Sumaku_Ya_Pesa

Sumaku_Ya_Pesa Nawasaidia Vijana Wa Chuo Kujipatia kipato Cha Ziada Kwa muda wao wa ziada 3M kila mwezi.

😡 mwisho wa mwezi, mshahara wako unaenda wapi!?➡️ Unafanya kazi kwa bidii, lakini pesa zinakwisha hata kabla ya tarehe 1...
13/02/2025

😡 mwisho wa mwezi, mshahara wako unaenda wapi!?

➡️ Unafanya kazi kwa bidii, lakini pesa zinakwisha hata kabla ya tarehe 15!

➡️ Kodi, nauli, mikopo, ada za watoto… mshahara wako haukutoshi hata kidogo!

➡️ Unatamani kuongeza kipato, lakini unahisi huna muda wa ziada…

SASA FIKIRIA HII:

💡 Nimegundua njia ya waajiriwa kutengeneza angalau 3M+ kila mwezi kwa kutumia simu na muda wao wa ziada!

💡 Mfumo huu haufanyi ushindwe kuendelea na kazi yako – bali unakuletea pesa ya ziada kwa akili!

🚀 Watu wengi k**a wewe wamejifunza na sasa wanapiga pesa kubwa, bila hata kuacha kazi zao!

❌ Hakuna kuomba omba kila mwisho wa mwezi!

❌ Hakuna kuomba mshahara uongezwe!

✔️ Ni mfumo wa mtandaoni unaokupa kipato kikubwa bila kuacha kazi yako ya sasa!

⏳ Wakati haukusubiri… K**a unataka kujua mfumo huu unaofanya hata waajiriwa waliokuwa wanahangaika sasa wanakula maisha…

👇 BOFYA “LEARN MORE” hapa chini ya picha ujifunze jinsi ya kuanza leo! 🔥💰

AU...

Bofya Link Hapa Chini 👇 Kupata Mwongozo Hatua Kwa hatua

>>>> https://mkwanja.co.tz/

P.S. Hii Fursa Kwa Watu 10 Tu Wa Kwanza Kwahiyo Bonyeza hapa chini 👇 sasa hivi Kabla Sijazitoa Online

>>>> https://mkwanja.co.tz/

“UKIKOSA HII FURSA, UTAENDELEA KULALAMIKA NA KUSEMA MAISHA NI MAGUMU!” 😡💔Unapochungulia akaunti yako ya M-PESA au bank, ...
13/02/2025

“UKIKOSA HII FURSA, UTAENDELEA KULALAMIKA NA KUSEMA MAISHA NI MAGUMU!” 😡💔

Unapochungulia akaunti yako ya M-PESA au bank, unaona 0.00… 😢 Kila siku unapambana, lakini mwisho wa mwezi huna hata senti ya ziada! Wakati huo huo, watu wengine wanatengeneza pesa KILA SIKU wakiwa nyumbani, bila hata kutoka nje!

Sasa jiulize… MBONA WAO WANAPIGA HELA, NA WEWE UNABAKI KUANGALIA TU? 🤔💰

SIRI WALIYOGUNDUA...

Wamegundua kuwa Instagram siyo tu sehemu ya kupost picha, bali ni MACHINE YA KUTENGENEZA PESA! 💵🔥 Watu wanafanya KAZI MOJA tu – kuuza taarifa zinazohitajika na watu! 📲💡

🚀 Unachohitaji?
✅ Simu yako
✅ Akaunti ya Instagram
✅ Siri ya kuuza taarifa kwa njia ya KIJANJA (bila hata kulipia matangazo!)

Wanasema pesa ipo mtandaoni – lakini je, UNAJUA KUICHUKUA? K**a unataka kutoka kwenye hali ngumu ya kiuchumi na kuanza kupata pesa online kwa kuuza taarifa kwenye Instagram, nipo tayari kukuonyesha njia!

⚠️ USIPOTEZE MUDA!

K**a umewahi kuumia kwa sababu huna kazi, unakopa kila siku, au unatamani kutoka kwenye umaskini lakini hujui wapi pa kuanzia – hii ni nafasi yako ya mwisho!

Comment Neno 📩 (2025) ujifunze SIRI ya kuuza taarifa na kupiga pesa Instagram hata k**a hujawahi kufanya biashara online! 💰🔥

“K**a unataka kujenga biashara ya uhakika yenye kukuingizia kipato kizuri unafanyaje?”Una chaguo 2Chaguo la 1: Commodity...
11/09/2024

“K**a unataka kujenga biashara ya uhakika yenye kukuingizia kipato kizuri unafanyaje?”

