Hadith na simulizi za kusisimua

Hadith na simulizi za kusisimua Hadithi

HUDUMA INAENDELEA WHATSAPP.HADITHI ZINAPATIKANA MUDA WOTE. EPISODE 5 NDEEFU KWA SHILINGI ELFU 2 TU. KARIBUNI NYOTE
01/01/2022

HUDUMA INAENDELEA WHATSAPP.
HADITHI ZINAPATIKANA MUDA WOTE. EPISODE 5 NDEEFU KWA SHILINGI ELFU 2 TU.
KARIBUNI NYOTE

GUYS LEO JIONI SAA 10 TUTAPOST HADITHI YETU MPYA INAYOITWA "SUTI" HIVYO KAA TAYARI. FOLLOW PAGE YETU SASA HIVI.
05/01/2021

GUYS LEO JIONI SAA 10 TUTAPOST HADITHI YETU MPYA INAYOITWA "SUTI"
HIVYO KAA TAYARI. FOLLOW PAGE YETU SASA HIVI.

05/01/2021

HABARI ZA SIKU NYINGI NDUGU ZANGU. MWAKA HUU 2021 TUNAKUJA NA HADITHI INAITWA SUTI. COMMENT K**A UPO TAYARI TAFADHALI.

Send a message to learn more

SAFARI  episode 12ilipoishia......yule binti jasir aliinuka na kuanza kukimbia akielekea kwenye kile chumba huku wale ma...
21/05/2020

SAFARI episode 12

ilipoishia......
yule binti jasir aliinuka na kuanza kukimbia akielekea kwenye kile chumba huku wale majitu wakimkimbiza nyuma.
alifika na kukuta kabat kubwa kuliko mwili wake, alilisukuma mpaka likadondoka na vyungu vyote kuvunjika.
ENDELEA......

na damu zote za kwenye vyungu zikavunjika hapohapo na cha kushangaza ziliganda palepale hazikuchukua hata sekunde tatu.
yule binti alikaa na lusikilizia wale walinzo waliokuwa wanamfata lakin alishangaa kuona wale walinzi walidondoka chini wakiugulia vichwa
************************************
walinzi wote walianguka chini na kuanza kuugulia vichwa..Sasha alishangaa sana na kwenda kutizama kwenye kabat na kukuta yule binti jasiri walitazamana USO kwa USO ...Sasha akataka kumfata yule Bint lakin kabla hajamfikia zile sauti za kishetani zilizidi kuwa kubwa ndani ya lile jumba na sauti zile zkaanza kumtesa sasha k**a znahitaj ktu kutoka kwake au kaharibu masharti. ndipo yule bint akapat njia na kutok katka kile chumbaniliinuka na kupata fahamu na wale walinzi wrote waliodondoka waliinuka na kurudi katika hali ya kibinadamu
yule binti jasiri alifika lakin kabla hajaniongelesha chochote ghafla likaanza tetemeko katika ile nyumba na ghafla likashuka tofali moja kutoka juu ndipo kila MTU akashikwa na butwaa kwani hakuna anayeujua mlango wa kutoka nje niliwaota wooote tuliokuwa pale wakiwemo ndugu zangu na wazazi wangu pamoja na wale walinzi waliorudi hali ya kawaida kisha tukaanza kutafuta njia ya kutoka nje kwa pa1 na sio kugawanyika.
†****†*****†*****†*****†*****†*****
, # # # # # # # # # # # # # # # # # # # # # # # # #

Afande Samuel aliendelea aliwaamrisha askar wenzake wazuie raia wa hapo posta kukaa mbal na eneo LA tukio kwan moto uliokuwa unawaka kwenye jumba LA makumbusho ulkuwa mkali zaid ya kawaida huku waksubiria gar la zmamoto.
# # # # # # # # # # # # # # # # # # # # # # # # # #

"mason nlango huu huku.."
saut ya mama mmoja ilsikika na kutufanya wote kumfata alpo na kuuona mlango mbele yetu lakin kabla hatujafikia mlango.
TUKUTANE EP 13
like comment share tusonge
ntunzi wa hii hadithi ni msanii wa bongo fleva anaitwa Rams mfollow instagram kwa kubonyeza hii link
http://www.Instagram.com/_rams_tz

HABARI za siku nyingi ndugu zangu SAFARI sehemu ya 12 itaendelea baadae SAA 5:00 usiku. Kwahiyo kaa tayari kulike kushar...
21/05/2020

HABARI za siku nyingi ndugu zangu SAFARI sehemu ya 12 itaendelea baadae SAA 5:00 usiku. Kwahiyo kaa tayari kulike kushare na kukoment

24/01/2020

JAMAN HIVI KWELI MMEIPENDA HII HADITHI YA ?? hebu niambieni kwann mnaipendea nini??

