Coach Sereka

Coach Sereka Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Coach Sereka, Business consultant, Dar es Salaam.

Lead Generation Specialist

🔊 Helping Brands Build Scalable & Sustainable Customer Systems

🎯 Strategy | Paid Ads | Conversion Optimization

Contact 👇
+255747798667

Nilizungumza na mfanyabiashara aliyekata tamaa wiki iliyopita. Alikuwa amekosea mara moja. Mara moja tu.Anasema: 'Nilifa...
05/05/2026

Nilizungumza na mfanyabiashara aliyekata tamaa wiki iliyopita. Alikuwa amekosea mara moja. Mara moja tu.

Anasema: 'Nilifanya uwekezaji mbaya, nikapoteza Tsh. milioni hamsini. Nadhani biashara si fungu langu.'

Nikamwuliza swali moja: 'Je, mtoto anapoanguka akijifunza kutembea, unasema hatembea tena?' Alicheka.

Kisha akaelewa.

Kushindwa si mwisho wa safari — ni sehemu ya mfumo wa kujifunza.

Kila CEO mkubwa duniani ana hadithi ya kushindwa.

Mfabiashara asiye na hadithi ya kushindwa ni mfanyabiashara asiyejaribu kitu kipya.

Tatizo haliko kwenye kukosea.

Tatizo liko kwenye kukosea kitu kilekile mara kwa mara bila kujifunza.

Biashara ni mchezo wa kujifunza haraka kuliko mshindani wako.

- Coach Sereka

25/04/2026

Watakubembeleza!


14/04/2026


"Ukofanya Watakutafuta..."Ilikuwa siku ambayo ni "spesheli" kwanguNimeshajiandaa na kusikia Mungu atasema nini na mimi l...
03/01/2026

"Ukofanya Watakutafuta..."

Ilikuwa siku ambayo ni "spesheli" kwangu

Nimeshajiandaa na kusikia Mungu atasema nini na mimi leo ibadani?

Wakati wa mahubiri nikawa makini sana...
..maana tayari nilikuwa nimeweka maisha yangu tayari kwa mapambano

Sikumbuki mahubiri yote wala kichwa cha habari...

Ila nakumbuka neno nililoondoka nalo ile siku...

"UKIFANYA, WATAKUTAFUTA"
Ilikuwa mwaka 2014, Oct. 12th

Siku yangu ya kuzaliwa!

Na bahati nzuri iliangukia jumapili...

Na tayari nishaona umasikini wa nyumbani kwetu...

Nikaamua kuwa lazima nipambane nitoke hapa

Nilipofika kanisani!

Nikawa makini kusikiliza "MAHUBIRI"

Angalau nidake moja la kutembea nalo katika UMRI mpya...

Na Nikaondoka na neno toka kwa mchungaji wangu "Ukifanya, Watakutafuta..."

Nilihakikisha kujituma na kupata maarifa CHUNGU NZIMA...

Ili kutoka na kufikia malengo yangu...

Kiuchumi n.k

Sijawahi kusahau hiyo kanuni hadi leo...
Labda nikuulize!

Unafanya nini ambacho kitawafanya watu wakutafute 2026?

Ili wakupe pesa zao...!

Unauza huduma k**a mimi?

Unauza bidhaa k**a Lena?

Unatoa usimamizi... n.k???

"Ukifanya, Watakutafuta"

Anza Leo!

Boresha Leo!

Rusha Matangazo!

Fanya kila kinachowezekana Usogee!

2026 Inawezekana!

Ungependa Kupata Usimamizi na Kukusaidia Kutimiza Malengo yako ya 2026?

Tuma Neno "COACHING" Kwenda Namba 0747-798-667 (WhatsApp)

2026:Panga Malengo ya Mwaka.Gawanya kwa Miezi.Kisha: WEKA KWA WIKIKisha: Weka kwa Siku...Kwa Siku Yapange kwa MASAA.Weka...
19/12/2025

2026:

Panga Malengo ya Mwaka.

Gawanya kwa Miezi.

Kisha: WEKA KWA WIKI

Kisha: Weka kwa Siku...


Kwa Siku Yapange kwa MASAA.

Weka Vipaumbele Nini Ufanye na Nini Usifanye!

Unatamani Kupanga Malengo Yako ya 2026 na Hufahamu Namna ya Kufanya?

Umepanga Malengo Hufahamu Namna ya Kuyagawanya Ili Kuyafikia Haraka?

"Wanafunzi Wetu Wengi Wamepata Matokeo kwa Kugawanya Malengo Hivyo"

Kwa 10,000 tu.

Utapata eBook ya Namna ya Kupanga na Kugawanya Malengo Yako ya 2026.

Pamoja na Live Session (1) Ya Nguvu.

+ Group la Pamoja la Usaidizi.

