Timiza ndoto yako

Timiza ndoto yako Tunasaidia watu wenye ndoto kubwa kwa mtaji mdogo lakin pia tunatoa mafunzo ya biashara mtandaoni bur

Kuanza biashara katika umri mdogo kabisa miaka 20, mmoja akiw mwanafunzi wa chuo na mwingne aliekuwa ameajiriwa k**a wak...
06/02/2024

Kuanza biashara katika umri mdogo kabisa miaka 20, mmoja akiw mwanafunzi wa chuo na mwingne aliekuwa ameajiriwa k**a wakala wa pesa na kulipwa lakinna 20 tu

Sasa ni wafanyabiashara wa kimataifa na wanaingiza hadi milion 10 kwa mwezi.

Wewe ni binti na unatamani kufanikiwa unaweza amua leo nikusaidie.
No: 0658028451

Wewe unae soma hi post ukiongeza K**a utaongeza uwezo wako kidgo tu wa kujiamin ukiamua kuanza hi Fursa Dunia itashangaa...
27/01/2024

Wewe unae soma hi post ukiongeza K**a utaongeza uwezo wako kidgo tu wa kujiamin ukiamua kuanza hi Fursa Dunia itashangaaa njisi ulivyo na uwezo mkubwa wa kufanya mambo makubwa Tatizo lako Fear of rejection hofu ya kukataliwa imeua Ndoto yako unawaza utaanzaje,watakuonaje watakubaki kweli Nikwambie nipo apa kukujengea uwezo Anza na hutajuta kuanza no ☎️🀳 0658028451

KWA NINI HUPATI  MAOKOTO ?Kupanga ni kuchagua - wahenga waliandika. nawakubali sana WAHENGA. Zamani sikujua maana ya hiz...
27/01/2024

KWA NINI HUPATI MAOKOTO ?

Kupanga ni kuchagua - wahenga waliandika. nawakubali sana WAHENGA. Zamani sikujua maana ya hizi methali za wahenga. Na nilipozifuatilia nikashindwa kujua hawa wahenga ni watu gani.. ndipo kijana mdogo wa miaka 20 akaniambia… WAHENGA NI WAZEE WALIOISHI NA KUONA YAKITOKEA NA KUANDIKA. nami nimeamua kuwa MHENGA kwa Kuandika niliyoyaona Yakitokea

Kuna sababu KUU moja tu kwa nini mpaka sasa HUJAFANIKIWA

Ni kwa sababu hujapanga / ama hujatekeleza ulichopanga kufanya.