Name: SAFARISEASON 2: episode 11Nilihisi roho inatoka kwa jinsi sasha alivyozidi kunikaba......"Hapana usimuue kaka yang...
24/01/2020

Name: SAFARI
SEASON 2: episode 11

Nilihisi roho inatoka kwa jinsi sasha alivyozidi kunikaba......
"Hapana usimuue kaka yangu tafadhali nakuomba!!!!!.."
Sharifa alilia sana huku fred na bababyangu wakimzuia asisogee pale nilipo, na jeri akimzuia mama yangu kwani walijikuta wanalia sana kwa jinsi nilivyozidi kunyong'onyea pale mikononi mwa sasha.
Ghafla alinitupa chini kisha akarudi nyuma kisha akawaambia wale watu wake wanichukue na wanipeleke anapoelekea yeye.wale watu walinibeba nisijue naenda wapi kwani nilikuwa na maumivu shingoni, ndugu zangu walitamani kunifata lakini walizuiwa na wale mijitu.

Tuliingia kwenye chumba ambacho kulikuwa na vitu vingi vya ajabu, hasahasa kulikuwa na vyungu vingi vilivyoandikwa majina ya watu nilishangaa kuona vile vitu kwasababu sikuwahi kuviona kabla.
Nilitupiwa kwenye kiti kwa kishindo kisha sasha akawaamuru wale watu waondoke ili tubaki wawili, sikujua anataka kunifanya nini!!.ghafla nikahisi mikono yangu imenasa katika kiti bila hata ya kufungwa kamba, kumbe ulikuwa ni uchawi wa sasha .
"Wewe ni jasiri sana na una nguvu nyingi katika mwili wako ila bado hazitoshi kukufanya uwe shupavu kuliko wote hahaha!!" Sasha aliongea huku k**a ananinong'oneza skioni kisha akainuka,
"Una maana gani,? Na unataka kunifanya Nini hebu nifungue hapa!"
"Hahaha ndio maana nikakwambia Bado Nguvu zako hazitoshi!! ...ila nataka nikupe Nguvu zaidi na utakuwa na uwezo wake kutoka Hapo ulipo kwa urahisi!"

Niligundua kabisa kuwa huyu alitaka kunipandikiza Nguvu za kichawi katika mwili wangu ili aweze kunitumia katika kazi zake.
Sikuwa nabuwezo wa kupinga kwasababu alinifunga mdomo nisiongee chochote pale nilibaki kufurukuta bila mafanikio,
Sasha alienda mpaka kwenye p**a na kuchukua chungu kimoja kidha akachukua na kisu cha kishetani na kunisogelea tena, aliongea lugha zake zisizoeleweka kisha akanichana katoka mkono wangu na kishabakawa anakinga damu yangu kuingia kwenye kile chungu nilihis maumivu ila nilishindwa kutoa sauti
Kisha akaamua kata na yet na akaikinga damu yake mulemule Kisha akaanza kuikoroga ili zichanganyike, nilianza kuhisi mabadiliko ndani ya mwili wangu Kisha naye akakichukua kile chungu na kukiweka kwenye kabati K**a vile vyungu vingine vilivyoandikwa majina kishabkile chungu kikaanza kujiandika chenyewe kichawi likatokea jina langu katik kile chungu MASON
Hivyo bas nikagundua kabisabhata wale walinzi wenye minguvu wote walipitia hapa nilipo mimi basi nikapata wazo la kufanya lakini sikuweza kutoka pale nilipokuwa.

