GO Cleaning & Facility Management : Commercial & Residential Cleaning, We clean Sofa, Couch, Mattress, Carpets etc , We offer Fumigation & Gardening Services

GO Dar es Salaam website is the ultimate insider guide to Tanzania’s top entertainment and lifestyle experiences. Focusing mainly on Dar es Salaam’s best restaurants, nightlife, films, art, latest DJ gigs, concerts, dining promotions, things to do and places to visit. GO Dar es Salaam compiles the best the city has to offer through its vast network of professional local and international writers,

film makers, photographers and artists across the city. Karibu and experience a new world outside your door.

17/05/2026

🛋️ Sofa yako hubeba kila kitu vinywaji, watoto, wanyama wa kufugwa, na wageni wa kila siku. Lakini mara ya mwisho kulipatia usafi wa kina ilikuwa lini? 👀

Usiruhusu uchafu, harufu au madoa kuharibu mwonekano wa nyumba yako.

Tupigie au WhatsApp 0765250217 — Cleanex tunakufikia popote ulipo, huduma ya siku hiyo hiyo.

14/05/2026

Unadhani nyumba yako ni safi na salama? Fikiria tena!

Kunguni wamejificha kwenye magodoro yako.
Mende wamelifanya jiko lako kuwa makazi yao.
Panya wanazurura usiku ukiwa umelala.

Huenda huwaoni… lakini wapo.

Usisubiri tatizo likue na kuhatarisha afya na usalama wa familia yako.

✅ Dawa salama na zenye ufanisi
✅ Huduma ya haraka na ya kitaalamu
✅ Tunatokomeza kunguni, mende, panya na wadudu wengine

📲 Piga simu au WhatsApp leo:
0765 250 217

Cleanex Fumigation Services
Usafi na ulinzi wa nyumba yako ni jukumu letu.

✨ Nyumba Yako Inastahili Kung’aa Kila Siku! ✨Umechoka na uchafu, vumbi na kazi za nyumbani zisizoisha?Tuachie sisi, wewe...
12/05/2026

✨ Nyumba Yako Inastahili Kung’aa Kila Siku! ✨

Umechoka na uchafu, vumbi na kazi za nyumbani zisizoisha?
Tuachie sisi, wewe pumzika! 🧼

Tunatoa huduma za usafi wa kitaalamu hapa Dar es Salaam:
✔️ Nyumba yako itakuwa safi, yenye harufu nzuri na inayong’aa
✔️ Tuna timu ya kuaminika na yenye uzoefu
✔️ Bei zetu ni nafuu huku ukipata huduma bora kabisa

👉 Tunahakikisha unarudi nyumbani kwenye mazingira safi na yenye utulivu kila siku.

📞 Wasiliana nasi sasa, nafasi zinajaa haraka!

Piga au WhatsApp: 0765 250 217

Usafi bila stress. Maisha rahisi zaidi. 💙

🛋️ SOFA YAKO INASTAHILI MNG'AO MPYA!Unataka Sofa yako lirudi kuwa safi, laini, na lenye mvuto k**a jipya?CLEANEX inakule...
03/05/2026

🛋️ SOFA YAKO INASTAHILI MNG'AO MPYA!
Unataka Sofa yako lirudi kuwa safi, laini, na lenye mvuto k**a jipya?
CLEANEX inakuletea huduma ya usafi wa kitaalamu wa sofa popote ulipo, hapohapo nyumbani kwako!

🚐 Tunakufata bila malipo ya ziada!
⚡ Tunatumia mashine za kisasa, shampoo + dawa salama kwa familia na watoto.

TUPIGIE 0765 250 217 OR WHATSAPP 0765 250 217

🎉 OFFER KWA WATEJA WA INSTAGRAM & WHATSAPP!

💺 Bei zetu za ofa ni hizi hapa:

👥 Sofa ya watu 8 – Tsh 120,000

👥 Sofa ya watu 7 – Tsh 105,000

👥 Sofa ya watu 6 – Tsh 90,000

👥 Sofa ya watu 5 – Tsh 75,000

👥 Sofa ya watu 4 – Tsh 60,000

👥 Sofa ya watu 3 – Tsh 45,000

👥 Sofa ya watu 2 – Tsh 35,000

👤 Sofa ya mtu 1 – Tsh 20,000

TUPIGIE 0765 250 217 OR WHATSAPP 0765 250 217

🧼 Huduma Yetu Inajumuisha: ✔️ Kuondoa vumbi, madoa, harufu mbaya
✔️ Mashine ya kisasa + dawa salama
✔️ Kazi safi, ya haraka na ya uhakika!

TUPIGIE 0765 250 217 OR WHATSAPP 0765 250 217

📢 Nafasi ni chache kwa leo na kesho!
📲 Tuma ujumbe sasa hivi WhatsApp ili kuweka booking yako:

1️⃣ Sofa ya watu wangapi
2️⃣ Mtaa unaopatikana
3️⃣ Muda unaokufaa (leo/kesho/week hii)

⏳ Ukiwasiliana mapema, unahudumiwa mapema!
👉 Simu au WhatsApp 0765250217

✅ Mamia ya wateja hutuhudumia kila wiki sasa ni zamu yako!
✨ Sofa yako itakurudishia tabasamu!

Address

Cleanex Head Office
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when GO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to GO:

Share