Maya Business Tz

Maya Business Tz Promotion of local business, male and female models, health and beauty. to encourage youth and child

Kamgusa mtu mkubwa utoe ni nani ?
05/08/2022

Kamgusa mtu mkubwa utoe ni nani ?

Part Two (2) ni leo sa12 ana episode nzuri. Fanyeni kunifollow.
04/08/2022

Part Two (2) ni leo sa12 ana episode nzuri. Fanyeni kunifollow.

Tuhamie wap sasa jamani ? Tupeane ushauri wadau 🥺
01/08/2022

Tuhamie wap sasa jamani ? Tupeane ushauri wadau 🥺

Kiungo Frenkie de Jong anaidai Barcelona kiasi cha Euro milioni 17 lakini klabu hiyo inataka kumpunguza mshahara wake kw...
25/07/2022

Kiungo Frenkie de Jong anaidai Barcelona kiasi cha Euro milioni 17 lakini klabu hiyo inataka kumpunguza mshahara wake kwa 50% yaani alipwe nusu ya mshahara wa sasa k**a anataka kusalia klabuni hapo.

K**a hiyo haitoshi meneja Xavi ametangaza wazi kuwa atamtumia k**a beki wa kati na kwamba nafasi hiyo ndio inayomfaa.

Hii ndio maana sahihi ya “akufukuzae hakwambii toka”.

He is handled by Araujo 😂 hii sio EPL Rudiger
25/07/2022

He is handled by Araujo 😂 hii sio EPL Rudiger

Chuo cha Kimataifa Kampala nchini Tanzania, kwa Muhula wa Masomo 2022/23 kinaendelea kutoa Udhamini wa Masomo “Scholarsh...
06/07/2022

Chuo cha Kimataifa Kampala nchini Tanzania, kwa Muhula wa Masomo 2022/23 kinaendelea kutoa Udhamini wa Masomo “Scholarships” mpaka asilimia hamsini (50%) kwa masomo yasiyo ya Afya ngazi ya “Certificate, Diploma na Degree”.

MAOMBI YA KUJIUNGA NA CHUO YANAFANYIKA kwa shilingi 20,000/=

+255678247674

Pad controllers za simu unaonganisha na kucheza games zote kwenye simu karibuni.
09/03/2022

Pad controllers za simu unaonganisha na kucheza games zote kwenye simu karibuni.

Tunauza PS4 na PsP kwa bei nafuu mpya na warranty .
09/03/2022

Tunauza PS4 na PsP kwa bei nafuu mpya na warranty .

Mashabiki wa simba tuacheni kutetea huu upumbavu wa huyu kocha huyu kocha ni dull hana skills ya aina yoyote Tufanye ana...
28/02/2022

Mashabiki wa simba tuacheni kutetea huu upumbavu wa huyu kocha huyu kocha ni dull hana skills ya aina yoyote

Tufanye analysis ya mechi iliyopita ambayo ni tumecheza na USGN tuliingia na mfumo wa 4-2-3-1
Yan nyuma walikua, zimbwe, Baka , onyango na kapombe, viungo, nyoni na kanoute na winger wamecheza banda na mhilu kiungo mshambuliaji pape osman sakho na namba tisa Kagere.

Niambie jana katika kikosi tulichocheza na Rs Barkane nani hakuepo? Tunatetea upumbavu wa kocha kwa kusingizia majeruhi kweli?

Mechi ya USGN ilikua ngumu kuliko ya Rs barkane.

Fine kocha ameanza na 5-4-1 kwa kumuheshimu mwenyeji tayari ushapigwa bao 2 half time tena goli za mipira iliyokufa sio magoli ya possesses na baada ya half time tunatarajia kocha mweny akili arudi na mbinu mbadala kwa sababu ile alioanza nayo imefeli amerudi na mbinu ile ile ya kukaba timu haichezi huyu kocha hafai kuwepo simba tuna mwendelezo mbovu na tusimtetee hii timu haijulii.

Jana tumefelishwa na kocha ile sio simba tunayoijua sisi tangu lini tunaogopa kufungwa angeacha wachezaji wakacheze wakafunguke una watu k**a Pape na banda na bado unataka ku defense sasa umewaingiza wa nini? Mbona Al ahaly tulifunguka wakatupiga 5 na tukaongoza group sasa huyu kocha gani anaogopa kufungwa Ana defense

Baadaye anabadili mfumo mbele nyuma anapasahau 😭 anaua winger anacheza na forward tu akijua hana kiungo wa kuchezesha uku umejaza mabeki karibia 6 uwanjani dah kocha mpumbavu dro haitafutwi hivyo

HUYU KOCHA TUMEPIGWA HANA MBINU.

28/12/2021

nina mzigo mpya connection ingine ya fanta iko moto
😂😂😂

28/12/2021

naskia kuhusu mirinda na fanta kuna nani tena ? zawadi zinatolewa wapi? 😂😂😂

my bebe uyo 😂😂😂
28/12/2021

my bebe uyo 😂😂😂

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maya Business Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share