victor_mwambene

victor_mwambene Nitakusaidia kuwa na Akili ya Fedha pamoja na Akili ya Biashara, Kwa Msaada zaidi Nipigie 0744126640.

11/06/2026

Kwa sasa unaweza kuweka akiba na Kibubu Cha Mixx na Kufaidika na Ongezeko la Akiba na Pia unaweza Kupata Huduma zote za DSE Hisa Kiganjani Ndani ya App ya Mixx, Unaweza kununua au kuuza Hisa na Kufuatilia Uwekezaji wako.
K**a hauna App ya Mixx nenda Play Store au App Store Download App ya Mixx Tanzania Kurahisisha Maisha yako ya Kifedha.tz

09/06/2026

📖 SCHOOL OF MONEY - Olumide Emmanuel .
📚 BOOK VALUE - Tsh 35,000 (English) cha KISWAHILI Ni 25,000.
⏩️ MUHIMU - Toleo la Kingereza vipo viwili , Sehemu ya kwanza 35,000 na Sehemu ya Pili ni 35,000 ila cha Kiswahili Kipo Kipo Kimoja ni 25,000.
Karibu Dukani kwetu Sinza Kijiweni kupata Vitabu bora vya Biashara, Fedha na Uwekezaji, Original kabisa vya Kingereza na Kiswahili.
Kwa Mawasiliano zaidi Piga namba hizi 0744126640 au 0766836764.
Cc

03/06/2026

𝐇𝐢𝐳𝐢 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐒𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐤𝐮𝐮 3 𝐳𝐚 𝐊𝐰𝐚𝐧𝐢𝐧𝐢 𝐔𝐰𝐞𝐤𝐞𝐳𝐞 𝐔𝐓𝐓 𝐀𝐌𝐈𝐒 𝐧𝐚 𝐌𝐢𝐟𝐮𝐤𝐨 𝐲𝐚 𝐏𝐚𝐦𝐨𝐣𝐚.
Watu wengi wanafikiri uwekezaji ni wa matajiri pekee… Ukweli ni kwamba leo unaweza kuanza kujenga utajiri wako hata ukiwa na Tsh 10,000 tu kupitia Uwekezaji wa Pamoja k**a UTT AMIS.

HIZI NDIO SABABU KUU 3 ZA KWANINI WATU WENGI WANAKIMBILIA UWEKEZAJI WA PAMOJA:

1️⃣ NI UWEKEZAJI SALAMA ZAIDI
Fedha zako zinawekezwa na wataalamu wenye uzoefu mkubwa kwenye maeneo mbalimbali ya uwekezaji k**a hati fungani, hisa na miradi mingine ya kifedha. Hii husaidia kupunguza hatari na kuongeza nafasi ya kupata faida kwa muda mrefu.

2️⃣ NI UWEKEZAJI NAFUU ZAIDI
Huhitaji mamilioni kuanza. Unaweza kuanza hata na Tsh 10,000 tu na kuendelea kuongeza kidogo kidogo huku fedha yako ikianza kukua.

3️⃣ NI RAHISI ZAIDI KUANZA
Leo huhitaji kuwa expert wa masoko ya fedha kuwekeza. Unaweza kuanza moja kwa moja kupitia simu yako, App za uwekezaji au benki mbalimbali zinazoshirikiana na mifuko ya uwekezaji wa pamoja.

🔥 SASA NATAKA NIKUALIKE KWENYE MAFUNZO MAALUM YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWA NJIA YA MTANDAO.

Katika mafunzo haya tutajifunza kwa undani:

✅ Mifuko yote 6 ya UTT AMIS
✅ Mfuko wa FAIDA – Watumishi Housing Investment
✅ Mfuko wa INUKA – Orbit Securities
✅ Mfuko wa TIMIZA – Zan Securities
✅ Jinsi ya kuanza uwekezaji hatua kwa hatua
✅ Jinsi ya kuchagua mfuko sahihi kwako
✅ Namna ya kukuza fedha yako kwa muda mrefu
✅ Makosa yanayosababisha watu wengi washindwe kwenye uwekezaji

💻 Mafunzo haya ni ya ONLINE, hivyo:
Popote ulipo Tanzania au Duniani unaweza kushiriki.

Na jambo muhimu zaidi:
❌ Sio lazima uwe hewani muda wa mafunzo kwani utaweza kupata recordings za vipindi.

