Ufugaji WA Samaki sato/kambale

Ufugaji WA Samaki sato/kambale Ni sehemu utayojifunza ufugaji wa samaki kwa ufasaha na uhakika.

23/02/2026

🐟🐟🤜🤛

25/01/2026

1. Mbegu bora
2. Chakula bora
3. Maji safi
4. Idadi sahihi
Ndio siri ya mafanikio ya ufugaji wa samaki.
Karibu tukuhudumie
USHAURI BURE
0715404400

20/01/2026

VITU VYA KUZINGATIA KWENYE UFUGAJI WA SAMAKI.
1. MAJI: Chanzo chamaji iwe mto ziwa kisima au bomba akikisha chanzo chako cha maji ni bora na salama mshirikishe mtaalam kwa msaada na vipimo vya maji.
2. MBEGU: Kesi ya mbegu imekua kubwa hasa kwa wafugaji wapya. mbegu ya samaki ikiwa mbaya (dumavu) huwezi kupata matokeo mazuri kwenye ufugaji. Usiangalie wepesi wa bei angalia ubora wa mbegu fatilia chanzo cha mbegu yako usinunue tu kwa watu wasiofahamika.
CHAKULA: Hili ni eneo jingine kwenye ufugaji linalo wafelisha wafugaji. kabda hujaanza kufuga hakikisha utamudu gharama za chakula na mradi kiujumla. usishawishike tu kufuga piga omba mtaalam akupe hesabu sahihi usijikute unaishia njiani kwenye ufugaji na wengi wamefeli hapa.
MTAALAM: Akikisha mtaalam wako anakupa taarifa sahihi sio wa kukwambia upande wa faida tu akwambie na changamoto kabla ili ujue k**a unaweza kukabiliana nazo epuka mtaalam wa kukufumba fumba akwambii hualisia au shauri wa kueleweka utafeli.
SOKO: Pata huakika wa soko kabla usipewe tu Hadithi hii inagusa zaidi kwenye ufugaji wa kambale.
KWA USHAURI ZAIDI.
PIGA 0715404400

Hii nayo isikupite boss wangu.
01/01/2026

Hii nayo isikupite boss wangu.

Tunayo mbegu bora ya samaki yenye matokeo mazuri ya ukuajiKaribu ushauri bure0715404400
10/11/2025

Tunayo mbegu bora ya samaki yenye matokeo mazuri ya ukuaji
Karibu ushauri bure
0715404400

TANGAZO-Tunauza vifaranga bora vya samaki-Tuna uza chakula bora cha samaki-Tuna jenga na kusimamia ujenzi wa mabwawa.-Tu...
20/10/2025

TANGAZO
-Tunauza vifaranga bora vya samaki
-Tuna uza chakula bora cha samaki
-Tuna jenga na kusimamia ujenzi wa mabwawa.
-Tunatoa huduma ya kuzalisha vifaranga vya kambare kwa wateja
-Tuna kuunganisha na soko
- Tuna kagua eneo kabla ya kuanza ufugaji
SIMU 0715404400
USHAURI BURE

Mbegu hii ya sato kifaranga chake sh 300 punguzo lipo.0715404400Ushauri bure
15/10/2025

Mbegu hii ya sato kifaranga chake sh 300 punguzo lipo.
0715404400
Ushauri bure

15/10/2025

Upandaji wa vifaranga vya samaki Dodoma kwa mteja wetu.
Kwa huduma za ufugaji wa samaki 0715404400

Maombi yamekua mengi ya kurudia offer tumesikia offer imerudi ila kwa muda mfupi sana wahi kuweka order mapema.Kwa maele...
25/09/2025

Maombi yamekua mengi ya kurudia offer tumesikia offer imerudi ila kwa muda mfupi sana wahi kuweka order mapema.
Kwa maelezo zaidi piga 0715404400

Fuga samaki kisasa zaidi tukabidhi eneo lako tukuwekee bwawa samaki na chakula kwa gharama nafuu kabisa.Maelezo zaidi 07...
30/07/2025

Fuga samaki kisasa zaidi tukabidhi eneo lako tukuwekee bwawa samaki na chakula kwa gharama nafuu kabisa.
Maelezo zaidi 0715404400
USHAURI BURE

Kwa mbegu bora ya samaki sato na kambale karibu kwetu0715404400USHAURI BURE
13/07/2025

Kwa mbegu bora ya samaki sato na kambale karibu kwetu
0715404400
USHAURI BURE

Address

Pugu
Dar Es Salaam

Telephone

+255715404400

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ufugaji WA Samaki sato/kambale posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ufugaji WA Samaki sato/kambale:

Share