ANGALIA
-Mungu alikupangia Baraka kabla hajamuumba Adam

Mwanzo : 1 : 26 - Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

-hapo utaona MUNGU anawaza na kutamka Baraka kabla hajamuumba Adam.kwamba Adam na Uzao wake wawe WATAWALA. Wamiliki Uchumi. Na kumbuka ww umetokana na Adam na hivyo baraka za Mungu kwa Adam ni zako pia
-Serikali hupanga bajeti ya maendeleo ya taifa lake kabla mwaka wa matumizi haujaanza
-serikali hupanga mipango na Dira ya miaka 25
-makampuni na mashirika hupanga mipango ya muda mfupi na mrefu na kuifuata
⁃ JE WEWE UMEPANGA NINI KWA MWAKA HUU ?
⁃ JE UMEWEKA MITEGO IPI YA KUNASA FEDHA ambazo serikali imepanga kutumia katika bajeti yake ?
⁃ Serikali imepanga kutoa tenda mbali mbali ktk miradi mbali mbali.. je ww umepanga biashara gani ya kunasa hizo fedha?
⁃ Mashirika na kampuni mbali mbali zinapanga kufanya manunuzi mbali mbali je unacho kitu cha kuwauzia ?
⁃ Je unayo huduma ya kutoa ?
⁃ Watu wanapanga kufanya matumizi na manunuzi mbali mbali ..je una nini cha kuwauzia ?
⁃ Adui zako nao wanapanga kukuangusha chini ili uendelee kuwa chini
⁃ Je ww umepanga kufanya nini cha kukuinua juu?
⁃ Yawezekana ni ww pekee ambaye hujapanga chochote
⁃ Yawezekana ni we ndio hupangi chochote katika maisha yako na hivyo hupati chochote kwa kuwa hupangi chochote
⁃ Kawaida ili upate kitu unatakiwa kupanga kabla hakijatokea
⁃ Mkulima anayepanga kuvuna kilo 10,000 ili ajipatie 40 milioni hupanga miezi 12 kabla mavuno hayajatokea na huanza utejelezaji miezi 6 kabla ya kuvuna
⁃ Huandaa mbegu, huandaa shamba, huandaa mbolea, huandaa dawa za wadudu, kisha muda wa kulima ukifika huingia shambani miezi kadhaa kabla kwa kufyeka,kulima, baadaye kupanda, kupalilia,kuweka mbolea, kupiga dawa, hatimaye KUVUNA na Kuuza na kujipatia fedha
⁃ Mfanyabiashara wa NGUO anayetaka kupata fedha kwa kuuza nguo katika msimu wa sikukuu hupanga miezi 6 kabla. Huweka oda miezi 4 kabla ya msimu china. Anajua mzigo unasafiri kwa miezi 2. Anajua ili auze vzuri mzigo unatakiwa kufika mwezi mmoja kabla ya sikukuu ili wateja wa mikoani wanunue mapema na kupeleka mikoani.
⁃ Yaani baraka Za Mungu unatakiwa uzipangilie kabla hazijatokea
⁃ Hiyo inaonyesha huwezi kupata bila kupanga akilini
⁃ Amka akilini .. jipangie unachotaka kupata mwaka huu, ingia kutekeleza ulichopanga na hatimaye utapata fedha
⁃ Bila kupanga Akilini na kuingia kutekeleza hutapata matokeo
⁃ Amini usiamini.. hupati kwa kuwa hujapanga na kuingia kutekeleza
⁃ Ama unapanga lakini huingii katika kutekeleza
⁃ Mungu hubariki UTEKELEZAJI wa mipango ya Kazi za mikono Yako
⁃ Kuna wengine hupanga ila hawaingii katika kutekeleza
⁃ Baraka za Mungu zipo zinazunguka zunguka kutafuta mtu aliyepanga kuzinyakua
⁃ Kuna Mabilioni ya fedha yanazunguka zunguka kutafuta mtu aliyeweka mtego wa kuzinasa
⁃ Waliojipangia mipango na kuitekeleza ndio wanaozipata
⁃ K**a hujapanga chochote na kutekeleza hutazipata
⁃ Kuna Mabilioni na Mabilioni ya Fedha yatatoka nje ya nchi na kuja tanzania miezi 4 ijayo ili kutafuta UFUTA..
⁃ watakaopata hizo fedha za Ufuta na mbaazi na choroko na dengu ni waliopangilia na kuandaa kulima
⁃ Hata mie nimepanga kuzipata na hivyo tayari nimenunua mbegu, ninaandaa shamba la kupanda ili mwezi wa 2 nianze kupanda
⁃ Hakuna kupata k**a hujajiandaa na kutekeleza
⁃ Hakuna kupata k**a hujapanga KUPATA
⁃ Kuna mabilioni na mabilioni ya Fedha yatafurika ili kutafuta mahitaji wakati wa Mfungo wa Ramadhani na sikukuu ya IDDI na PASAKA miezi miwili ijayo
⁃ Watakaozipata hizo fedha walijiandaa mwaka mmoja uliopita kuzipata
⁃ Watu walipanda mihogo mwezi wa tatu mwaka jana ili wavune mwaka huu mwezi wa tatu wakati wa mfungo
⁃ Watu wameagiza tende na mguo zinazoambatana na mfungo
⁃ Mayai yatapanda bei na maziwa .. kuna watu walijiandaa kufuga kwa ajili ya kulenga hii sikukuu kubwa
⁃ Je ww ulipanga Nini na Umetekeleza nini ili kujiandaa KUNASA FEDHA zinazotafuta huduma mwezi wa 3?
⁃ K**a hukupanga na kuandaa hutapata kitu
⁃ K**a hukupanga na kuandaa nguo za kuuza, Viatu, Vyakula, vyombo nk mabilioni hayo ya sikukukuu za IDDI NA PASAKA zitakupita
⁃ Kisha utamlaumu MUNGU kwamba hajakubariki. Kumbe MUNGU alikubariki Afya na uzima na akili njema ila HUJAPANGA KUCHUKUA HUO MBARAKA
⁃ Tambua Afya njema ya kimwili na kiakili ndio Baraka kuu kuliko zote ambazo MUNGU amekupa
⁃ Kumbe Tatizo ni ww mwenyewe hujatumia Baraka KUU ya MUNGU ya uzima kujipatia maokoto
⁃ Je lini utaanza kupanga kabla hujapata?
⁃ Tambua bila kupanga mapema hakuna kupata mbeleni
Dr. PHARES JOHN
27/01/2024