Ghafla nilihisi kabisa kunabroho ya kishetani imeingia ndani ya mwili wangu.
Baada yabhapo alinifungua nikiwa sijielewi yaani najitambua mimi ni binadamu lakini nilijihisi pia mimi ni shetani mtarajiwa.
Tulifika mpaka pale walipokuwa wenzangu ili aweze kunitambulisha k**a mfuasi mpya wa sasha nilisimama k**a sanamu nisiweze kutingishikabhata kidogo. Alianza kuzungumza lung'a za ajabu kisha wale walinzi woote wakapiga magoti ili kukaribishwa mfuasi mpya wa sasha. Lile ndilo lilikuwa zoezi la mwisho na k**a likisitishwablile zoezi basi hakua kitakachotekea basi aliendelea kuongea lugha zake na moshi ukiwa unatoka chini ya ardhi kuja juu..
Alikuja mlinzi mmoja nabkumpa sacha tunguli moja nyeusi ambayo huwa inatumika kwaajili ya kukaribisha watu wapya na bila kile kitunguli basi hawezi kubadilika kabisa.
Basi alikinyanyua juu na kuendrlea kuongea , ndipo yule binti jasiri alipoona kuwa hawezi kukaa kuendelea kuona ushetani unaendelea kwakuwa walinzi wamepiga magoti nabvichwa wameinamisha aliinuka na kwrnda kuchukua jiwe la wastani kisha akalirusha kwa hasira na kupasua kile kitubguli alichoshika sasha,,....sasha alikasirika lakini hakujua ni nani alirusha jiwe ghafla zikasikika sauti za mashetani yakilia nyumba nzima na mimi nilikosa nguvu kwani nilidondoka mpaka chini.. sasha aliwafata wale watu na kuwauliza ni nani karusha jiwe hakuna aliyejibu bas hakupoteza klmuda alimk**ata baba mmoja na kuanza kumkausha sasa wakati anafanya hivyo yule bint jasiri alinifata huku watu wakiwa wanakimbia kimbia wasijue wakimbilie wapi
"Mason mason....amka mason"
Nilisikia jinsi alivyokuwa ananiita nilijikuwa nanyoosha mkono upande wa kile chumba tulichokuwa mimi na sasha huku nikisema
"Kab..kabati...n..na vyu..vyungu..vun..vunj!"
Kisha nikapoteza fahamu
"Nivivunje!!!"
Yule binti alijiongeza na kuinuka kukimbia kuelekea kwenye kile chumba huku walinxi wakimkimbiwa kwa kasi
Alifika ndani akalionna lile kabati ni kubwa kuliio mwili wake lakini akalisogelea na kuanza kulisukuma. alilidondosha mpaka chini nabvyungu vyote kupasuka......
COMENT LIKE SHARE TUSONGE 12

Name: SAFARI SEASON 2: episode 10Kwakweli binti yuke nilitokea kumuonea huruma sana na nikawaza lazima nifanye jambo..Ni...
22/01/2020

Name: SAFARI
SEASON 2: episode 10

Kwakweli binti yuke nilitokea kumuonea huruma sana na nikawaza lazima nifanye jambo..
Niliamua kumning'oneza dada yangu sharifa bila kaka fred na jerry kujua na watu wengine kusikia
"Lazima huyu binti nimsaidie na yeye apone k**a sisi tutafanikiwa kupona!!"
"Lakin mason ni hatari sana k**a yeye kaamua kufa basi muache utasababisha nawe upote kaakaa!!"
"Usijali dada siwezi kufa kwani hili ni jukumu langu"
"Jukumu lako kivip..!!"
Kabla hajamaliza kuuliza ghafla mlango ulifunguliwa na yale majamaa mawili yaliyojazia huku yakiwa yameshikilia mapanga mikononi mwao yakasimama pale nje kisha mmoja akaingia ndani na mmoja akabaki nje na mlango ukabaki wazi lile jamaa likasimana huku likitutizama na lisura lake libaya lakini halikutaka kuhangaika likatizama aliye karibu yake lakin kabla hajamshika yule binti aliyejiweka karibu niliamua kumpiga kikumbo yule binti kisha nikaliambia lile jamaa "nichukue mimi"
" hapana nichukue mimi..!! We mason unafanya nini??.." yule binti aliongea kwa ukali huku akitawaliwa na hasira usoni mwake. Yani pale tulikuwa k**a tunagombania kupanda ndege ya bure kwenda ulaya lakini kumbe tunagombania kifo.
Baada ya kelele kuwa nyingi kutoka kwa dada yangu na kaka zangu pamoja na watu wengine kwaajili yetu lile jamaa likaamua kunichukua mimi na kumwambia mwenzie wa nje aje kumchukua na yule binti, ikiwa inamaanisha tunachukuliwa wote, baada ya kutolewa nje nikiwa nimeshikwa shingoni kwa upande wa nyuma huku ameninyanyua juu nilifikiria la kufanya k**a nilivyopanga akilini mwangu na ndilo alilokuwa amepanga yule binti kufanya ili sisi wote tutoke....
Niliamua kuupiga teke ule mkono wa yule jamaa ulioshika upanga na upanga ukadondoka chini lile jamaa lilikasirika na kutaka kuokota lilivyoinama nikalipiga kifuti cha pua kisha likashindwa kuendelea kunishikilia likaniachia na kushikilia uso wake, lile jamaa lililoingia ndani kumchukua yule binti liligeuka na kumuacha yule binti ili lije kutizama nini kinachoendelea pale nje wakati huo huo niliinama na kuokata upanga uliodondoka na kisha nikaingiwa na roho ya ukatili na bila kufikiria nika gawanyisha kichwa na kiwiliwili vya lile jamaa lililokuwa linaugulia pua huku nimsikilizia lile linalokuja kwa kasi baada ya kuona mwenzie amekufa wakati kanyanyua mkono wake juu wenye upanga ili kunishambulia ghafla yule binti aliinuka na kumrukia lile jamaa singoni kisha akamdandia kwa juu lile jamaa likawa linahangaika naye,
"Tokeni wote humo ndani mbona mnapoteza muda!!?"
Aliongea yule binti kwa hasira na sauti kubwa
Basi wote walitoka na wakiwemo wazazi wangu na dada na kaka zangu wawili lakini nikataka kumsaidia yule binti lakin yule binti hakutaka nimesaidie
"Ondokaa usisoge hapa..!!"
Nilishindwa kusoge kwani alikataa mwenyewe nilichokifanya niliamua kumuita
"Hey!"
Aliendelea kuhangaika na lile jamaa kisha akainua kichwa na kunitizama nami nikamrushia lile panga ambalo nilikuwa nimelishika kisha nikaondoka kuwafanta wenzangu
Yule binti alidaka upanga na sikujua ni nini ambacho kiliendelea kwani nilimuamini na kumuona ni jasiri na mwenye nguvu hivyo niliondoka kuwfata wenzangu kutafuta njia ya kutoka nje ya jengo lile...

