Health fact and supplements- BFsuma Tz

Health fact and supplements- BFsuma Tz supplements to treat and prevent various diseases such as
hemorroid
prostate health
sexual health

29/05/2022

Hellow dears

26/07/2020

Unapitia changamoto yeyote ya afya ya uzazi
+255712033268 upate sulihisho sahihi la afya yako

28/06/2020

FAHAMU TATIZO LA KUUMWA KICHWA KWA MUDA MREFU/MARA KWA MARA NA SULUHU ZAKE

Tatizo hili la kuumwa na kichwa limegawanyika katika sehemu kuu nyingi sana japokuwa 1% yake ni ashirio la matatizo ya kiafya ambayo yameadvance sana km vile concusion of brain, meningitis, encephalitis na stroke. Kuumwa na kichwa inawezatokana na matatizo ya taya, meno au hata kula vitu vya baridi zaidi, vyakula vyenye nitrite au monosodium glutamate. Sehemu ambazo huuma ni k**a mfumo wa fahamu ambao upo kwenye fuvu la kichwa, badhi ya neva za fahamu zilizoko usoni.

Yafuatayo ni baadhi ya maumivu ya kichwa....

1. NERVOUS TENSION HEADACHES
Ni maumivu ya kichwa endelevu upande mmoja au pande zote za misuli ya shingo na upande wa juu wa mgongo, kuumwa na kichwa pamoja na kusinzia. Tumia Vitamin B2 na C. Punguza au acha matumizi ya sukari, kahawa, chakula chenye kukusababishia mzio, misongo ya mawazo na ufanye mazoezi ya kutosha.

2. CLUSTER HEADACHES
Kichwa kuumwa hasa upande mmoja wa kichwa hasa kwa maumivu makali, machozi humtoka mtu na mak**asi kwa mbali. Kitu cha kwanza kufanya ni kutumia chakula chenye protin ya kutosha, epukana na chakula chenye mzio wako
3. HANG OVER HEADACHES
Hii ni hali ya kuumwa kichwa kutokana na matumizi makubwa ya vinywaji vikali hasa pombe. Weka barafu chini ya kichwa yaani maeneo ya kisogoni au shingoni, kunywa maji mengi na juice ya matunda fresh au uache kabisa pombe

4. EXERTION HEADACHES
Hutokea pale ambapo mwili utatumika sana na hasa kwenye NGONO, Weka barafu eneo linalouma, kula mlo kamili na ufanye mazoezi
5. CAFFEIN HEAD ACHES
Hutokea pale ambapo umeacha matumizi makubwa sana ya kahawa/Energy drinks kwa ghafla. Kunywa kiasi kidogo cha kahawa/energy drinks kuondoa maumivu na upunguze matumizi ya kahawa/energy drinks kidogokidogo mpaka utakapoacha kabisa

6. SINUS HEADACHES
Maumivu haya huanzia upande wa kulia na kushoto wa pua na kupanda mpaka kichwani. Kula vyakula vya Vitamin C kwa wingi na umuone mtaalamu wa Afya maana saa zingine hutokana na maambukizi
9. EYES RAM HEADACHES
Hutokea maumivu kwenye macho na wengi hudhani labda wameangalia vibaya japo inaweza kuwa sababu, lakin chanzo chake hasa ni ubongo kufanya kazi kupita kiasi. Badili mtindo wa maisha k**a ni mtumiaji wa miwani ni vyema ukamuona mtaalam aangalie k**a lensi zimepoteza nuru au laa..

