Dalali Kijana

Dalali Kijana Tangaza uza kwa bei poa Tanzania.

Tupigie simu 0789-100 100 au 0675-200 300—Barabara hii imeanza kuwekwa lami kutokea madale. Kinagusa barabara kubwa amba...
08/07/2025

Tupigie simu 0789-100 100 au 0675-200 300

Barabara hii imeanza kuwekwa lami kutokea madale. Kinagusa barabara kubwa ambayo soon inakuwa na lami.
Panafaa sana kujenga fremu, carwash+ garagehardware, bar na biashara zote unazojua zinahitaji barabara kubwa.

Asking price: tsh mil 33 maongezi yapo.

Kina hati miliki. Transfer nakufanyia bure kabisa

Location: kipo Bunju A mji mpya barabara inayotoka madale kwenda hospitali ya wilaya ya mabwepande

Ukubwa: kina SQM 540

Tupigie simu 0789-100 100 au 0675-200 300
ofisi zetu zipo tegeta azania CHIEF HOUSE ghorofa ya kwanza

Ahsante Mungu kwa kuongeza mwaka 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
01/07/2025

Ahsante Mungu kwa kuongeza mwaka
🙏🙏🙏🙏🙏🙏

Hii haijawahi kutokea yani mpaka sisi wenyewe tunashangaa 😳😳Tupigie simu 0789-100 100 au 0675-200 300Jumatano ya wiki hi...
30/06/2025

Hii haijawahi kutokea yani mpaka sisi wenyewe tunashangaa 😳😳
Tupigie simu 0789-100 100 au 0675-200 300
Jumatano ya wiki hii tunaanza kwenda site na kila jumamosi na jumatano.

Viwanja vyote tutauza kwa bei ya ofa kuanzia tarehe 01/07/2025 ofa itaisha 31/07/2025 au vikiisha viwanja mana vimebaki vichacheee
——
Viwanja vyote vimepimwa HATI MILIKI unapata buree

Viwanja Vipo KIBAHA NGETA kilomta 3 toka station ya reli ya SGR ya Soga
tunauza viwanja vilivyopimwa kwa bei nafuu sana

Bado kipoTupigie simu 0789-100 100 au 0675-200 300Tukuuzie kiwanja hiki—Location: Kipo mbezi mpiji magoe. Kiwanja cha pi...
22/06/2025

Bado kipo
Tupigie simu 0789-100 100 au 0675-200 300
Tukuuzie kiwanja hiki

Location: Kipo mbezi mpiji magoe. Kiwanja cha pili toka barabara kubwa ya mpiji magoe.

Ukubwa: kina SQM 400

TUNAUZA VIWANJA. VIPO VITATU TU.Tumevipima hati miliki unapata bure kabisa. Tupigie simu 0789-100 100 au 0675-200 300𝐔𝐊𝐔...
07/06/2025

TUNAUZA VIWANJA. VIPO VITATU TU.
Tumevipima hati miliki unapata bure kabisa. Tupigie simu 0789-100 100 au 0675-200 300

𝐔𝐊𝐔𝐁𝐖𝐀 𝐖𝐀 𝐕𝐈𝐖𝐀𝐍𝐉𝐀
𝐒𝐐𝐌 927
𝐁𝐄𝐈: 39,800,000 THS

𝐒𝐐𝐌 896
𝐁𝐄𝐈: 38,800,000 THS

𝐒𝐐𝐌 820
𝐁𝐄𝐈: 38,600,000 THS

HUDUMA ZA KIJAMII ZIPO
🚰 MAJI ✅
💡UMEME ✅
🛣 BARABARA ✅

🛑EPUKA SOLD OUT🛑

UNAPATA NA 𝗛𝗔𝗧𝗜 𝗠𝗜𝗟𝗜𝗞𝗜!

𝗧𝗨𝗡𝗔𝗞𝗪𝗘𝗡𝗗𝗔 𝗦𝗜𝗧𝗘
SIKU: JUMATATU - JUMAPILI
MUDA: SAA 2:00 ASUBUHI - SAA 11:00 JIONI

Karibu Utimize Ndoto/Malengo yako kwa kumiliki Viwanja.

𝐓𝐞𝐦𝐛𝐞𝐥𝐞𝐚 𝐒𝐚𝐬𝐚 𝐎𝐟𝐢𝐬𝐢 𝐳𝐞𝐭𝐮 𝐓𝐮𝐤𝐮𝐩𝐞𝐥𝐞𝐤𝐞 𝐒𝐢𝐭𝐞!
🏢Tegeta Azania, Chief House, Ghorofa ya Kwanza.