Tulisimama haraka baada ya kuona walinzi wengi k**a yale majitu mawili wakiwa wamesimama mbele yetu, lile eneo lilikuwa ni kubwa na lote lilikuwa limetapakaa damu ,tulisimama na kutizama huku na kule k**a tunaweza kuona njia yoyote lakini ile mijitu ilikuwa imesimama tu na haikutusogelea japo ilikuwa inatuona,, lakin ghafla akatokea sasha ambaye ni maria akitokea upande wa kushoto na kqenda husimama mbele ya wale majitu kisha akatugeukia sisi lakini alikuwa amemshikilia yule binti jasiri niliye muacha akiwa anapambana na lile jitu lakni niligundua kwamba aliliuwa lile jitu kwani tisheti alikuwa ameivaa ilikuwa imetapakaa damu.
"Huyu ndiye shujaa wenu? hahahahaha...."
Aliongea sasha kwa dharau
"Mason mnafanya nini ondokeni mimi niacheni hapa wala msijali kuhusu mimi!!"
Yule binti jasir aliongea kwa uchungu sana lakini miguu yangu ilikuwa k**a imegandishwa na sumaku kwani nilishindwa hata kusogea, lakini wenzangu baada ya kugeuka ili kukimbia walisimama na kurudi nyuma kwani kulikuwa na majitu yamesha tuzunguka nyuma.
Sasha aliinua miono wake uliokuwa umeshika kishu na kumnyanyua yule binti jasiri kwa kumkaba shingoni na kutaka kumchomeka kisu cha tumboni,
"Subiri subiri subiriiiiii usimuue subiri kwanza!!!!!"
Nilijikuta napiga ukunga
Yule sasha alishusha kisu chini lakini hakumshusha chini yule binti
"Jasiri mwengine si ndio!!??"
Aliuliza kwa upole na sauti ya sasha,
"Tafadhali usimuue kwani hawa binadamu wamekukosea nini? Au basi nichukue mimi basi na kisha waache hawa waondoke tafadhali!!"
Niliongea yote hayo
Lakin dada yangu sasha alikuwa akinishangaa kwa kunitizama kwa ukali usoni k**a kuna swali anataka kuniuliza lakini anashindwa
"Oohoooo nimekupenda wewe wewe inaonesha ni jasiri kuzidi hata huyu!"
Aliongea sasha na kisha akamtupa yule binti upande wetu lakini kabla hatujamfata kumtizama yule binti nilijikuta na vutwa kuelekea upande aliopo sasha kisha breki yangu ilikuwa ni kwenye kiganja cha sasha alikaba kwa nguvu sana hadi nikahisi riho inatoka...........
COMMENT SHARE LIKE TUSONGE 11