Biashara ambayo umewekeza kwa watu ni biashara ya kudumu kwahio tunawajenga watu kwa Mafunzo na watu wanajenga biashara ...
26/12/2023

Biashara ambayo umewekeza kwa watu ni biashara ya kudumu kwahio tunawajenga watu kwa Mafunzo na watu wanajenga biashara kubwa uko tayari nikufundishe biashara kubwa ambayo haitaji gharama za uendeshaji Wala na mtaji wake ni mdogo ukilinganisha na biashara zingine nipigie simu tuongee Fursa au TUMA sms nahitaji Fursa
no ☎️🀳 0658028451
Director Phares

Wewe ni mjasiriamali na umehangaika kufanya biashara nyingi bila matokeo lakini una malengo unashindwa kuyatimiza maleng...
24/12/2023

Wewe ni mjasiriamali na umehangaika kufanya biashara nyingi bila matokeo lakini una malengo unashindwa kuyatimiza malengo hayo

Basi nina program moja kiboko kuhusiana na kuwasadia watu ambao wamehangaika sana kufanya biashara lakini hawapati matokeo na wanashindwa kutimiza malengo yao

Binafsi mimi nimetumia PROGRAM hii na imeniletea matokeo makubwa nimeweza kuongeza kipato (Faida) kuanzia 100000/= hadi 20000/= kwa siku k**a wewe unahitaji kupata PROGRAM BUREE hii bonyeza link wa.me//255658028451

Kupitia hii program kuna watu wameweza kunufaika mnoo na imebadilisha maisha yao kwa nyakati fulani
Whatsapp Number +255658028451

Wewe ni mjasiriamali na umehangaika kufanya biashara nyingi bila matokeo lakini una malengo unashindwa kuyatimiza maleng...
24/12/2023

Wewe ni mjasiriamali na umehangaika kufanya biashara nyingi bila matokeo lakini una malengo unashindwa kuyatimiza malengo hayo

Basi nina program moja kiboko kuhusiana na kuwasadia watu ambao wamehangaika sana kufanya biashara lakini hawapati matokeo na wanashindwa kutimiza malengo yao

Binafsi mimi nimetumia PROGRAM hii na imeniletea matokeo makubwa nimeweza kuongeza kipato (Faida) kuanzia 100000/= hadi 20000/= kwa siku k**a wewe unahitaji kupata PROGRAM BUREE hii bonyeza link wa.me//255658028451

Kupitia hii program kuna watu wameweza kunufaika mnoo na imebadilisha maisha yao kwa nyakati fulani
Whatsapp number +255658028451

WhatsApp Group Invite

POINT 7 ZA MHIMU KWANINI UFANYE HI BIASHARA?Wakati unajiuliza uanze au usianze ,Kuna watu wanachukua hatua na kuanza hi ...
20/12/2023

POINT 7 ZA MHIMU KWANINI UFANYE HI BIASHARA?