10. MENSTRAL HEADACHES
Hii hutokea kwa akinamama kipindi yai limepevuka. Hutokana na mabadiliko au mvurugiko wa homoni. Hali hii inaweza kuambatana na maumivu ya tumbo. Tumia Virutubisho vya REFINED YUNZHI ESSENSE na FEMICARE humaliza kabisa tatizo hilo.
11. ARTHRITIS HEADACHES
Haya ni maumivu ya kichwa yanayosikika mpaka shingoni na wakati mwingine mgongoni ambayo busababisha maumivu hasa unapozidisha mwendo au shughuli. Kitu kikubwa ni kutibu ugonjwa unaosababisha hali hiyo(tatizo la mifupa)Tumia ZAMINOCAL/ANTHROEXTRA humaliza kabisa tatizo hilo

12. HYPERTANTIONS HEADACHES
Ni maumivu ya kichwa chote, mwendo mkubwa pia huongeza maumivu. Hali hii husababishwa na shinikizo la damu. Tibu au pambana kushusha shinikizo la damu kwa kutumia MICRO2 CYCLE na tatizo hili litaisha kabisa

Asante sana na karibu kwa makala zijazo

Suluhu ya tatizo dawa zote zilizotajwa zinapatikana ,pia SHARE makala hii kadri uwezavyo KUWASAIDIA wenye tatizo hili
+255712033268, hasnaty

03/04/2020

Bado tunaendelea kukusaidia kutibu maradhi yako sugu๐Ÿ˜ฃ๐Ÿ˜ฃ๐Ÿ˜ฃ
Kila sku unaenda hospitali kutibu magojwa n huponi?
Badili aina ya dawa
Tumia virutubisho lishe kutoka
Tibu maradhi k**a vile
๐Ÿ’ŸUTI
๐Ÿ’ŸPID
๐Ÿ’ŸMIRIJA YA UZAZI KUZIBA
๐Ÿ’ŸHARUFU MBAYA UKENI
๐Ÿ’ŸKUTOKWA NA UCHAFU MWEUPE UKENI
namba +255712033268 whtsp poa ipo

02/03/2020

Uchomaji wa sindano ya uzazi wa mpango (Depo provera)umekuwa changamoto kwa baadhi yakina mama kwa kuwaletea matatizo mbalimbali k**a kukosa mzunguruko wa hedhi au kuona hedhi nyingi au kutoona kabisa mzunguko
Mwanamama wagroup hili naombeni muelewe wengi wetu wanakosea mashariti ya hii dawa na kuwaletea shida bila wao kujua wanakosea
Unapotaka kuanza kuchoma hii sindano kisheria unatakiwa uwe kwenye mzunguko wa hedhi ndipo uchome
Na inashauriwa mwanamama ambae ana mtoto ndo aanze kuchoma lakini sasa binti ana miaka 20 anachoma na ana ata MTT
Unapochoma hii sindano unatakiwa uone mzunguko wako k**a kawaida lakini usipoona ujue ni tatizo
Unapotumia sindano ya Depo sindano hii ya uzazi wa mpango huchomwa kwenye misuli (intramuscular injection)kila baada ya miezi 3 wiki (12) vichocheo huwekwa polepole kwenye damu baada ya kuchomwa sindano na hapo huanza kufanya kazi
Huzuia kutolewa kwa mayai kutoka kwenye kifuko chake (ovary)pia hupunguza kiasi cha ute wa uzazi ambao huzuia manii kuingia ndani ya mji wa mimba Uterasi
K**a umeathirika na usasa wa mpango basi endelea kubonyeza like page yetu utapata kujifunza namna ya kuondoa sumu ya uzazi wa mpango Hasnaty-healthcare

Dr. Cow ni muhim sana kwa mtoto wako
14/02/2020

Dr. Cow ni muhim sana kwa mtoto wako

BAWASIRI
Watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI?

Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.

~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita *HEMORRHOIDS* hii hali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles

~Tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50% ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50

AINA ZA BAWASIRI

Kuna Aina mbili za bawasiri

(A) BAWASIRI YA NDANI
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~ Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
~ Aina hii imegawanyika katika madaraja manne

(1) DARAJA LA KWANZA
~ Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pale panapohusika

(2) DARAJA LA PILI
~ Hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyewe ndani baada ya kujisaidia

(3) DARAJA LA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe

(4) DARAJA LA NNE
Hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi

(B) BAWASIRI YA NJE

Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha aina ya bawasiri iitwayo *THROMBOSED HEMORRHOIDS*