Watu Mwisho ni 10 Tu.

Darasa Linaanza Kesho Jumamosi, Jioni.

Tuma Ada Yako kwa 0747798667 / M Pesa / Elia Simon Sereka

*"Unafahamu Mwezi Huu Mwanafunzi Wetu 1, Atanunua Gari Yake Kwa MFUMO Huu Tuliomwelekeza?"*

Comment "Nafasi" Kuwa Kati ya Hao Watu 10.

Mwaka Huu 2025,Kwagu Ulikuwa na Hekaheka Nyingi Sana...Lakini Nilihakikisha "Naenda Bookshop Kununua Kitabu na Nasoma""1...
12/12/2025

Mwaka Huu 2025,

Kwagu Ulikuwa na Hekaheka Nyingi Sana...

Lakini Nilihakikisha "Naenda Bookshop Kununua Kitabu na Nasoma"

"19 Hardcopy + 9 Soft Copy + 7 Audio Book"

Niambie na Wewe Rafiki....


#$ixFigurePD

Ujuzi Muhimu wa Kujifunza Unapoanza Biashara Mtandaoni...1. Kurusha Matangazo ya Kulipia (Sponsored Ads)2. Kuuza Kupitia...
10/12/2025

Ujuzi Muhimu wa Kujifunza Unapoanza Biashara Mtandaoni...

1. Kurusha Matangazo ya Kulipia (Sponsored Ads)

2. Kuuza Kupitia Maandishi (Copywriting)

3. Kufunga Mauzo Kupitia Kuzungumza (Closing)

4. Kuuza Kupitia Story (Storyselling)

5. Kuandaa na Kutoa Ofa (Offer Creation)

Hizi ni Baadhi ya "Juzi Mbalimbali" Unazotakiwa Kuzifahamu...

Unaweza Kuajiri Mtu Katika Eneo Husika... LAKINI Pia! Ni Muhimu Kufahamu Angalau Sehemu Ndogo Ndogo...

Miaka 18 iliyopita nilimuuliza rafiki yangu Totopa "Kwanini Siku Hizi Huji Nyumbani Kwetu K**a Zamani"Jamaa alinijibu kw...
05/12/2025

Miaka 18 iliyopita nilimuuliza rafiki yangu Totopa

"Kwanini Siku Hizi Huji Nyumbani Kwetu K**a Zamani"

Jamaa alinijibu kwa dharau sana "Kwenu hamna maji ya baridi"

Okay!

Nikaelewa "akija nyumbani tunacheza, tukambizana na anachoka - akihitaji maji ya kunywa, nampatia ya kisimani kwa mzee Bhocho"

Nikamuuliza tena "unaonaje - tuwe tunaenda kucheza kwenu"

Akanijibu "mama alishasema - hamnawi miguu mwingiapo sebuleni"

Nikausoma mchezo, nikagundua jambo...

Maza wake alishampiga marufuku kuja kwetu, anaogopa kusema...

Pili, sisi tukienda kwao tunachafua makochi na kuacha bila mpangilio...

Nikajisemea

"Ili nitunze urafiki na TOTOPA"
..Inabidi nihakikishe nakuwa msafi muda wote na nimuombe mama anunue friji tupate maji ya baridi...

La kwanza lilifanikiwa, la pili sikuweza kulitia machoni...

Kwao TOTOPA nilianza kwenda tena,

Ila yeye hakurudi tena kwetu!

Na ilikuwa fresh, niliweza kusolve nililoweza!

La friji sikuwa na uwezo nalo zaidi ya kumuomba mama anunue ilihali nyumbani hakukuwa umeme nyumbani...
Ukiona jambo unaliweza "LIVAE"

Kuwa msafi! tia timu tena kwao TOTOPA "Utaangalia wapi TV wewe?"

Ambalo lipo juu ya uwezo wako!

Muombe Mungu atakupa kwa namna nyingine! Ila usiache kuomba na kulikumbuka "KATIKA AKILI YAKO"
Mwaka huu tulikutana tena na TOTOPA, jamaa aliniambia ukweli! "Sababu ya Yale Yote"

"Na msamaha akaniomba - Japo sikuona kosa lake"

Mwisho akaniambia "Hata kazi yako sasa Inahitaji Umeme - Hongera sana"

Tukabadilisha namba! Urafiki haukufa!

Full Doc.Learning & Investing!
22/11/2025

Full Doc.

Learning & Investing!

Big shout out to my newest top fans! 💎 Joseph Nzunda, Aida RobertDrop a comment to welcome them to our community,  fans
18/10/2025

Big shout out to my newest top fans! 💎 Joseph Nzunda, Aida Robert

Drop a comment to welcome them to our community, fans

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255747798667

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Coach Sereka posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Coach Sereka:

Share