☎ Tupigie simu : 0675-200 300 AU 0789 100 100

Maisha ni rahisi sana ukiwa na majibu.Akija mkristo mwambie hivi “ ndugu yangu hapa nimekuuzia maji tu hii chupa nimekup...
02/06/2025

Maisha ni rahisi sana ukiwa na majibu.
Akija mkristo mwambie hivi “ ndugu yangu hapa nimekuuzia maji tu hii chupa nimekupa bure sababu kiimani haifai kumuuzia mtu maji bila kumpa cha kubebea”.

K**a mteja ni muislam mjibu hivi “Mimi suizi maji nimekupa bure hii umelipia chupa ndo nimekuuzia sababu haifai kukuuzia chupa tupu isiyokuwa na kitu”

Je k**a akija mpagani?? Mwambie hivi “ haya maji na chupa yake vyote nimekupa bure hii mia saba uliyonilipa ni umenirudishia nauli yangu kutoka huko nilikovitoa mpaka hapa uliponikuta navyo.
Naamini somo limeeleweka.
😶‍🌫️😶‍🌫️😶‍🌫️

☎ Tupigie simu : 0789 100 100 AU 0675-200 300𝗞𝗜𝗪𝗔𝗡𝗝𝗔 𝗞𝗜𝗡𝗔𝗨𝗭𝗪𝗔❗𝐔𝐊𝐔𝐁𝐖𝐀 𝐖𝐀 𝐕𝐈𝐖𝐀𝐍𝐉𝐀: 𝐒𝐐𝐌 400𝐁𝐄𝐈: 12,800,000 THS (milioni kum...
31/05/2025

☎ Tupigie simu : 0789 100 100 AU 0675-200 300

𝗞𝗜𝗪𝗔𝗡𝗝𝗔 𝗞𝗜𝗡𝗔𝗨𝗭𝗪𝗔❗
𝐔𝐊𝐔𝐁𝐖𝐀 𝐖𝐀 𝐕𝐈𝐖𝐀𝐍𝐉𝐀: 𝐒𝐐𝐌 400

𝐁𝐄𝐈: 12,800,000 THS (milioni kumi na mbili na laki nane tu)



📍𝗟𝗢𝗖𝗔𝗧𝗜𝗢𝗡: MPIJI MAGOE, MBEZI. KIWANJA CHA PILI TOKA MABARABARA KUBWA YA MPIJI MAGOE INAYOWEKWA LAMI.

HUDUMA ZA KIJAMII ZIPO
🚰 MAJI ✅
💡UMEME ✅
🛣 BARABARA ✅

𝗧𝗨𝗡𝗔𝗞𝗪𝗘𝗡𝗗𝗔 𝗦𝗜𝗧𝗘
SIKU: JUMATATU - JUMAPILI
MUDA: SAA 2:00 ASUBUHI - SAA 11:00 JIONI

Karibu Utimize Ndoto/Malengo yako kwa kumiliki Viwanja.

𝐓𝐞𝐦𝐛𝐞𝐥𝐞𝐚 𝐒𝐚𝐬𝐚 𝐎𝐟𝐢𝐬𝐢 𝐳𝐞𝐭𝐮 𝐓𝐮𝐤𝐮𝐩𝐞𝐥𝐞𝐤𝐞 𝐒𝐢𝐭𝐞!
🏢Tegeta Azania, Chief House, Ghorofa ya Kwanza.

☎ Tupigie simu : 0675-200 300 AU 0789 100 100

 Kigoma high school form VI.Leo nimekumbuka maneno yako mh  . “Nilisoma hapa nikafukuzwa shule, niliongoza mgomo mkubwa ...
02/05/2025


Kigoma high school form VI.
Leo nimekumbuka maneno yako mh . “Nilisoma hapa nikafukuzwa shule, niliongoza mgomo mkubwa sana wakanifukuza nilikuwa head prefect “ 😅
Tukiachana na hayo ulitupa story nyingi za kutujenga na kututia moyo hasa na mambo ya shule na changamoto zake.
Hata sasa huwezi kumbuka chochote mana ni zamani na ulikuja kututembelea tu kishkaji sio ziara rasmi lakini amini maneno yako ya busara yanaishi sana kwetu/kwangu.
🙏🙏🙏🙏

Tangu nizaliwe leo ndo nimegundua kumbe niki save bukubuku kila siku kwa mwaka mzima napata milioni 365 daaa mbona binad...
19/04/2025

Tangu nizaliwe leo ndo nimegundua kumbe niki save bukubuku kila siku kwa mwaka mzima napata milioni 365 daaa mbona binadamu mna siri sana 🤫🤫

Address

Tegeta Azania
Dar Es Salaam
255

Telephone

+255718342088

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dalali Kijana posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share