CHANZO CHA TATIZO

Chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni:-

๐Ÿ‘‰ Kufanya mapenzi kinyume na maumbile

๐Ÿ‘‰ Kuhalisha kwa muda mrefu

๐Ÿ‘‰ Tatizo la kutopata choo

๐Ÿ‘‰ Matatizo ya umri

๐Ÿ‘‰ Kukaa kitako kwa muda mrefu

๐Ÿ‘‰ Uzito kupita kiasi

๐Ÿ‘‰ Matumizi ya vyoo vya kukaa

DALILI ZA BAWASIRI

๐Ÿ‘‰ Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa

๐Ÿ‘‰ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

๐Ÿ‘‰ Kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa

๐Ÿ‘‰ Kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu

๐Ÿ‘‰ Kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI

Matibabu ya bawasiri hutegemea na aina ya bawasiri pia.
*BFsuma health care frm USA* tunazo dawa zote za kutibu BAWASIRI..

*NB* Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia

๐Ÿ‘‰ Kula mbogamboga za majani, matunda, na nafaka zisizokobolewa

๐Ÿ‘‰ Kunywa maji mengi angalau grass 6/12 kwa siku

๐Ÿ‘‰ Epuka kukaa chooni kwa muda mrefu

*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*

๐Ÿ‘‰ Kupata upungufu wa damu (anemia)
๐Ÿ‘‰ Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
๐Ÿ‘‰ Hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
๐Ÿ‘‰ Kuathirika kisaikolojia
๐Ÿ‘‰ Kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali
Kwa ushauri nini cha kufanya ili kupona bila upasuaji usisite kunitafuta

Bado mungu anaendelea kutenda kwa wote wenye changamoto ya PID na mirija ya uzazi kuziba karbuni kupata huduma bora 0712...
26/01/2020

Bado mungu anaendelea kutenda kwa wote wenye changamoto ya PID na mirija ya uzazi kuziba karbuni kupata huduma bora 0712033268

Hellow dears Tuna dawa ya meno nzuri kwa matumizi ya rika zote na inaweka meno kua imara na kinywa kisafi๐Ÿ‘„Inaondoa haruf...
24/01/2020

Hellow dears
Tuna dawa ya meno nzuri kwa matumizi ya rika zote na inaweka meno kua imara na kinywa kisafi
๐Ÿ‘„Inaondoa harufu mbaya mdomoni kwa wale ambao hata wakisuaki harufu bado inatoka mbaya kinywani ukitumia hii tatizo linakwisha
๐Ÿ‘„Kwa ambao fizi zinatoka damu kila wakati hii ni nzuri pia kwao inazuia na kuponya tatizo la fizi kutoka damu
๐Ÿ‘„Meno yaliofubaa
๐Ÿ‘„Ganzi kwenye meno
๐Ÿ‘„Na kuzuia kuoza na kutoboka
๐Ÿ‘„Using'oe jino tena Dr.Ts ni mkombozi wa kinywa chako .tstoothpaste

MAGONJWA SUGU KWA WANAWAKE1.1.1 UTANGULIZIMwanamke ni kiumbe cha thamani sana na cha kipekee, upekee na uthamani wake un...
20/01/2020

MAGONJWA SUGU KWA WANAWAKE

1.1.1 UTANGULIZI

Mwanamke ni kiumbe cha thamani sana na cha kipekee, upekee na uthamani wake unatokana na maumbile yake yalivyo. Kwa kawaida mwanamke katika ukuaji wake anapitia katika hatua tano muhimu, kwanza kuvunja ungo, pili hatua ya ndoa (kushiriki tendo la ndoa), tatu hatua ya ujauzito, nne hatua ya malezi na tano ni hatua ya kukoma kwa hedhi. Katika hatua zote hizi mwanamke anakuwa hatarini Sana kushambuliwa Na magonjwa mbali mbali sehemu zake za siri kutokana Na maumbile yake yalivyo. Viungo vya uzazi WA mwanamke vinatakiwa kulindwa Kwa thamani kubwa kuliko kitu chochote kwasababu kinapopata changamoto familia nzima huathirika, kwasababu mwanamke ndio kila kitu katika kuhakikisha familia inastawi vizuri.

