monie the beast

monie the beast Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from monie the beast, Business consultant, Dar es Salaam.

Kuanza Biashara Haikuhitaji Uwe na Mtaji Wa Mamillion Ukiwa na 195K unaweza Kuanza Biashara na Kufanikiwa...Kwa maelezo namna ya Kuanza Biashara wasiliana nami kupitia WhatsApp no👇👇
+225757789828

12/08/2026

JIFUNZE NAMNA YA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA FAIDA KUPITIA PROJECT YETU YA 100 MILLIONAIRES USIZURULE MITANDAONI TU...

USIKOSE DARASA HILI KESHA TAREHE 13 AUG SAA TATU USIKU....
K**A UNATAKA KUHUDHURIA NA KUJIFUNZA,WASILIANA NASI SASA KUPITIA wa.me/255789907021 TUMA NENO "100 MILLIONAIRES "

12/08/2026

Unaposema "Sina muda wa kufanya biashara au mradi mwingine,"

Unamaanisha utaendelea kufanya kazi masaa 8 hadi 12 kila siku kwa miaka 30 ijayo bila kupata uhuru wa muda wala kipato?

​Kila mtu ana masaa 24 kwa siku. Tofauti kati ya anayehangaika kifedha na anayefanikiwa ni jinsi wanavyotengeneza mfumo wa muda wao.

​Kama ajira au biashara yako ya sasa haikupi muda wa kukaa na familia yako, kusafiri, au kujenga kesho yako, basi unahitaji mfumo utakaokuzalishia kipato hata wakati umelala.

​Kupitia mradi wetu wa 100 Millionaires tunasaidia wajasiriamali na waajiriwa, tunakufundisha jinsi ya kutumia masaa 1 hadi 2 tu ya muda wako wa ziada kwa kutumia simu yako ya mkononi..

✅ Kutengeneza kipato cha ziada cha pembeni.

✅ Kujenga biashara inayojiendesha yenyewe.

✅ Kutengeneza uhuru wa muda na fedha kwa siku zijazo.

​Acha kusema huna muda. Anza kutengeneza muda wako mpya leo!

Uko tayari kubadilisha jinsi unavyotumia masaa yako ya ziada? Tuma neno "100 MILLIONAIRES" DM au bonyeza link kwenye bio kuja WhatsApp wa.me/255789907021 nikuunganishe na mafunzo yetu ya kuanza leo!

04/08/2026

KILA HATUA NDOGO NI USHINDI WA KUSHANGILIWA! 🙏🏽💵

​Katika safari ya ujasiriamali, watu wengi wanashindwa kufika mbali kwa sababu wanasubiri kupata mamilioni ndio waone wamefanikiwa.

Lakini ukweli ni kwamba... Ushindi mkubwa ni matokeo ya ushindi mdogo mdogo wa kila siku!

​Leo namshukuru Mungu sana, nimeingiza faida ya 40k, kupitia biashara yangu! Mtu mwingine anaweza kuona ni pesa ndogo, lakini kwangu mimi ni ushahidi kwamba mfumo wangu unafanya kazi, na simu yangu ya mkononi ina uwezo wa kunipatia kipato cha kila siku bila kumuomba mtu.

​Katika mradi wetu wa 100 Millionaires Project, hatukufundishi tu kuwaza mamilioni ya mbali, tunakufundisha jinsi ya kuanza kuingiza laki 2, elfu 50, au elfu 30 za kila siku ukiwa nyumbani na smartphone yako!

​ Je, uko tayari kuanza safari yako na kuanza kutengeneza faida za kila siku kupitia simu yako?

​Nenda inbox (DM) sasa hivi au tuma ujumbe wenye neno "USHINDI" kwenda WhatsApp wa.me/255789907021 nikutumie mwongozo wa jinsi ya kujiunga na mradi wetu leo!

30/07/2026

KOSA KUBWA LA WENGI NI KUWAZA FREMU NA MTAJI MKUBWA KABLA YA KUANZA BIASHARA! 🚨

​Watu wengi wana ndoto za kuanzisha biashara, lakini wanakwama kwa sababu wanaamini lazima wawe na mamilioni ya fedha, wapange fremu ya kifahari, na wanunue mashelufu ya gharama.

​Ukweli ni kwamba Katika karne hii ya 21, biashara haianzi kwenye fremu, inaanza kwenye Mfumo!

​Unapojiunga na mradi wetu wa 100 Millionaires Project:
❌ Huhitaji kupanga fremu au kulipa kodi ya duka.
❌ Huhitaji mtaji mkubwa wa mamilioni kuanza.
❌ Huhitaji kuumiza kichwa kuhusu viwanda au utafiti wa bidhaa.

​✅ Unachohitaji ni Smartphone yako, Internet, na utayari wa Kujifunza!

​Tunakupa mfumo uliokamilika wa biashara, bidhaa zenye ubora wa kimataifa, na mafunzo ya hatua kwa hatua jinsi ya kugeuza simu yako kuwa duka lako linalokuingizia kipato kila wiki.

​💡 Acha kusubiri mamilioni ndio uanze.

Anza na ulichonacho mkononi mwako leo!

​Kama Uko tayari kuanza safari yako bila presha ya kodi ya fremu?
Tuma neno "NATAKA KUANZA" inbox (DM) au WhatsApp sasa hivi kupata mwongozo rasmi!

30/07/2026

Kupitia Project Yetu Ya 100 Millionaires unaweza Kuanza Biashara leo itakayokuongezea kipato cha laki moja na zaidi kwa wiki.

Wasiliana nasi kwa wa.me/255789907021 kupata taarifa kamili.

27/07/2026

Tuma neno "UJUZI " kwa kubofya hapa wa.me/255789907021

25/07/2026

Tumpongeze Ameanza Biashara Kwa Mtaji Wa 195k 🔥 🔥🔥

Address

Dar Es Salaam
11101

Telephone

+255757789828

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when monie the beast posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to monie the beast:

Shortcuts

Share