13/11/2016
"MAFAFANUZI YA NJIA ZA KUPATA MTAJI!!"
A:ku2mia Taaluma Yako
Ikiwa unataaluma fulani ambayo umesomea, au uliyo pata kutoka mahali fulani bas unaweza kui2mia k**a mtaji wa kkuwezesha kufany biashara..
B:KU2MIA RASILIMALI ZAKO
Pia unaweza ku2mia rasilimali zako k**a mtaji wa biashara kwa kuviuza, rasilimal hzo n k**a nyumba, gari, mashamba, vwanja nk.
C:KUTAFUTA KAZI KWA MUDA
Unaweza kutafuta kazi kwa muda ili kujipatia kias fulan kinachoweza ku2mika kma mtaji wa kukuwezesha kufanya biashara. na baada yakupata kias fulan unacho fikir knatosha kuwa mtaji waweza acha hyo kazi na kufanya biashara.
D:KUWEKA AKIBA
Waweza kuweka akiba kutoka kwenye shughuli zako za kila cku, yaan hcho kias kidogo unachopata kwa cku, kwa wik au kwa mwezi, kikihifadhiwa vizuri kinaweza kuwa mtaji wa kukuwezesha kufanya biashara. unatenga kiasi fulan cha fedha zako, mfano: kwa sku unapata 20,000 tenga kila sku 5,000*mwezi 1=150,000 bas waweza kuendelea namna hii mwsho lengo lako litatimia. kwa mfano kwa mwaka unakuwa na 180,0000Tz.$