monie the beast

monie the beast Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from monie the beast, Business consultant, Dar es Salaam.

Kuanza Biashara Haikuhitaji Uwe na Mtaji Wa Mamillion Ukiwa na 195K unaweza Kuanza Biashara na Kufanikiwa...Kwa maelezo namna ya Kuanza Biashara wasiliana nami kupitia WhatsApp noπŸ‘‡πŸ‘‡
+225757789828

15/01/2026

Unahitaji Ujuzi Huu Muhimu Ili Uingize Kipato Mwaka Huu..

13/01/2026

Unachozungumza, unayeshirikiana naye, na mtazamo wako ... vinaamua kiwango chako cha kipato.

Ukitaka kuingiza pesa, badilisha mazungumzo yako na watu unaokaa nao.
Zunguka na watu wanaoongelea fursa, si lawama.

πŸ“ŒBiashara ninayofanya inakufundisha kuwa sehemu ya watu wanaokua kila siku ...
kimtazamo na kifedha.

πŸ‘‰ Comment β€œNAHITAJI” ujifunze kuanza.


10/01/2026

Ongeza Kipato Chako Kwa Kusambaza Bidhaa za Afya kwa mtaji mdogo wa 195k..

Wasiliana naminkwa WhatsApp 255.757.789.828 nikuelekeze hatua ya kuanza.

10/01/2026

Masikini si yule asiye na pesa....ni yule asiye na kitu cha kuuza.

Katika dunia ya leo, kila fursa ya kipato inaanzia kwenye kuuza.
Unaweza kuuza bidhaa, ujuzi, muda au hata maarifa yako.

Ukikaa bila kujifunza kuuza au kutafuta cha kuuza, unajifunga milango ya kipato.

Badilika. Tafuta cha kuuza. Jifunze kuuza. Ndipo pesa itakufuata.

πŸ‘‰ Na k**a huna cha kuuza bado, niko hapa kukuelekeza biashara ya kusqmbaza bidhaa za afya unayoweza kuanza kwa mtaji mdogo wa 195k.

Wasiliana nami kwa WhatsApp 255.757.789.828 nikuelekeze hatua ya kuanza.

Hongera Godfrey Kwa Kujielimisha Biashara Hii hakika watu Wenye Mtazamo Chanya Wana Nafasi Kubwa Ya Kufanikiwa....Ukikos...
09/01/2026

Hongera Godfrey Kwa Kujielimisha Biashara Hii hakika watu Wenye Mtazamo Chanya Wana Nafasi Kubwa Ya Kufanikiwa....

Ukikosa muda wa kujielimisha leo, utalazimika kutumia muda mwingi kurekebisha makosa kesho.

Tenga muda kujifunza biashara, mitazamo sahihi na ujuzi wa kipato, si gharama, ni uwekezaji wa maisha yako.

K**a Unataka Kuanza Biashara mwaka huu ,Biashara hii ya kusambaza bidhaa za afya inakufaa....Anza leo, jifunze hatua kwa hatua nitakuongoza.

#

09/01/2026

Aina 3 za Ujuzi Muhimu wa Kuwa nao Mwaka Huu ili Uingize Kipato πŸ‘‡πŸ½

1. Ujuzi wa Kuuza (Selling Skills)
Ukijua kuuza, unaweza kuingiza pesa bila hata kuwa na biashara yako ....hata kwa bidhaa za watu wengine.

2. Ujuzi wa Mawasiliano (Communication)
Unahitaji kujua kuwasiliana vizuri ili kuwashawishi, kujenga mahusiano na kuuza wazo au bidhaa.

3. Ujuzi wa Kutafuta Fursa Mtandaoni (Digital Skills)
Mitandao ni sokoni ....
ukiijua, unaweza kujitangaza, kuuza, na kuingiza kipato bila hata ofisi.

πŸ“Œ Na k**a hutaki kubaki nyuma mwaka huu ....ni wakati wa kujifunza haya kupitia fursa ya kusambaza bidhaa za afya utajifunza kila kitu hapo juu.

πŸ‘‰Niandikie neno BIASHARA Inbox nikuelekeze namna ya kuanza .

08/01/2026

Ujuzi wa kuuza ni silaha ya kifedha,

Hauhitaji kuwa na mtaji mkubwa, ukijua kuuza unaweza kuingiza kipato popote, muda wowote.

Kwa mtaji mdogo sana wa 195k Unaweza Kuanza Biashara ya kusambaza bidhaa za afya....

Wasiliana nami kupitia WhatsApp 255757789828


08/01/2026

K**a wewe Unatamani kuanza biashara kwa mtaji mdogo wa 195k...

πŸ‘‰ Comment hapo chini neno *"TAAYARI"*
Nitakuonyesha jinsi ya kuanza biashara ya kusambaza bidhaa za afya na:

βœ… Kubadili mtazamo wako wa kifedha
βœ… Kujifunza ujuzi wa kuuza
βœ… Kujiamini na kujiendeleza binafsi
βœ… Kujijengea kipato cha ziada 2026

Hii si biashara tu, ni safari ya mabadiliko ya fikra na mafanikio.

SIFA 3 ZA BIASHARA NZURI πŸ‘‡πŸ½1. Inatatua tatizo halisiBiashara nzuri hujibu hitaji au changamoto ya watu, siyo ubunifu tu,...
08/01/2026

SIFA 3 ZA BIASHARA NZURI πŸ‘‡πŸ½

1. Inatatua tatizo halisi
Biashara nzuri hujibu hitaji au changamoto ya watu, siyo ubunifu tu, ni suluhisho.

2. Inahitaji mtaji mdogo kuanza
Biashara bora haihitaji milioni, inahitaji hatua ya kuanza na kujifunza ukiwa ndani.

3. Ina uwezo wa kukuwa bila wewe kuwepo kila wakati
Biashara yenye mfumo mzuri huweza kukua hata ukiwa na shughuli nyingine.

Na k**a wewe unatafuta biashara yenye sifa hizi, kusambaza bidhaa za afya ni fursa bora sana ya kuanza mwaka huu kwa mtaji mdogo wa 195k tu.

Comment "NATAKA" nikuelekeze hatua kwa hatua.


07/01/2026

Weka Malengo Yako namna Hii...

K**a Wewe Unataka Kujiongezea Kipsto na haujui Ufanye Biashara gani...
Karibu nikuelimishe namna utakavyojiongezea kipato kikubwa kwa kusambaza bidhaa za afya kwa mtaji mdogo kabisa wa 195k tu....nitumie ujumbe NATAKA KUANZA WhatsApp au DM Sasa nikupe mwongozo.

Hongera Sana Mbeya Kwa Semina Kubwa Ya Biashara..Hongera pia Kwa Waliotenga muda kuja Kujielimisha Biashara Hii...Honger...
30/11/2025

Hongera Sana Mbeya Kwa Semina Kubwa Ya Biashara..

Hongera pia Kwa Waliotenga muda kuja Kujielimisha Biashara Hii...

Hongera Kubwa kwa Walioanza Biashara Hapo hapo...

17/11/2025

Inawezekana Unatamani Kufanya Biashara Ila Hujui Ufanye Biashara Gani!

Nitafute nikuelimishe Biashara Ambayo Inaweza Kukuongezea Kipato Cha Hadi elfu Hamsini Kwa Siku,na Uzuri ni Kwamba Unaweza Kuifanya Hata Ukiwa Umeajiriwa Bila Kuathiri shughuli Zako..

Address

Dar Es Salaam
11101

Telephone

+255757789828

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when monie the beast posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to monie the beast:

Share