Wakati unajiuliza uanze au usianze ,Kuna watu wanachukua hatua na kuanza hi biashara serious Kwasababu hi biashara sio tu kupata pesa Ina Maisha na tunafanya kazi na kampuni ya neolife

Mm Naitwa Jumanne ni Mkurugenzi kwenye biashara yangu ambayo nimeingia UBIA na kampuni ya NEOLIFE INTERNATIONAL LTD nzuri zaidi Nina ni SYSTEM ambayo naweza kumsaidia Mtu mwingine

WHY NEOLIFE?
πŸ—žοΈKwanini tufanye kazi na Neolife? Tunafanya kazi na Neolife kwasababu:

1πŸ—žοΈ-''Haiangalii umri''.
Ni tofauti na mashirika mengine ambayo tahiri ikitolewa, utaambiwa watu wanaohitajika Ni age fulani mpaka age fulani Basi.Lakini sisi tunaambiwa fursa sawa kwa wote, ilimradi uwe na akili timamu.
2πŸ—žοΈ-"Kuna kipato Cha ziada". Kampuni yetu unaponunua bidhaa inakulipa,unapouza bidhaa unajilipa ile faida.
Tofauti kabisa na sehemu yoyote,huwezi kununua bidhaa ukalipwa,lakini Neolife inakulipa.

3πŸ—žοΈ"Unafanyiwa recognition
(Unapongezwa).
Hapa kila unachofanya ukikifanya kwa uaminifu Unapongezwa.
Unaoneshwa kuwa unaweza,unapewe cheo, mfano ukifanya kwa uaminifu unapanda steps Kutokana na nafasi uliyokuwepo, Managers, Senior Managers, Qualified Siniour Managers, Director's e.t.c

4πŸ—žοΈ"Wewe unakuwa boss mwenyewe".
Hapa unajipangia Muda gani ufanye kazi, Muda gani upumzike.Hupelekeshwi, wewe tu ndo unajipangia Muda wa kufanya kazi na kuweka nidhamu ili tu biashara yako ikue.

5πŸ—žοΈ"Hakuna kustaafu".
Hakuna kustaafu, hapa unafanya kazi kwa mwendelezo.Unafanya biashara tu, Hakuna wa kukwambia Sasa umri wako unatosha inatakiwa ustaafu ukapumzike, unafanya kazi mpaka unalisisha biashara yako.

6πŸ—žοΈ"Unapata kipato endelevu na unalisisha vizazi vyako vyote.
Kwa maana ya kwamba wewe utapiga kazi mpaka Mungu akuchukue, mtoto wako wewe anarithi, hivyo hivyo naye mtoto anapiga kazi mpaka akitwaliwa,mjukuuu anarithi n.k.
Yaaani wewe unakuwa umejenga msingi imara ambapo vizazi hata vizazi vitafurahia matunda yako wewe

Naendelea..........

KWA POINT HIZO NIPIGIE SIMU TUONGEE FURSA UANZE HI BIASHARA HUNA HAJA YA KUANZA KUJIULIZA MARA MBILI MBILI UNAJICHELEWESHA

NO ZANGU
☎️🀳 0658028451
DM WHTSAP
πŸŽ₯ Director Phares

Bado unajiuliza uanze hi Fursa au usianza  Bora uanze ushindwe Kuliko uje ujute Kwanini hukuanzaSuccess is the problem b...
20/12/2023

Bado unajiuliza uanze hi Fursa au usianza Bora uanze ushindwe Kuliko uje ujute Kwanini hukuanza

Success is the problem but failure is the formula. You can’t solve the problem without knowing the formula kwa tafasiri ya lugha nyepesi tu ya kibantu ni kwamba

Mafanikio ni tatizo lakini kushindwa ni kanuni.
Huwezi kutatua tatizo bila kujua kanuni

Kumbe kushindwa ni sehem ya mafanikio ndo kanuni ya mafanikio so tegemea kushindwa, Ila anguka mara 7 nyanyuka Mara 8 (we learning through mistake)

