Home Unlimited Internet Tz

Home Unlimited Internet Tz Fastest Internet Speed in Tanzania

29/03/2026
29/03/2026

MINI UPS 10000mAh – Suluhisho la Internet Isiyokatika! (Intwrnet haikati hata umeme ukatike siku nzima)

Matumizi na Faida zake:
✅ Internet yako inaendelea hata umeme ukikatika
✅ Inaweza kuwasha router na modem kwa wakati mmoja
✅ Inasaidia kamera za usalama (PoE) ziendelee kufanya kazi
✅ Ina Port ya LAN kwa muunganisho rahisi wa mtandao
✅ Ina USB Port – unaweza kuchaji simu au kifaa kingine
✅ Betri kubwa 10000mAh – muda mrefu wa backup
✅ Inafaa sana kwa nyumbani, ofisini na biashara ndogo
✅ Hubadilika haraka kutoka umeme kwenda betri bila kukata internet
✅ Hulinda vifaa vyako dhidi ya hitilafu za umeme
✅ Ndogo, imara na rahisi kusafiri nayo
🔥 Chaguo bora kwa maeneo yenye kukatika umeme mara kwa mara!
🇹🇿Endelea kuwa online muda wote bila usumbufu.

📩 Wasiliana nasi sasa ili kupata yako leo!
🤙☎️🛜0710802580

Min ups 10000mah = 120,000/=Tsh
20000mah bei yake 150,000

25/03/2026

🍀Unataka Internet yako ifike mbali zaidi bila kupoteza nguvu ya signal?

Sasa inawezekana kwa kutumia Vifaa hivi mfano hii Outdoor Access Point / Extender ya Hii ya Ruijie

kifaa Hiki maalum kinasaidia kusambaza Wi-Fi yako umbali mrefu kwenye maeneo ya nje k**a mitaa, shule, hoteli, lodge, kambi au biashara.

Hiki ni kifaa kinachochukua internet yako kutoka kwenye router na kuisambaza umbali mrefu zaidi kwa nguvu na ubora mkubwa.

✅ Inasambaza Internet Umbali Mrefu – Coverage yake inaweza kufika hadi takribani mita 300 kwenye eneo la uwazi na karibu mita 100+ kwenye eneo la makazi kulingana na mazingira.

✅ Teknolojia ya Kisasa ya Wi-Fi 6 – Internet inakuwa ya haraka zaidi na yenye uwezo wa kuhudumia watumiaji wengi kwa wakati mmoja bila kuslow.

✅ Imeundwa kwa matumizi ya nje (Outdoor) – Ina uwezo wa kufanya kazi kwenye mvua, jua kali na mazingira ya vumbi bila shida.

✅ Signal Inasambaa Pande Zote – Antenna zake zenye nguvu husaidia Wi-Fi kufika kwenye eneo kubwa kwa ufanisi zaidi.

✅ Inafaa Maeneo Makubwa – Bora kwa shule, hoteli, hospitali, hosteli, viwanja, magodown na biashara.

✅ Inaunga vifaa vingi kwa wakati mmoja – Hata watu wengi wakiunganisha internet bado inabaki imara.

✅ Rahisi Kusakinisha (PoE Technology) – Inahitaji cable moja tu ya network hivyo ufungaji unakuwa rahisi na wa haraka.

✅ Unaweza Kupanua Coverage Zaidi (Mesh Support) – Ukiweka vifaa zaidi unaweza kufunika eneo kubwa zaidi bila matatizo.

💰 Bei Maalum Kabisa: Tsh 600,000 tu

🛜☎️🤙Wasiliana nasi sasa: 0710802580

Tunapatikana Mabibo NIT pia kwa ushauri na huduma ya ufungaji pia.🤙

🛜🫡Suluhisho bora la kufanya Wi-Fi yako ifike mbali na iwe na nguvu kwenye eneo lako!

24/03/2026
COMFAST Outdoor High Power Wireless AP Inapatikana! ✅Unataka Wi-Fi yenye nguvu inayofika mbali nje na ndani ya eneo lako...
20/03/2026

COMFAST Outdoor High Power Wireless AP Inapatikana! ✅
Unataka Wi-Fi yenye nguvu inayofika mbali nje na ndani ya eneo lako? Sasa tunauza COMFAST Outdoor High Power Wireless AP yenye uwezo mkubwa wa kusambaza internet kwa umbali mrefu. ✅
Sifa Kuu Za Hii Access Point / Extender :
✅ Signal yenye nguvu (High Power) kwa coverage kubwa
✅ Dual Band Wi-Fi (2.4GHz na 5GHz) kwa kasi na stability nzuri
✅ Kasi kubwa ya internet hadi takribani 1200Mbps (kutegemea model)
✅ Antena za High-Gain zinazotuma signal pande zote
✅ Inafaa kutumika nje (weatherproof – mvua au jua sio shida)
✅ Inatumia PoE (cable moja kwa data na umeme)
✅ Inaweza kuunganisha vifaa vingi kwa wakati mmoja
✅ Modes mbalimbali: AP / Router / Repeater / Bridge

Coverage ya Signal:
✅ Eneo la wazi (Open Area): takribani 100 – 200 mita au zaidi
✅ Eneo la makazi (nyumba na kuta): takribani 50 – 100 mita

👨‍🔧 Pia Tuna Mafundi wa Kufunga na Kusaidia Setup
✅ Tunatoa msaada wa ushauri na ufungaji
✅ ufundi ni maelewano Pia inategemeana na Kazi

☎️🤙🛜Wasiliana nasi sasa:
0710802580 ✅

🤑💰💵 310,000/=Tsh

11/03/2026

INTERNET – DATAFLOW TELECOMS 🛜

Kwa Nyumbani na Ofisini – Tanzania Nzima!
✅ HUDUMA YA 1: Unlimited Internet (15Mbps–30Mbps)
✔️ One-time Installation: 150,000 Tsh
✔️ Gharama ya mwanzo (Installation + Internet): 270,000 Tsh
✔️ Ada ya Kila Mwezi (NRC): 120,000 Tsh
✔️ Speed: 15Mbps hadi 30Mbps (Unlimited Dedicated Capacity)
✔️ Inapatikana Tanzania Nzima
✔️ Hata maeneo ya – Device inafungwa juu Cable inapita hadi ndani kwenye router.

✅ HUDUMA YA 2: Unlimited Internet (Maeneo Fulani ya Dar es Salaam)
✔️ Gharama ya mwanzo (Installation + Internet ya mwezi wa kwanza): 250,000 Tsh
✔️ Ada ya Kila Mwezi: 80,000 Tsh
✔️ Inaweza kuunganisha device hadi 15 kwa ufanisi mzuri
✅Tuna portable pia

✅ MASHARTI YA VIFAA
✔️ Radio na Router ni mali ya Dataflow Telecoms kwa kipindi chote cha huduma
✔️ Endapo kifaa kitapata hitilafu, kitabadilishwa bure kabisa

✅Ukipata Changamoto yoyote Una Rekebishiwa Free.

📞 Wasiliana Nasi Leo!
☎️ 🤙 +255 710 802 580

🌍 Tunatoa Huduma Tanzania Nzima – Karibu Sana Dataflow Telecoms!

Address

Mbezi
Dar Es Salaam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Home Unlimited Internet Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Home Unlimited Internet Tz:

Share