Utamu wa Mbeya

Utamu wa Mbeya Utamu wa Mbeya tunausika na uuzaji wa mchele wa mbeya na shinyanga ulioandaliwa kwa usafi na kuifadhiwa katika viroba vya kilo tano (5kg) kwa bei nafuu.

JITAHIDI KUPATA NAKALA KWA AJILI YA VIJANA WASOMAO. Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usiusahau; Wala usiyakatae maneno y...
02/02/2017

JITAHIDI KUPATA NAKALA KWA AJILI YA VIJANA WASOMAO. Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usiusahau; Wala usiyakatae maneno ya kinywa changu. Usimwache, naye atakuhifadhi; Umpende, naye atakulinda. Mithali 4:5-6. Barikiwa. Wasiliana nasi kwa namba 0652 811 818. ujipatie Kitabu hiki.

Habari ya Leo:BAADHI YA WATU WANASHINDWA KUFANIKIWA KWA SABABU HIZI MBILI YAMKINI ZIPO NYINGI MIMI NIMEONA HIZI MBILI:• ...
07/01/2017

Habari ya Leo:
BAADHI YA WATU WANASHINDWA KUFANIKIWA KWA SABABU HIZI MBILI YAMKINI ZIPO NYINGI MIMI NIMEONA HIZI MBILI:
• Jambo la kwanza:

 Kutokujuwa kile unachotakiwa kufanya hasa kwa utulivu na uzuri
Maana hii upelekea wengi kushindwa kufanikisha ndoto zao kabisa iwapo, ujuwi kile unachokitaka vizuri, suala la kufanikisha ndoto zako litakuwa gumu kidogo.

Mambo ya kuzingatia katika swala hili la Kwanza:

 Ili uweze kufanikisha ndoto zako lazima kile kitu unachokitaka uweze kukijua vizuri.
 Hakikisha unajuwa njia utakazotumia hadi kukipata kitu hicho.
 Usifanye kosa la kubebesha mambo mengi katika ubongo wako.

• Jambo la Pili:

 Kukosa hamasa kwa kitu unachokitaka. Maana kubwa kuhamasika/Uzingativu Fulani katika jambo husika ni kitu cha muhimu sana ili kufikia ndoto zako kubwa.

Mambo ya kuzingatia katika swala hili la pili:

 Fanya kila ufanyalo katika kufanikiwa hakikisha una hamasa ya kufanya hicho unachotaka kukifanya katika maisha yako na kiweendelevu.
 Endelea kusonga mbele usisubiri hamasa yako kupoa au kupozwa tafuta hamasa ya kufanikiwa kwako, kila siku na ukifanya hivyo mafanikio yako jirani sana kukufuata.

Habari ya leo Rafiki zangu. Awali ya yote nawapenda sana wote pia naomba Mwenyezi Mungu awajaliye Maisha Marefu yenye Me...
30/11/2016

Habari ya leo Rafiki zangu. Awali ya yote nawapenda sana wote pia naomba Mwenyezi Mungu awajaliye Maisha Marefu yenye Mema yake.
Karibuni sana Leo nimewaletea Mdau wangu wa pili kutoka shinyanga. Mchele wa Shinyanga unasifa ya Pekee sana kwanza umenyooka na mbili ni mtamu sanaaaaaaaaaaa!!!!!!!
k**a unavyouwona wadau wangu ni hao na wanunuzi ndio ninyi, karibu sana kwa mawasiliano hayo hapo. kupiga tu nakujuwa ya zaidi kuhusu bidhaa hiyo.
Nawatakia neema ya Mungu iwenaninyi siku zenu zote. Amen.

Habari zenu Rafiki zangu huu ndio mchele Mtamu wa Mbeya wasiliana nasi kabla ujawahiwa upate mchele safi kutoka mbeya Na...
23/11/2016

Habari zenu Rafiki zangu huu ndio mchele Mtamu wa Mbeya wasiliana nasi kabla ujawahiwa upate mchele safi kutoka mbeya Namba Moja sasa tunapatikana Dar es salaam. Welcome Utamu wa Mbeya 1.

KARIBUNI WOTEEEEEEEEE!!
21/11/2016

KARIBUNI WOTEEEEEEEEE!!

Habari ya Leo, Karibu Utamu wa Mbeya ufurahi hadi ujiulize ulikuwa wapi siku zote hizo pata bidhaa makini kwa bei ya Bur...
18/11/2016

Habari ya Leo, Karibu Utamu wa Mbeya ufurahi hadi ujiulize ulikuwa wapi siku zote hizo pata bidhaa makini kwa bei ya Bure mno.

Address

Magomeni
Dar Es Salaam
255

Telephone

+255652811818

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Utamu wa Mbeya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share