04/09/2025
Super Gro ni mbolea ya kioevu ya kilimo ambayo hutumika k**a fertilizer booster au adjuvant. Ni maarufu sana kwa wakulima kwa sababu ya uwezo wake wa kusaidia mimea kutumia vizuri virutubisho vilivyopo kwenye udongo na mbolea nyingine.
Faida kuu za Super Gro π±π§
1. Huongeza tija ya kilimo β mimea inakua kwa haraka na yenye afya.
2. Hufanya maji kupenya vizuri kwenye udongo, hivyo kupunguza upotevu wa maji.
3. Huongeza uwezo wa mmea kufyonza virutubisho vilivyomo kwenye udongo na mbolea nyingine.
4. Hupunguza gharama za mbolea na maji kwa sababu inasaidia mimea kutumia vizuri vilivyopo.
5. Ni organic na haina madhara kwa udongo, mimea, wanyama au binadamu.
6. Inaendana na mazao mengi: mahindi, mpunga, kahawa, mboga, matunda, korosho, nk.
Namna ya Kutumia
Kwenye shamba: Changanya na maji, kisha nyunyizia shambani kupitia pampu ya kawaida.
Kwenye bustani: Changanya kiasi kidogo na maji, kisha mwagia au nyunyizia mimea.
MAWASILIANO
+255 759 848 703