1.1.2 UGONJWA WA UTI

1.1.2.1 UTANGULIZI

Kwanza kabisa kirefu cha cha herufi UTI ni URINARY TRACT INFECTION ikimaanisha ni maambukizi yanayotokana na bacteria kwenye njia ya mkojo. Msomaji anapaswa kujua njia ya mkojo ni ipi, inaanzia wapi na inaishia wapi. Kwa ujumla njia ya mkojo inaanzia kwenye mrija wa mkojo kwa mwanaume na mwanamke. Mrija huu unajulikana k**a URETHRA na ukishapata maambukizi ugonjwa sehemu hii unaitwa URETHRITIS. Njia ya mkojo inayofuata baada ya urethra ni BLADDER yaani kibofu. Wanawake wanakua na urethra fupi 4cm kulinganisha na wanaume 25cm hivo hali hiyo hupelekea wanawake kupata UTI kwa urahisi zaidi ukilinganisha na wanaume. Kibofu kikipata maambukizi ugonjwa unajulikana k**a CYCITITIS. Baada ya kibofu inafuata mirija miwili inayo kwenda kwenye figo mbili. Mirija hii inaitwa ureters na ikishaambukizwa inajulikana k**a URETITIS.Na mwisho wa njia ya mkojo ni figo mbili yaani kidneys na hizi figo zikishaambukizwa ugonjwa unajulikana k**a NEPHRITIS



1.1.2.2 VISABABISHI

Visabibishi vya ugonjwa huu huambatana na chanzo cha tatizo katika mojawapo ya sehemu husika. ๏‚ท Ugonjwa wa sukari hufanya kiwango cha sukari kuwa kikubwa kwenye damu kwa vile mafigo kazi yake ni kuchuja damu hivyo ni kusema sukari huingia kwa wingi kiasi cha kusababisha vidudu bakteria kuzaliana kwa wingi kwenye figo au kibofu cha mkojo kusababisha maambukizi.

Madawa /sumu huchubua utando wa njia ya mkojo na kusababisha bacteria kuzaliana
Matatizo ya vijiwe kwenye figo/ mirija ya mkojo, kibofu, hufanya msongomano wa mkojo na Vijidudu huzaliana.
Maradhi ya Tunda Prostate gland huvimba na kufunga njia ya mkojo matokeo yake kuuzuia na kuuweka mkojo mda mrefu kwenye kibofu mpaka bacteria kuzaliana.
Tendo la ndoa, sexual intercouse unapata vijidudu moja kwa moja kutoka kwa mwanamke mwenye uambukizo
Kujichua, tendo hili mara nyingi watu hutumia mafuta au sabuni ambazo huwa zina kemikali zinazopenya kwenye mrija wa mkojo huwasha na kusababisha vidonda ambayo bacteria hukua na kazaliana
Usafi, aidha kwa kujikamua sana baada kukojoa, kutawaza maji machafu kutokuwa na hali ya unadhifu, huko chini kuna vijidudu ambavyo huishi baina ya njia ya haja kubwa na makorodani kutokana na hali ya ujoto humea vizuri na hupata nafasi ya kukuingia kwenye mirija k**a utakuwa huna tabia ya kuwapunguza kwa usafi
1.1.2.3 DALILI

Dalili za UTI zinaonekana kulingana na aina ya maambukizi, lakini dalili kuu kwa watoto na watu wazima zinafanana, zifuatazo ni dalili za UTI kulingana na aina ya maambukizi;

Maumivu wakati wa kukojoa na pengine kutoka uchafu au usaha kwenye njia ya mkojo.
Urethritis dalili zake ni kupata maumivu wakati wa kukojoa
Cystitis dalili zake ni kupata maumivu ya tumbo chini ya kitovu na saa nyingine kukojoa mkojo uliochanganyikana na damu.
Pyelonephritis dalili zake ni Homa, kichwakuuma, kichefuchefu, kutapika, maumivu ya tumbo sehemu za pembeni na mgongo kuuma.


