utapata habari mbaya Leo ingawa ni katika siku zako nzuri sana lakini jitahidi ibada zaidi kwakuwa Leo utapata makwazo kwenye kila jambo lako

Pia usiende sehemu bila mawasiliano Leo unaweza kuunguza gharama zako bure

Na mpango wako leo hauna kheri tulia nyumbani kwako.

Ukikutana na mtoto kavaa suti nyeusi Leo utapatwa na msiba au fedheha kubwa vizuri ukarudi nyumbani kwako au uvumilie yote huko uendapo.

Maalim Jawzatulhindiiy Tamr

WhatsApp Group Invite

UTABIRI WA LEO TAREHE 30/07/2023RANGI YA BAHATI LEO NJANO AU DHAHABU NAMBA YA BAHATI 5Herufi A M Y E Q I UTimiza ahadi z...
30/07/2023

UTABIRI WA LEO TAREHE 30/07/2023

RANGI YA BAHATI LEO NJANO AU DHAHABU

NAMBA YA BAHATI 5

Herufi A M Y E Q I U

Timiza ahadi zako na mipango yako itaenda vizuri sana

Utapata habari nzuri mno leo na mipango mipya lakini usijiingize kwenye mapya wakati la zamani hujalikamilisha

Ukikutana na mnyama amembeba mwenzake Leo au hata mdudu basi siku yako ya leo Ni nzuri mno na wiki yote hii utatawaliwa na furaha pia utapata msaada kwenye mambo yako kwa namna usiyoitarajia.

Jiepushe na maasi wiki hii kwakuwa yataharibu kila jambo lako.

Herufi B N Z F R J V

Utapata habari mbaya ya msiba au kuzidiwa kwa mgonjwa siku ya Leo na ulichokipoteza hakitarudi tena kwako anza upya usipoteze muda kukihangaikia kwa sasa.

Nyota inaonyesha utakutana na adui yako Leo na kwake itakuwa fedheha kubwa na mkosi kwake hivyo jitahidi ibada zaidi na usifuatize kila unaloambiwa au kushauriwa mengi yatakupoteza fuata nafsi yako.

Herufi C O G S K W

Ukikutana na watu wawili wameshikana k**a watoto wanavyoshikana mabega utapata furaha na habari nzuri sana zitakufikia Leo na wiki hii yote hivyo jitahidi kushirikiana na watu unaowaamini ili kulifikia lengo lako

Mahusiano yako yasikupasue kichwa kwa sasa vitu vyako vingi vinajitengeneza vyenyewe hivyo kuwa na subira utafika wakati wewe ndio unatafutwa wala usijichoshe kuhangaikia mawasiliano.

Fuatilia maswala yako ya pesa katika kipindi hichi na utapata sana kwa namna usiyoitarajia.

Herufi D P H T L X

Leo tulia nyumbani kwako siku ya Leo kwako ni mbaya na utapata bahati mbaya au mkosi Leo usijihusishe na mikusanyiko ila kwa dharura na usikae mpaka mwisho wa mikusanyiko huo.

Jitahidi urudi nyumbani kwako mapema leo Ikiwa umetoka nyota zinaonyesha utapigwa kichawi au utadhulumiwq hivyo baada ya hapo familia itajaa maradhi na kuuguliwa hapa na pale hivyo urudi nyumbani kwako mapema kuepukana na yote hayo.

Maalim Jawzatulhindiiy Tamr
+255 653 663 567

USIKOSE mvuto mpya wa KIGOZI CHA MAAJABU

YAPATIKANAYO KWA 45000 MAFANIKIO NI NDANI YA WIKI MOJA TU MATUNDA HUJIDHIHIRISHA.

