11/04/2025
Je, unapata maumivu chini ya kitovu, uchafu wa njano au kijani unaonuka vibaya, na maumivu wakati wa tendo la ndoa?
Hii inaweza kuwa dalili ya PID,Maambukizi katika viungo vya uzazi wa ndani. Usinyamaze, PID inaweza kuharibu mirija ya uzazi na kusababisha ugumba!
⏺️Ushuhuda
Nilikuwa na PID kwa miaka 2, kila mwezi natumia dawa bila mafanikio. Lakini baada ya kutumia dozi ya asili kutoka Tabasamu Lako Herbal Clinic, uchafu uliisha, maumivu yakaisha, na sasa nipo vizuri.
Na wewe unaweza kupona, usikate tamaa.
⏺️Madhara
PID haionekani kwa macho, lakini madhara yake ni makubwa!
Inaweza kusababisha:
• Maumivu ya tumbo la chini
• Ugumba
• Maumivu ya tendo la ndoa
• Mimba nje ya mfuko
Usingoje hadi iwe mbaya – chukua hatua mapema.
Tunayo tiba salama, ya asili, isiyo na madhara.
Wasiliana nasi leo.
⏺️Ushauri
PID mara nyingi husababishwa na maambukizi ya bakteria k**a Chlamydia na Gonorrhea.
K**a unapata PID mara kwa mara:
• Hakikisha mwenza anatibiwa pia
• Epuka ngono bila kinga
• Usitumie sabuni au dawa kali sehemu za siri
• Tumia tiba inayosafisha na kulinda viungo vya uzazi
Tunasaidia wanawake wengi kupona,je, wewe uko tayari kuanza safari ya uponyaji?
⏺️Hatua
PID? Uchafu unaonuka? Maumivu ya tumbo?
Tuma “PID” kwenye WhatsApp sasa, +25568704906 utapokea mwongozo wa kupona na dozi salama.
Tiba ni rahisi kuliko madhara ya kuchelewa.