📅 MAFUNZO NI YA SIKU 4

💰 Gharama ya kawaida:
Tsh 35,000
🔥 UKILIPA MAPEMA:
Ni Tsh 25,000 TU
⚠ OFA hii ni kwa watu 30 WA MWANZO PEKEE na Ukichelewa utakosa nafasi.

📞 WAHI SASA:- 0744126640

Anza safari yako ya kujenga uhuru wa kifedha kupitia uwekezaji wa pamoja.

01/06/2026

Asante sana wangu wangu wa Nguvu kwa kuniwezesha Kufika Subscribers 60,000 katika YouTube Channel yangu, Mungu awabariki, Nawapenda sana.
K**a bado huja Subscribe YouTube Channel yangu nenda sasa maana huko naweka Masomo marefu ya hadi Dk 30 kuhusu Fedha, Biashara na Mafanikio.

30/05/2026

𝐅𝐮𝐫𝐬𝐚 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐞𝐤𝐚 𝐀𝐤𝐢𝐛𝐚 𝐧𝐚 𝐊𝐮𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐌𝐢𝐤𝐨𝐩𝐨 𝐤𝐢𝐫𝐚𝐡𝐢𝐬𝐢.
K**a wewe ni mkazi wa Dar na unatafuta sehemu sahihi ya Kuweka Akiba na Kuwekeza Pesa zako huku ukipata Fursa ya Kupata Mikopo ya hadi Milioni 25 basi kuna Kikoba Makini unaweza kujiunga nacho K**a una sifa zifuatazo.
1. Uwe na Uwezo wa Kuweka akiba kiwango cha chini 400,000, Una ruhusiwa kuweka zaidi.
1. Uwe na uhakika wa Kufika kwenye Vikao, Kwa mwezi wana onana mara mbili, J’pili ya mwanzo wa mwezi na J’Pili ya kati kati ya Mwezi muda saa 9 Mchana hadi 11 Jioni.
𝐅𝐚𝐢𝐝𝐚 𝐳𝐚 𝐊𝐮𝐣𝐢𝐮𝐧𝐠𝐚 𝐧𝐚 𝐊𝐢𝐤𝐨𝐛𝐚 𝐡𝐢𝐤𝐢.
1. Utapata Mikopo Mikubwa kirahisi kwa riba ndogo sana na kuna Mikopo utapewa bila riba, na Mkopo mingine utapewa bila dhamana. Mkopo unapewa mara tatu ya akiba yako, K**a una akiba milioni 8 utapewa hadi milioni 24.
2. Utapata Fursa ya kujifunza elimu ya Fedha na Biashara, Utapata Msaada wa kuanzisha au kukuza Biashara. Kwa sababu kwenye kikoba hiki kuna wataalamu na watu wenye uzoefu wa Biashara.
3. Utajenga utamaduni endelevu wa kuweka akiba bila kuacha kwa sababu Kikoba hiki ni endelevu, Hawavunji utaweka akiba mpaka utakapoona wewe inatosha, Utawaacha wengine wanaendelea.

4. Utapata Fursa ya Network ya kukutana na watu makini waliopiga hatua kwenye maeneo mbali mbali ya Maisha si unajua Mtandao wako ndio Utajiri wako.
5. Kila Mwisho wa mwaka wanagawana Faida kutokana na Miradi na Na Shughuli za Kikundi, Hivyo na wewe utagawiwa sehemu ya Faida kulingana na ukubwa wa akiba yako.
K**a una sifa tajwa na unatamani kuwa sehemu ya watu makini basi Wasiliana nao kwa kutuma neno VICOBA kwenda Namba 0744126640, Kisha watakupigia kukupa utaratibu unaofuata. Ofisi zao zipo Sinza White Inn Yemco Vicoba.
Cc