Una chaguo 2

Chaguo la 1: Commodity Business

Unaanzisha biashara ya kuuza bidhaa au kutoa huduma.

Lakini changamoto ya biashara ya namna hii ni kuwa ushindani ni mkubwa mno na unaongezeka kila siku.

Leo biashara yako inaanza vizuri lakini baada ya miezi 6 tu kila jirani yako amefungua biashara k**a yako...
.. jambo linalofanya muanze kushindana kushusha bei.

Faida inaanza kupungua na biashara inashindwa kudumu!

Unalazimika kufunga biashara yako!

Hii ndio story ya zaidi ya 75% ya wafanyabiashara wadogo ndani na nje ya nchi.

Wanafungua biashara ili baada ya miaka michache (au miezi) waje kuifunga.

Au unaamua kuingia sokoni kwa staili mpya ya

Chaguo la 2: Expert Business

Badala ya kuuza bidhaa/huduma unatafuta kundi maalum ya watu wenye matatizo fulani na unauza utatuzi wa matatizo yao kwa kutumia taaluma yako.

Kwa vile wataalamu wanaheshimika kwenye soko, wanakuwa tayari kukulipa pesa nyingi (k**a bei zako ni ndogo basi wewe si mtaalamu).

Ndio maana daktari bingwa hulipwa mara 10 au zaidi kuliko daktari wa kawaida kwa sababu ya taaluma na uwezo wa kutatua matatizo ya walengwa wake.

Kwa vile unalipwa pesa nyingi k**a mtaalamu, huhitaji kuwa na wateja wengi kutimiza malengo yako.

Wateja wachache!
Stress chache na
Pesa nyingi.

Hiyo ndio biashara ya kufanya.

Biashara hii huitwa ‘Expert Business.’

Wateja hawalipii bidhaa/huduma unayotoa.

Wanalipia uwezo wako wa kutatua matatizo yao.

Na k**a unajiona kuwa hujaenda shule au huna taaluma yoyote, usiogope.

Huhitaji kuenda shule, kuwa na vyeti au CV za ajabu kujenga biashara ya kitaalamu.

K**a unaweza kumsaidia mtu kupunguza uzito basi unaweza kuwa mtaalamu.

K**a unaweza kuwafundisha wanafunzi wa form 6 kufaulu somo la hesabu basi unaweza kuwa mtaalamu.

K**a unaweza kuwasaidia wafanyabiashara kupata wateja basi unaweza kuwa mtaalamu.

N.k.

K**a utapenda kufahamu zaidi kuhusu expert business, Basi Nitumie Neno
“Expert Business” Kwenda namba 0676650277 .

Kisha Nitakupa 𝑭𝒐𝒓𝒎𝒖𝒍𝒂 𝒀𝒂 𝑺𝒊𝒓𝒊 5 Muhimu Za Kujenga “Expert Business” Tuma sasa hivi kwani zimebaki nafasi 10 tuu.

Lifestyle is my favorite
08/09/2024

Lifestyle is my favorite

*Jinsi Ya Kujinasua Kwenye KIFUNGO Kinachozuia MAFANIKIO Yako Ndani Ya 2024...*Rafiki Mpendwa!Nakurudisha Nyuma Mpaka Mw...
05/09/2024

*Jinsi Ya Kujinasua Kwenye KIFUNGO Kinachozuia MAFANIKIO Yako Ndani Ya 2024...*

Rafiki Mpendwa!

Nakurudisha Nyuma Mpaka Mwaka 2,000
..nikiwa Bado Kijana Mdogo ila Mwenye Akili na uelewa wa Mambo

Nilienda kumtembelea Babu yangu Kijijini Mambali-Tabora

Nilipenda sana Kwenda Kuchunga ng’ombe na Babu yangu Huku akinipigia Story Kibao za zamani

ILA...

Kitu kilichonifurahisha Zaidi ni Jinsi Wanavyowatega na Kuwanasa NYANI wanaoharibu mazao Shambani

Kwani Wanawategaje?...

Nimefurahi Umeuliza...

