25/03/2026
🍀Unataka Internet yako ifike mbali zaidi bila kupoteza nguvu ya signal?
Sasa inawezekana kwa kutumia Vifaa hivi mfano hii Outdoor Access Point / Extender ya Hii ya Ruijie
kifaa Hiki maalum kinasaidia kusambaza Wi-Fi yako umbali mrefu kwenye maeneo ya nje k**a mitaa, shule, hoteli, lodge, kambi au biashara.
Hiki ni kifaa kinachochukua internet yako kutoka kwenye router na kuisambaza umbali mrefu zaidi kwa nguvu na ubora mkubwa.
✅ Inasambaza Internet Umbali Mrefu – Coverage yake inaweza kufika hadi takribani mita 300 kwenye eneo la uwazi na karibu mita 100+ kwenye eneo la makazi kulingana na mazingira.
✅ Teknolojia ya Kisasa ya Wi-Fi 6 – Internet inakuwa ya haraka zaidi na yenye uwezo wa kuhudumia watumiaji wengi kwa wakati mmoja bila kuslow.
✅ Imeundwa kwa matumizi ya nje (Outdoor) – Ina uwezo wa kufanya kazi kwenye mvua, jua kali na mazingira ya vumbi bila shida.
✅ Signal Inasambaa Pande Zote – Antenna zake zenye nguvu husaidia Wi-Fi kufika kwenye eneo kubwa kwa ufanisi zaidi.
✅ Inafaa Maeneo Makubwa – Bora kwa shule, hoteli, hospitali, hosteli, viwanja, magodown na biashara.
✅ Inaunga vifaa vingi kwa wakati mmoja – Hata watu wengi wakiunganisha internet bado inabaki imara.
✅ Rahisi Kusakinisha (PoE Technology) – Inahitaji cable moja tu ya network hivyo ufungaji unakuwa rahisi na wa haraka.
✅ Unaweza Kupanua Coverage Zaidi (Mesh Support) – Ukiweka vifaa zaidi unaweza kufunika eneo kubwa zaidi bila matatizo.
💰 Bei Maalum Kabisa: Tsh 600,000 tu
🛜☎️🤙Wasiliana nasi sasa: 0710802580
Tunapatikana Mabibo NIT pia kwa ushauri na huduma ya ufungaji pia.🤙
🛜🫡Suluhisho bora la kufanya Wi-Fi yako ifike mbali na iwe na nguvu kwenye eneo lako!