1.1.2.4 MADHARA

Hatari kubwa ya kukaa na UTI kwa mda mrefu bila kutibiwa husababisha bacteria kusambaa kutoka kwenye kubofu hadi kwenye figo. Bakteria hawa huwe ku athiri utendaji kazi wa figo kitu ambacho ni hatari sana kwa watu wenye matatizo ya figo.
Pia kuna uwezekano mdogo wa bacteria hawa kuingia kwenye mfumo wa damu iwapo hali itatokea huweza kusababisha athari katika viungo vingine,
Hatari ya mama mjamzito kuwa na UTI huweza kumpelekea kujifungua kabla ya wakati au kujifungua mtoto mwenye uzito mdogo
1.1.2.5 MATIBABU YAKE YA KUDUMU UTI

ni ugonjwa unaotibika kabisa, pindi utapopata dalili hizi unashauriwa kufika hospital na kupata vipimo na matibabu ninayo shauri mwanamke au msichana ambae amepima na akakutwa na tatizo hili ni Dawa aina ya Femicare ambayo asilia kwa asilimia 100% dawa hii inauwezo wa kumtibu mtu na kumkinga asipate tena https://wa.me/255712033268

FEMICARE FEMININE CLEANSERNi maalum kwwajili ya wanawake na ni dawa ya asili Haina shaka na imethibitishwa na TFDA NA IN...
20/01/2020

FEMICARE FEMININE CLEANSER
Ni maalum kwwajili ya wanawake na ni dawa ya asili
Haina shaka na imethibitishwa na TFDA NA INAFANYA KAZI ZIFUATAZO
KUTIBU FANGASI UKENI KWA HARAKA
KUTIBU MIWASHO UKENI
HARUFU MBAYA UKENI
UTI SUFU
INAZIBUA MIRIJA YA UZAZI ENDAPO ITATUMIKA PAMOJA NA. YHUNZI
KURUDISHA UKE KATIKA UASILIA WAKE
KWA MAHITAJI 0712033268

SULUHU YA CHANGO LA UZAZITunapozungumzia mgonjwa wa chango tuna maana kuwa ni matatizo yaliyopo katika viungo vya uzazi ...
20/01/2020

SULUHU YA CHANGO LA UZAZI

Tunapozungumzia mgonjwa wa chango tuna maana kuwa ni matatizo yaliyopo katika viungo vya uzazi kwa mke au mume.
Tatizo hili limekuwa likiwapata watu wengi kuanzia utotoni:- watoto wa kiume hupata maumivu ya tumbo mara Mara kwa Mara na Kwa upande wa watoto wa k**e hupata maumivu ya tumbo anapoanza kuvunja ungo. Maumivu hayo hupelekea mtu huyo kupata madhara katika viungo vyake vya uzazi ambayo huja kufahamika K**a chango la uzazi hapo baadaye!

CHANZO CHA TATIZO

Chanzo cha maumivu haya kinaweza kuwa maambukizi, uvimbe au kushik**ana kwa viungo vya ndani ya uzazi kunakosababishwa na upasuaji wa tumbo wa siku za nyuma.
Maumivu haya pia yanahusiana na matatizo katika kibofu cha mkojo, mirija ya mkojo itoayo mkojo toka katika figo, matatizo katika mfuko wa haja kubwa na ngiri au henia ya kitovu.

Uvimbe ndani ya kizazi unaweza kuwa fibroid, uvimbe wa mirija ya mayai ambayo inaweza kujaa maji au usaha. Uvimbe wa vifuko vya mayai na uvimbe kati ya kizazi na vifuko vya mayai. Maambukizi sugu ndani ya kizazi ni tatizo kubwa.
Ngiri ya tumbo inaweza kuwa usawa wa kitovu au katika mishono ya operesheni ya siku za nyuma na maumivu haya huwa zaidi nyakati za baridi.

DALILI ZA TATIZO (KE)

โ€ข Maumivu makali ya tumbo
Maumivu chini ya tumbo yanaweza kuwa ya moja kwa moja ambayo hayana muda wa unafuu wakati wote mgonjwa huhisi maumivu.
Maumivu pia yanaweza kuja na kupotea.