Na Hivi ndivyo inavyokuwa:

Wanaenda Kwenye Mti Kisha wanautoboa Shimo Lenye Size ya Kiganja Cha Mkono
..halafu wanaweka Ndizi au Karanga Ndani ya Hilo Shimo

Baada ya Muda Nyani wanakuja kuingiza Mkono Ili Kuchukua Ile Ndizi au Karanga...

Akiingiza Mkono Tu Ananasa Hawezi Tena kuutoa?

Kwanini?... utauliza

Kwasababu:
.. Tayari Kiganja chake kimeshakuwa KIKUBWA baada ya Kushika Ndizi au Karanga

Kwahiyo:

ANANASA na Hawezi kukubali kuachia Ndizi Ili ajinasue atoroke...
..na hatimaye Mpaka wanamkuta wanamk**ata na Kumuua

Well...nimekupa Story Hii Kwasababu Binadamu ni K**a Nyani

Badala ya Kushikilia Ndizi au Karanga...yeye anashikilia Vitu k**a:

1). Ajira asiyoipenda

2). Mikopo Mibaya...(a.k.a Kausha Damu)

3). Liabilities

4). Mawazo yaliyopitwa na Wakati

Nk...

Wanaishia Kutumia Maisha Yao yote Kuteseka na Kuhangaika Mpaka Kifo kinawakuta

Yote hayo yanatokea Kwasababu Tu Hawawezi Kuachia Ili wajitoe Kwenye Hivyo Vifungo

Kwahiyo:

Usiwe k**a NYANI... Jifunze Kuachia Kila Kitu kinachokurudisha Nyuma

Anza Mwezi Upya, Ukiwa Mpya!

Binamu 😁

Happy New Month Champions!🦅🦅💪💰

*Jinsi Ya Kujinasua Kwenye KIFUNGO Kinachozuia MAFANIKIO Yako Ndani Ya 2024...*Rafiki Mpendwa!Nakurudisha Nyuma Mpaka Mw...
05/09/2024

*Jinsi Ya Kujinasua Kwenye KIFUNGO Kinachozuia MAFANIKIO Yako Ndani Ya 2024...*

Rafiki Mpendwa!

Nakurudisha Nyuma Mpaka Mwaka 2,000
..nikiwa Bado Kijana Mdogo ila Mwenye Akili na uelewa wa Mambo

Nilienda kumtembelea Babu yangu Kijijini Mambali-Tabora

Nilipenda sana Kwenda Kuchunga ng’ombe na Babu yangu Huku akinipigia Story Kibao za zamani

ILA...

Kitu kilichonifurahisha Zaidi ni Jinsi Wanavyowatega na Kuwanasa NYANI wanaoharibu mazao Shambani

Kwani Wanawategaje?...

Nimefurahi Umeuliza...

Na Hivi ndivyo inavyokuwa:

Wanaenda Kwenye Mti Kisha wanautoboa Shimo Lenye Size ya Kiganja Cha Mkono
..halafu wanaweka Ndizi au Karanga Ndani ya Hilo Shimo

Baada ya Muda Nyani wanakuja kuingiza Mkono Ili Kuchukua Ile Ndizi au Karanga...

Akiingiza Mkono Tu Ananasa Hawezi Tena kuutoa?

Kwanini?... utauliza

Kwasababu:
.. Tayari Kiganja chake kimeshakuwa KIKUBWA baada ya Kushika Ndizi au Karanga

Kwahiyo:

ANANASA na Hawezi kukubali kuachia Ndizi Ili ajinasue atoroke...
..na hatimaye Mpaka wanamkuta wanamk**ata na Kumuua

Well...nimekupa Story Hii Kwasababu Binadamu ni K**a Nyani

Badala ya Kushikilia Ndizi au Karanga...yeye anashikilia Vitu k**a:

1). Ajira asiyoipenda

2). Mikopo Mibaya...(a.k.a Kausha Damu)

3). Liabilities

4). Mawazo yaliyopitwa na Wakati

Nk...

Wanaishia Kutumia Maisha Yao yote Kuteseka na Kuhangaika Mpaka Kifo kinawakuta

Yote hayo yanatokea Kwasababu Tu Hawawezi Kuachia Ili wajitoe Kwenye Hivyo Vifungo

Kwahiyo:

Usiwe k**a NYANI... Jifunze Kuachia Kila Kitu kinachokurudisha Nyuma

Anza Mwezi Upya, Ukiwa Mpya!

Binamu 😁

Happy New Month Champions

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255676650277

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sumaku_Ya_Pesa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share