Name: SAFARI SEASON 2: episode 9"Maria..?""Mimi siitwi maria, jina langu ni sasha na mimi ndiye mmiliki wa pori lote hil...
21/01/2020

Name: SAFARI
SEASON 2: episode 9

"Maria..?"
"Mimi siitwi maria, jina langu ni sasha na mimi ndiye mmiliki wa pori lote hili."
Aah kwakweli wale fisi walitutisha mno.
Baada ya hapo huyo sasha ambaye ni maria alinyoosha mikono yake juu na ukatokea mwanga mkali sana ambao ulitufanya sie waote wanne tushindwe kutizama na tukabaki kufumba macho....
Lakin baada ya kufumbua macho tulijikuta ndani ya chumba ambacho kilikuwa kina mwanga hafifu lakini tuliweza kuona nini kinachoendelea, lakin kumbe hata wale tuliopotezana nao wakati tumelala, nao walikuwepo mule ndani tuliamua kuuliza ndani ya hiki chumba ninini kinachoendelea kwasababu ni sisi tu ndio tuliokuwepo hata wale waliotuleta pale hatukuwaona.
Tulipewa taarifa zote, kumbe mule ndani kila baada ya masaa mawili basi kuna watu wawili ambao huwa wamejifunika sura zao kwa nikabu huja na kumchukuwa mtu mmoja na kuondoka naye nje ya chumba hiki lakini wakatuambia kuwa kuna kelele wanazisikiaga kila anapotoka mtu..,......

Tulibaki kukaa na tusijue cha kufanya ili tujue ni jinsi gani ya kutoka pale tulipo.
Hata mama na baba yetu walikuwepo mulr ndan. Kwakweli kilio ndicho kilikuwa kimetawala ndani ya chumba kile.

Baada ya muda kupita tuliona mlango ukifunguliwa na wale watu wawili kuingia na kumchukua mvulana mmoja na kutoka naye, mvulana yule alijaribu kujitetea lakib alishindwa, na mlango ukafungwa baada ya dakika mbili tulisikia kilio cha mtu akilia kwa uchungu kana kwamba napata maumivu makali mno.
Tulikaa na kutafakari lakini nilimuona msichana aliyekuwa kainamisha kichwa chake chini, baada ya kumuangakia sana niligundua kuwa alikuwa na hasira kali sana pale alipo, niliamua kujisogeza karibu yake na kujaribu kuongea naye kwa upole, ghafla binti yule aliinua kichwa chake na kuuangalia mlango kisha akainuka na kusimama mbele yetu wote na kuanza kuongea kwa uchungu sana na kutuelrkeza jambo la kufanya ili sisi sote tuweze kutoka. Kwakweli lilikuwa ni wazo zuri lakini ni baya kwa upande wake kwani aliamua kutaka kujitoa kafara ili tuliobaki tuweze kutoka..nilijaribu kumzuia lile wazo lake lakin akaniambia kuwa
" hata vitani sio lazima wanajeshi wote wafe na sio lazima wote waishi ila panapotakiwa kufa wote bas watakufa wote na k**a kuna nafas ya kufa baadhi ili warudishe ushindi katika nchi yao bas huamua kufa ili wengine wapone"
Ujumbe ule ulikuwa mzito na wote tulizidi kutawaliwa na huzuni na vilio lakin baadae wote tulijikaza na kukaa kimya kisha yule binti akasogea mpaka karibu na mlango ili wale watakaoingia waweze kumchukua yeye...kwakweli binti yule nilitokea kumuobea kuruma sana na nikawaza kwamab inabidi nifanye jambo.
SHARE COMMENT LIKETUSONGE 10

Jaman simu janja mpyaa zinapatikana kwa bei nafuu sawa na buree. Iwe ni iPHONE, SAMSUNG, TECNO na nyenginezo. Kwa mawasi...
21/01/2020

Jaman simu janja mpyaa zinapatikana kwa bei nafuu sawa na buree. Iwe ni iPHONE, SAMSUNG, TECNO na nyenginezo. Kwa mawasiliano tutafute 0711483682

Wapendwa mpooooo nipo hapa nimerudi jaman..Hebu changamkeni kidogo
16/01/2020

Wapendwa mpooooo nipo hapa nimerudi jaman..
Hebu changamkeni kidogo

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hadith na simulizi za kusisimua posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share