01/03/2024
Ewe mtanzania mwenzetu tunapenda tukukaribishe katika ujenzi wa mashimo ya kisasa ya vyoo visivyojaa , tukujengee shimo lisilojaa kwa gharama nafuu na rafiki kwa mazingira.
Gharama zetu kwa ujenzi wa shimo moja ni 800,000/= na kwa shimo lenye mfumo wa mawe ni 1,200,000/= kwa wateja wa mkoa wa Dar Es Salaam na pwani.
Tupigie kwa namba hizi 0748064932
Kwa wateja wa mikoa mingine tafadhali tupigie simu tuzungumze.