Wengine huhisi maumivu hadi abonyezwe chini ya tumbo hasa anapopimwa na daktari, wengine hupatwa na maumivu haya baada ya kumaliza tendo la ndoa.
Maumivu yanaweza kuwa pande zote mbili, chini ya tumbo yaani kulia na kushoto au katikati tu.

Maumivu ya upande mmoja yanaweza kusambaa hadi mguuni au kumfanya mgonjwa apate shida kutembea hasa anaponyanyuka na kuanza kutembea lakini kadiri anavyotembea maumivu huisha yenyewe.

Hali ya maumivu pia husambaa hadi kiunoni au katika ubavu mmoja kutegemea na tatizo lipo sehemu gani. Mgonjwa husumbuka kwa muda mrefu na huhisi mwili unachoka.

โ€ข Kuvurugika kwa mfumo wa hedhi
Kupata maumivu makali wakati anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi, Siku zake za hedhi hazitakuwa na ratiba, zitakuwa zinabadilika
Vipimo vya mkojo havisaidii kupata jibu sahihi la tatizo hili. Kipimo cha Ultrasound kinaweza kionyeshe au kisionyeshe tatizo.

โ€ข Kuugua kila anapokaribia hedhi
Hujisikia homa kali anapokaribia siku zake za dhedhi, Kupatwa hasirakali/ jazba anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi. Kujisikia uchovu mkubwa anapokaribia siku zake za hedhi.

DALILI (ME)
โ€ข Kwa mwanaume atakuwa akishiriki tendo la ndoa, anawahi sana kufika kileleni na kurudia mara nyingine ni vigumu sana.

โ€ข Maumivu makali chini ya kitovu na kwenye korodani

โ€ข Pia mwanaume hatakuwa na uwezo wa kusimamisha.Ni vigumu kumpa mimba mwanamke.

UCHUNGUZI

Tatizo hili linahitaji utaratibu na umakini katika kulichunguza. Vipimo mbalimbali vitafanyika k**a vya damu, mkojo, Ultrasound na vipimo vya kuangalia ukeni ili kuona k**a kuna tatizo kubwa linalohusiana na sehemu ya ndani ya kizazi.
Tatizo likiwa kubwa huhisi mgonjwa ana tatizo la nyonga lakini vipimo vya X-ray, MRI vitakuwa sawa na hata vipimo vya damu havitaonyesha tatizo.
Mgonjwa hulalamika kutumia dawa nyingi za kutuliza maumivu bila mafanikio.

MADHARA YA TATIZO HILI

Madhara yake kwa mwanamke
โ€ข Kwa mwanamke ni vigumu kupata mimba, mwanaamke anaweza kuwa tasa kabisa
โ€ข Kuingia na kutoka kwa mimba
โ€ข Kuwa na hamu ya tendo la ndoa lakini hafikii kileleni
โ€ข Kuwa na uke mdogo sana
โ€ข Maumivu makali sana wakati wa tendo la ndoa, kiasi kwamba mwanamke huchukia tendo

Madhara kwa Mwanaume
โ€ข Kuwa na mbegu ambazo haziwezi kutunga mimba
โ€ข Kupungukiwa nguvu za kiume
โ€ข Kuwa na kiwewe cha kushiriki tendo la ndoa
โ€ข kusinyaa kwa uume

MATIBABU NA USHAURI
Baada ya uchunguzi wa kina katika kliniki za magonjwa ya kinamama, vipimo kukamilika, matibabu hufanyika.
Mara nyingi ugonjwa huu hautibiwi kwa dawa za hospitalini, bali ugonjwa wa chango la uzazi hutibiwa na miti shamba. Matumizi yake kawaida mtu ataitumia kulingana na ukubwa wa tatizo lake. Hutengenezwa kwa mimea mbali mbali, ambavyo kazi yake ni kuondoa matatizo yaliyopo kwenye kizazi cha manamke/mwanaume.

KWA KINGA NA TIBA YA TATZO HILI PIGA

Whatsapp
0712033268

Address

Mlimani Tower
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Health fact and supplements- BFsuma Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share