31/03/2020
“Ninasikitika kutangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa wa corona Tanzania kilichotokea alfajiri ya leo March 31, ktk kituo cha matibabu ya wagonjwa wa corona kilichopo Mloganzila DSM, Marehemu ni Mtanzania, Mwanaume mwenye miaka 49, alikuwa pia akisumbuliwa na maradhi mengine”-Waziri wa Afya Ummy Mwalimu