Mtunzi wa hadithi na simulizi

Mtunzi wa hadithi na simulizi HADITHI ZOTE TAMU ZIPO HAPA. Mwandishi yeyote ruksa kuposti simulizi yake

15/05/2024
Lomalisa
03/12/2023

Lomalisa

Discount 10%Location: machinga complex
16/09/2022

Discount 10%
Location: machinga complex

19/02/2022

Arts in ❤️✍️🎶🎼🎧🎬💫🎤,composer,story writer, actor, rapper,singer------_----_

Karibu tukuhudumie upate punguzo la 10%  location:machinga complex
17/11/2021

Karibu tukuhudumie upate punguzo la 10% location:machinga complex

12/08/2021

Story:AFRROAMERICA
Mtunzi:Fahamuelson Tz
Episode:1
Simulizi yetu inaanza ikituonesha kijana mmoja aitwaye Martin akiwa na wazazi wake wakimsindikiza kuelekea air port ili aweze kusafiri kuelekea marekani kwa ajili ya masomo yake, kiuhalisia alipata scholarship ya kwenda kusoma nchini humo,wakiwa bado kwenye safari kuelekea uwanja wa ndege mama yake Martin alimwambia mwanaye “mwanangu kuna jambo la muhimu nnalotaka kukuambia, naelewa ya kwamba kwa sasa umepiga hatua kubwa sana kwenye maisha yako na hadi kupata nafasi hii hadimu sina budi kufurahia mafanikio yako mwanangu hivyo basi nakusihi ukifika huko usije ukasahau ulipotoka kwakuwa vijana wengi sana hubadilika na kusahau nyuma yao mara baada ya kufika matawi ya juu, nina mengi sana ila hili ni la msingi sana zingatia" mama alimsisitizia mwanaye jambo hilo na Martin alimuahidi mana yake kutekeleza swala hilo, baba naye hakuwa nyuma alimwaambia"Martin mana yako yupo sahihi kabisa ila mimi k**a kila siku ninavyokuambia heshima ni kitu chenye thamani katika maisha heshimu kila mtu bila kujali rika, jinsia wala hadhi please mwanangu do as i say alafu utaona matunda yake" Martin alimsikiliza pia baba yake na kuwaahidi wazazi waje kwamba hatawaangusha stori ziliendea mpaka walipofika uwanjani waliagana kwa mara ya mwisho kwa furaha huku mama yake akilengwalengwa na machozi kabla hajapanda ndege mama yake alimwambia , "Martin usisahau tuliyokuambia" Martin alisema sawa mama usijali kuhusu hilo, mfanyakazi wa kina martin alimkumbatia na kumnong'oneza, "Mdogo wangu kumbuka heshima ikizidi huleta dharau", Martin kwa mda huo hakujua lile neno liba uzito gani aliwapungia mkono na kupanda ndege na mda mchache kijana Martin alikwea p**a kuelekea pande za marekani, , , .....
Je Martin atafanikiwa kufika marekani?
Vipi kuhusu maisha yake akiwa katila nchi ya kigeni asipojulikana, , , usikose kufuatilia sehem inayofuata, na pia usisahau ku like, comment na kushare pia waalike marafiki zako wa like page yetu wa hadithi na simulizi

30/07/2021

Hi wadau leo kuna simuliz mpya Best Friend kaa mkao wa kula

11/06/2021

Mwandishi wa kujitolea
Baada ya kuridhika na utendaji wa kazi tutaingia mkataba

28/05/2021

Vipi wadau mpo tufanye yetu
Like:70
Nadondosha simulizi mpya

Jioni tunaludi tena  na sehemu  03 ya simulizi ya  KISASI hvy k**a mdau naomba sapoti yako ya kulike story ili nipate ng...
05/10/2019

Jioni tunaludi tena na sehemu 03 ya simulizi ya KISASI hvy k**a mdau naomba sapoti yako ya kulike story ili nipate nguvu ya kuposti kwa haraka like ni muhimu sana
By %%STORY MACHINE%%

Story:KISASIMtunzi:Young Maeda tzSehemu:02     Siku zilipita hatimaye siku ya frank kuondoka iliwadia Frank aliamka na k...
07/09/2019

Story:KISASI
Mtunzi:Young Maeda tz
Sehemu:02
Siku zilipita hatimaye siku ya frank kuondoka iliwadia Frank aliamka na kuanza kupiga tizi kwa ajili ya kujiweka sawa alipomaliza alielekea bafuni kwa ajili ya kuoga alipomaliza kuoga alielekea mezani kupata kifungua kinywa huko aliikuta familia yote yaan mama yake, baba yake, mdogo wake aitwae john na dada wa kazi aitwae maria John alisema"broo naona leo ndo unaondoka vipi kuhusu ule mpango wetu"
Frank akasema"nikiludi nitakufanyia kweli cha kufanya ww ni upambane na kusoma"
John akasema"hilo lazima ila usisahau kuniletea droin si unajua ninavyopenda kucheza na kompyuta"
Frank akasema"haina shida lazim nikuletee"
Mama yao aitwae judith akasema"naona mnapeana maagizo mpaka mm sipati nafasi ya kuagiza"
Familia nzima ilifurahi kwa kicheko
Frank akasema "nikuletee nini mama yangu kipenzi"
Mama yao akasema"simu yenye lain sita" kwa kauli ile familia nzima walicheka kwani mama huyo alikuwa ni mtu wa utani
Baada ya frank kumaliza kunywa chai alianza safari ya kuelekea airport njian baba yake alimwambia "unaenda huko kwa ajili ya mafunzo hivyo zingatia mafunzo"
Frank akasema"kwa hilo lazm nifanye kweli "
General akasema "unaikumbuka ile frash niliyokukabidhi kipindi kile"
Frank akasema"naikumbuka lakin bd sijaifungua nijue ndani kuna nini"
General akasema"ukiludi inakubidi uifanyie kazi"
Frank akasema"haina shida"
Walifika uwanja wa kimataifa w a Mwl J.K.Nyerere Frank aliagana na baba yake kisha akaelekea mapokezi kwa ajili ya taratibu zingine
Mida ya saa 10:30 ndege shilika la Fly Emirates ilianza safari ya kuelekea South Africa Frank alikuwa akiwaza juu ya safari yake.
Upande wa General baada ya kutoka airport aliludi nyumbani baad ya kufika nyumbani alikuta pako kmy sana aliingia sebleni palikuwa kmy pia alipata wasiwasi kdg alielekea chumbani gafla aliwekewa mtutu wa bunduki na kuambiwa akae chini general alitii amri.
General ndo huyo wamemteka Vp kuhusu frank.
MCHAWI LIKE

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mtunzi wa hadithi na simulizi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mtunzi wa hadithi na simulizi:

Share