UTABIRI WA LEO JUMATATU TAREHE 24/07/2023RANGI YA BAHATI SILVER AU NYEUPENAMBA YA BAHATI 4ANGALIA HERUFI YA JINA LAKO IL...
24/07/2023

UTABIRI WA LEO JUMATATU TAREHE 24/07/2023

RANGI YA BAHATI SILVER AU NYEUPE

NAMBA YA BAHATI 4

ANGALIA HERUFI YA JINA LAKO ILIPO KISHA SOMA UTABIRI WAKO

Maalim Jawzatulhindiiy
+255 653 663 567

Herufi A M Y E Q I U

Utapata matumaini mazuri sana kwenye mipango yako

Afya yako au mgonjwa wako atapona maradhi yake baada ya kutoa sadaka kubwa na kuwa wamoja katika maamuzi yenu

Pia mahusiano yako yataingia utulivu na amani itarejea kati yenu

Ukikutana na mtu mzima analia machozi basi mkosi ulionao hautaisha mpaka urudi nyumbani kwenu ukafanye jambo la kuwafariji waliopo nyumbani kwenu ulipozaliwa.

Pia nyota inakusihi kuiangalia afya yako zaidi hali ya vichomi unayoisikia na kichwa kuuma upande mmoja sio nzuri inaweza kugeuka na kuwa tatizo kubwa baadaye.

Herufi B N Z F R J V

Lipa madeni yako kwakuwa inaonekana wiki hii yatakusumbua na yatakunyima furaha zaidi

Pia utapata furaha na pongezi au kusifiwa kwa mema yako usijiachie chukulia kawaida tu kwakuwa maadui watapitia humo humo

Pia tamaa zako Leo sio nzuri zitakuingiza kwenye matatizo makubwa hivyo jizuie na tamaa zako Leo

Na mahusiano mapya yoyote au ushirika wowote Leo kwako utakunyonya na utamnufaisha huyo utakayeshirikiana nae.

Herufi C O G S K W

Utakutana na marafiki zako mliopotezana siku nyingi na utakumbukwa na marafiki zako au ndugu mliopotezana na haja zako nyingi zitatimia

Unashauriwa kuishi kiroho (kiimani) zaidi ili uweze kupambana na haya yanayokusumbua.

Maadui zako watashuka nguvu au wataishiwa nguvu na sifa zao mbaya zitatapakaa na watapoteza muelekeo wao na haja zako zitatimia bila shida yoyote.

Herufi D P H T L X

Maudhi bado yatakusibu kwenye mipango yako na utapoteza bahati zako ikiwa utaweka wazi Siri zako na wapo wanaofurahia huzuni yako hivyo kuwa makini na yote yaliyopita kwakuwa yananguvu ya ubaya au uadui ndani yake hivyo jitahidi ibada na upende kumtanguliza mola wako kwenye mipango yako.

Ndoa au mahusiano yako inaombewa mabaya kila uchwao ndio maana huoni furaha kwa sasa pambana na hali hiyo kwakuwa kiibada zaidi utaiona furaha tena ikishamiri kwenye mambo yako.

*Maalim Jawzatulhindiiy Tamr*
+255 653 663 567

UTABIRI WA LEO TAREHE 21/7/2023Leo kuna ajali za hapa na pale barabarani pia muwe makini na watoto leo kwakuwa wengi wat...
21/07/2023

UTABIRI WA LEO TAREHE 21/7/2023

Leo kuna ajali za hapa na pale barabarani pia muwe makini na watoto leo kwakuwa wengi watapotea Leo au kuibiwa n.k

Pia siku ya leo sio nzuri kwa safari za Siri kwakuwa zina mkosi na bahati mbaya na unaweza usirudi salama kwa safari yako hiyo ya Siri au ukarudi salama lakini utakuwa umeshaibiwa au kutapeliwa

Pia wizi ni mwingi mchana wa leo mpaka mwisho wa siku hii hivyo usiende ugenini mwenyewe Leo na usijiamini kwa yoyote atakayesema tuongozane na Mimi naenda hukohuko.