29/05/2026

𝐔𝐟𝐚𝐡𝐚𝐦𝐮 𝐔𝐰𝐞𝐤𝐞𝐳𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚 𝐏𝐚𝐦𝐨𝐣𝐚 - 𝐔𝐰𝐞𝐤𝐞𝐳𝐚𝐣𝐢 𝐛𝐨𝐫𝐚 𝐧𝐚 𝐒𝐚𝐥𝐚𝐦𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐚 𝐤𝐢𝐩𝐚𝐭𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐜𝐡𝐢𝐧𝐢 𝐧𝐚 𝐤𝐚𝐭𝐢.
Uwekezaji wa Pamoja (Collective Investment Scheme ) ni uwekezaji ambapo watu wengi wanakusanya pesa zao pamoja, kisha wataalamu wanaziwekeza kwa niaba yao katika maeneo mbalimbali k**a vile:
• Hisa za Soko la Hisa (DSE)
• Dhamana za Serikali (T-Bills & T-Bonds)
• Amana za Benki
• Mali Isiyohamishika (Real Estate)
🔑 Wazo Kuu: Badala ya mtu mmoja kuwekeza peke yake na hatari kuwa kubwa, watu wengi wanashirikiana, hatari inagawanywa, na faida inashirikishwa.
Miongoni mwa faida za Uwekezaji wa Pamoja (Utt Amis) ni Kima cha chini cha Uwekezaji ambapo unaweza kuanza hata ukiwa na 10,000 tu kwa simu yako, Ni Uwekezaji salama sio rahisi kupoteza pesa zako kwa sababu kuna wataalamu wanawekeza kwa niaba yako na huitaji kuwa mtaalamu kuanza kuwekeza kwenye Mifuko ya Pamoja.
Tanzania kuna Mifuko mingi ya Uwekezaji wa Pamoja huku Taasisi ya Utt Amis ikiwa na Mifuko 6 ambayo ni Mfuko wa Umoja, Wekeza Maisha, Jikimu, Watoto, Mfuko wa Ukwasi na Hatifungani.
Pia kutoka Taasisi zingine kuna Mfuko wa Faida kutoka Watumishi Housing, Inuka kutoka Orbit Securities, Timiza kutoka Zan Securities na Mifuko ya i Trust ikiwemo i save, i incom, i growth, i dollar na mengine.
Sasa ili kuelewa Mifuko hii vizuri na kujua mfuko bora zaidi wa wewe kuwekeza utakao kupa faida kubwa kutokana na malengo yako, kipato chako na Umri basi Karibu kujiunga na Mafunzo yetu ya Uwekezaji wa Pamoja kwa njia ya Mtandao wa WHATSAPP kuanzia Tar 1 hadi Tar 4 ya mwezi wa 6, Gharama ya Mafunzo kwa siku zote 4 ni sh 35,000 tu na k**a utajiunga kabla ya Tar 1 kuisha basi utajiunga kwa 25,000 tu, Ofa hii ya 25k ni kwa watu 30 tu wa Mwanzo.
Popote ulipo Tanzania na Duniani unaweza kushiriki Mafunzo haya kwa njia ya Mtandao, Wahi Ofa kwa Kulipia kwenda Airtel Money - 0784862424, Jina Victor Mwambene, Kisha tujulishe kwa 0744126640.

📖 AKIBA NA UWEKEZAJI - Patson Chaula.📚 BOOK VALUE - Tsh 25,000.Karibu Dukani kwetu Sinza Kijiweni kupata Vitabu bora vya...
28/05/2026

📖 AKIBA NA UWEKEZAJI - Patson Chaula.
📚 BOOK VALUE - Tsh 25,000.
Karibu Dukani kwetu Sinza Kijiweni kupata Vitabu bora vya Biashara, Fedha na Uwekezaji, Original kabisa vya Kingereza na Kiswahili.
Kwa Mawasiliano zaidi Piga namba hizi 0744126640 au 0766836764.
Cc

📖 JINSI YA KUTAFUTA PESA - Benjamin Madaha.📚 BOOK VALUE - Tsh 20,000 (Original).Karibu Dukani kwetu Sinza Kijiweni kupat...
27/05/2026

📖 JINSI YA KUTAFUTA PESA - Benjamin Madaha.
📚 BOOK VALUE - Tsh 20,000 (Original).
Karibu Dukani kwetu Sinza Kijiweni kupata Vitabu bora vya Biashara, Fedha na Uwekezaji, Original kabisa vya Kingereza na Kiswahili.
Kwa Mawasiliano zaidi Piga namba hizi 0744126640 au 0766836764.
Cc

25/05/2026

Mixx Tanzania (mixx.tz) imezindua campaign ya Kila muamala ni bao la ushindi.

Campaign hii ni mahususi kwa kipindi hiki cha world cup ambapo ukifanya miamala kwa kutumia Mixx super App (kulipa bills, kutuma pesa etc) unapata nafasi ya kushinda pesa taslimu (hadi mil 50), seti ya electronics kutoka hisense pamoja na safari ya kwenda kushuhudia FIFA World Cup Live

Muhimu.


Tag .tz

Kwenye caption ongeza
Follow .tz

Address

Mlimani City
Dar Es Salaam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when victor_mwambene posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share