HAIJALISHI UMESHASHINDWA MARA NGAPI ,UNAWEZA ANZA UPYA KWA KUANZA HI FURSA

NIPIGIE SIMU TUONGEE FURSA AU TUMA NENO NAHITAJI FURSA KWENDA
NO β˜ŽοΈπŸ“ž 0658028451

Nasaidia Vijana kuishi Maisha ya ndoto zao kwa kuwapa Fursa ya Biashara ambayo inawapa kipato endelevu, Afya nzuri, Kuta...
20/12/2023

Nasaidia Vijana kuishi Maisha ya ndoto zao kwa kuwapa Fursa ya Biashara ambayo inawapa kipato endelevu, Afya nzuri, Kutambulika, Kufikia uhuru wa kipato, Kusafiri Dunia kitalii na kuwa Boss wako mwenyewe. K**a wewe ni Kijana ambae una ndoto kubwa ya Kumiliki Biashara yako mwenyewe nipigie simu au nitumie Ujumbe whatsApp wenye neno JIKWAMUE kwenda namba 0658028451

Huwezi kuanguka K**a hujapanda Lakini hakuna furaha kuishi Maisha yako yote ya chini every day you have a chance to star...
18/12/2023

Huwezi kuanguka K**a hujapanda Lakini hakuna furaha kuishi Maisha yako yote ya chini every day you have a chance to start over again

usiogope kuanza upya dondoka Mara 7 nyanyuka Mara 8 K**a unasoma post hi Wenda umekata tamaa ulikuwa na biashara yako saivi Huna Tena mtaji umekata,ulikuwa na wazazi unawategemea Wenda umebaki yatima , ulikuwa na Kazi nzuri lakn Huna Tena kazi Sasa Huna haja ya kuendelea Kutia huruma maana siku zote huruma Haina pesa k**ata hi Fursa utakuja kunishukuru baadae watu wamebadilisha Maisha completely

NIPIGIE SIMU TUONGEE FURSA AU TUMA NENO NAHITAJI FURSA KWENDA WHASAP
NO ☎️🀳 0658028451
DIRECTOR PHARES JOHN

MAFUNZO YA BIASHARA NA JINSI YA KUANZA BIASHARA KUBWA YA KIMATAIFA KWA MTAJI MDOGO SANA AMBAO UNAZALISHA FAIDA NYINGI NA...
14/12/2023

MAFUNZO YA BIASHARA NA JINSI YA KUANZA BIASHARA KUBWA YA KIMATAIFA KWA MTAJI MDOGO SANA AMBAO UNAZALISHA FAIDA NYINGI NA KUBWA KWENYE MAISHA YA KILA SIKU,MWEZI NA MWAKA.

FURSA KUBWA KWA KILA MWAJIRIWA, MWAJIRI, MFANYABIASHARA, MKULIMA, MAMA WA NYUMBANI, WAHITIMU NA WANACHUO

UNAHITAJI KIPATO CHA ZIADA NA HUJUI NI WAPI SALAMA PA KUWEKEZA? HII NI SEHEMU SALAMA KWAKO ANZA LEO UTENGENEZE TABASAMU LA MAISHA.

MAWASILIANO NI WHATSAPP NO:0658028451

UNAHITAJI KUMALIZA MWAKA KIUTOFAUTI UKIWA MMILIKI WA BIASHARA KUBWA AMBAYO ITAKUPA FAIDA ZAIDI YA MIL.1 KWA MWEZI?UNGANA...
13/12/2023

UNAHITAJI KUMALIZA MWAKA KIUTOFAUTI UKIWA MMILIKI WA BIASHARA KUBWA AMBAYO ITAKUPA FAIDA ZAIDI YA MIL.1 KWA MWEZI?

UNGANA NASI KUPATA ELIMU BURE JUU YA BIASHARA NA USAIDIZI NA USIMAMIZI WETU WA KUKUSAIDIA UANZE KWA MTAJI MDOGO SANA ILI KUJENGA BIASHARA KUBWA HADI KUFANIKIWA.

UNGANA NASI KWA MAWASILIANO WHATSAPP NO: 065802845

USIKOSE OFFER HII KUELEKEA MSIMU WA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Timiza ndoto yako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share