Vyoo Vya kisasa TZ

Vyoo Vya kisasa TZ Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Vyoo Vya kisasa TZ, Business service, Vyoo Vya kisasa TZ, Dar es Salaam.

Karibu ujipatie shimo la choo Cha kisasa kwa gharama nafuu sana.Kwa wakazi wa mwanza,musoma,Dodoma, na Morogoro OFA ipo ...
05/06/2023

Karibu ujipatie shimo la choo Cha kisasa kwa gharama nafuu sana.
Kwa wakazi wa mwanza,musoma,Dodoma, na Morogoro OFA ipo karibu na nyinyi.
Mashimo haya Yana sifa zifuatazo.
Hayajai maji taka kamwe.
Hayatoi harufu.
Huchukuwa nafasi ndogo ya ardhi.
Hupoteza maji kwa njia ya ardhi.
Gharama zake ni nafuu sana.
Kwa mawasiliano ZAIDI.
.
.
na USISITE KUTUULIZA SWALI LOLOTE KUUSU MFUMO WETU WA CHOO CHA KISASA.

Karibu ujipatie shimo la choo Cha kisasa kwa gharama nafuu sana. Tunapatikana Dar es salaam na tunafanya kazi ndani ya D...
04/06/2023

Karibu ujipatie shimo la choo Cha kisasa kwa gharama nafuu sana.
Tunapatikana Dar es salaam na tunafanya kazi ndani ya Dar es salaam Hadi mikoani tunafika ukiwa na uhitaji wa shimo la choo Cha kisasa kwa gharama nafuu sana.
Mashimo haya Hayajai maji taka kamwe na huchukuwa eneo Dogo sana la ardhi na huwaga hayana harufu kamwe.

.

02/06/2023

Karibu ujipatie shimo la choo Cha kisasa kwa gharama nafuu sana.
Tunapatikana Dar es salaam na tunafanya kazi ndani ya Dar es salaam Hadi mikoani tunafika mteja ukiwa na uhitaji wa shimo la choo Cha kisasa kwa gharama nafuu sana.
Mashimo haya Yana sifa zifuatazo.
. Hayajai maji taka kamwe.
. Hayatoi harufu kamwe.
. Huchukuwa nafasi ndogo sana ya ardhi.
. Hupoteza maji kwa njia ya kujimengenya kwenye ardhi.
.Gharama zake hutofautiana kwa wateja wa Dar es salaam na mkoani.

Kwa wateja wa Dar es salaam gharama yake huwa ni milioni Moja 1 tu ila mteja unatuandalia mchanga gari ndogo pamoja na maji tu.
Kwa mteja wa mkoani tunafanya kazi kwa milioni Moja na laki mbili tu 1.2. Mteja tuandalie mchanga gari ndogo tripu Moja tu pamoja na maji tu.
Vifaa vingine vinakuwa juu yetu pamoja na kuchimba shimo.
KWA WATEJA WALIO KIWEPO MWANZA KWA SASA NIPO MWANZA NIMEKUJA KUFANYA KAZI NAWEZA NIKAKUPA OFA USISITE KUNITAFUTA NA WALE WATEJA WALIOPO DAR ES SALAAM NINA MAFUNDI WAPO DAR NA NIWAZOEFU WA KAZI NAWEZA NIKAKUAGIZIA FUNDI BILA WASI WASI WOWOTE.
zaidi.
.
.
wote nipo hewani na USISITE KUTUULIZA SWALI LOLOTE KUUSU MFUMO WETU WA CHOO CHA KISASA.
.

Karibu ujipatie shimo la choo Cha kisasa kwa gharama nafuu sana.Tunapatikana Dar es salaam na tunafanya kazi ndani ya Da...
31/05/2023

Karibu ujipatie shimo la choo Cha kisasa kwa gharama nafuu sana.
Tunapatikana Dar es salaam na tunafanya kazi ndani ya Dar es salaam Hadi mikoani tunafika ukiwa na uhitaji wa shimo la choo Cha kisasa.
OFA OFA OFA OFA OFA OFA Kwa wakazi wa mwanza wote nipo mwanza nimeingia Leo juma nne Nina siku 6 za kukaa mwanza.
Kwa wale wateja wa mwanza kazi hii nitawafanyia kwa gharama ya milioni Moja 1 tu baadala ya kuwa milioni Moja na laki mbili 1.2.
OFA hii imetoka kwa ajili nimekuja mwanza mjini kikazi .
Mashimo haya Yana sifa zifuatazo.
.Hayajai maji taka kamwe.
.Huchukuwa nafasi ndogo sana ya ardhi.
.Hupoteza maji kwa njia ya kujimengenya kwenye ardhi.
.Hayatoi harufu kamwe.
.Gharama yake ni nafuu sana.
.
.
.
na ushauri ni Bure kuusu mfumo wetu.
Na mteja k**a upo Dar es salaam piga cm nitakuagiza fundi mzowefu na kazi yetu.

Karibu ujipatie shimo la choo Cha kisasa kwa gharama nafuu sana.Tunapatikana Dar es salaam na tunafanya kazi ndani ya Da...
20/05/2023

Karibu ujipatie shimo la choo Cha kisasa kwa gharama nafuu sana.
Tunapatikana Dar es salaam na tunafanya kazi ndani ya Dar es salaam Hadi mikoani tunafika ukiwa na uhitaji wa shimo la choo Cha kisasa kwa gharama nafuu sana.
Shimo hili la kisasa huchukuwa eneo Dogo sana la ardhi na Hayajai maji taka kamwe na hayana harufu kamwe.
Kwa wateja wa Dar es salaam tunafanya kazi kwa gharama ya milioni Moja 1 tu.
Kwa wateja waliopo mkoani tunafanya kazi kwa gharama ya milioni Moja na laki mbili 1.2 tu.
.
.
.
Ushauri ni Bure USISITE KUTUULIZA SWALI LOLOTE KUUSU MFUMO WETU WA CHOO CHA KISASA NA tunakufikia popote ulipo.

Address

Vyoo Vya Kisasa TZ
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Vyoo Vya kisasa TZ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share