Leo ni siku ya kupoteza zaidi kutokana tarehe ni 21 (1+2)=3

Kiarabu Leo tarehe 3(3) ambapo hii 3

Maana yake kupoteza kitu au kutoka kwa kitu n.k

Pia leo ukitaka siku yako iwe nzuri basi waheshimu zaidi ndugu zako upande wa baba yako utapata nguvu ya kila hitaji lako au mheshimu baba yako au ndugu zake wenye utu.

RANGI YA BAHATI KIJANI KIBICHI

NAMBA YA BAHATI 7

Maalim Jawzatulhindiiy
+255 653 663 567

ANGALIA HERUFI YAKO NA USOME UTABIRI WAKO WA LEO HAPA

HERUFI D P H T L X

Utapata habari mbaya Leo au taarifa ya msiba na msiba huo una nasaba nao hivyo jitahidi uwe miongoni mwa wahudhuriaji

Pia siku kuna mtu jinsia tofauti na yako atakuudhi mno leo kwa kauli zake mbaya au maneno yake yatakunyima furaha kwa siku ya Leo

Maadui zako wamekukalia vikao na kukuongelea mabaya kila uchwao lakini usirudi nyuma pambania maisha yako yasikuwazishe mambo yao wewe bado ni mshindi dhidi yao

Kuhusu mipango yako kutokwenda sawa timiza ahadi zako na utoe sadaka utaona mipango yako ikienda sawa

Biashara yako itafunguka na itaenda vizuri zaidi

Pia siku ya leo ukikutana na mtu ukamsalimia akanyamaza hiyo ni ishara ya uadui na unaanzia kwa mtu huyo huyo hivyo kuwa makini nae hana kheri na wewe.

Siku ya leo usianzishe kitu chochote kitakufa kwa fitna na vikao vya watu wabaya.

HERUFI A M Y E Q I U

Haja zako zitatimia bila shaka yoyote na mipango yako itakuendea vizuri mno Leo

Tegemea kupata faraja kubwa na utapata cheo au bahati nasibu au bahati nzuri na heshima yako itaongezeka zaidi na utapongezwa kwa mambo yako mazuri kwa watu

Ukikutana na mtu mzuri Leo mpaka ukajishtukia huyo ni kiumbe ongea shida yako japo kwa ishara atakusikia na ataishughulikia

Leo ni siku nzuri mno kwako fanya lolote la kheri utafanikiwa haja zako.

HERUFI B N Z F R J V

Kuna mtu atakuharibia siku ya Leo na utapotezewa muda wako leo haja zako zitakuwa na uzito katika ukamilifu wake

Tumia akili yako zaidi Leo na fuata nafsi yako itakavyo usishirikiane na mtu utapotea Leo au utapotezwa

Pia huko uendapo leo utapishana kauli au uelewa utakuwa tofauti hivyo kuwa mvumilivu kwakuwa utakasirishwa

Ukikutana na mtu anakimbia alafu amevaa mavazi meusi yote au ukaparamiwa na kichaa Leo au mtu ananuka majasho basi utapata bahati mbaya au mkosi ikiwezekana usiwe muongeaji Leo na uwe mpole kwa kila kitu.

HERUFI C O G S K W

Safari zako Leo zina kheri na utapata furaha kubwa na utakutana na watu watakaokupa faraja na utulivu mkubwa wa nafsi yako

Maadui zako leo hawana nguvu na iwapo atakufanyia baya Leo utasikia kesho yake mgonjwa au kasafiri safari ya mbali ambayo hatoweza kurudi haraka huu ni wakati wako wa kutumia fursa yoyote uliyoipata pia usipuuzie wito una kheri kwako

Nyota inakushauri kufikiria makubwa na kuwaza mbali usifikirie hapa na jiweke kikubwa utathaminiwa na haja zako zitatimia na kufikia mahala pazuri.

Maalim Jawzatulhindiiy Tamr
+255 653 663 567

Address

CHANIKA MWISHO DSM
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Magonjwa na Utabiri posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Magonjwa na Utabiri:

Share