19/06/2025
Tunawasaidia wafanyabiashara na wajasiriamali kuendesha, kusimamia na kufatilia biashara zao kwa kutumia mfumo rahisi wa kidigitali wa emasuite(POS).
Utaweza Kutunza kumbukumbu na kupata taarifa zote za mwenendo wa biashara yako ikiwemo Manunuzi, Mauzo, Mapato, stock ya mzigo, Matumizi na Faida kwa siku, wiki, Mwezi na Mwaka.
Mfumo unafanya kazi online kwenye Computer, Tablet, Ipad au Simu ya mkononi Kwa kutumia mfumo huu unaweza kufanya mauzo, manunuzi na kurekodi matumizi yako… unaweza kusimamia na kufuatilia biashara yako hata k**a haupo karibu nayo yaan hata ka umesafiri kwani mfumo huu unapatika online na ni web based System na mobile based
Faida za kutumia mfumo wa EMASUITE POS,
• Unaweza kutumia account moja na kua na matawi mengine.
• Unaweza kua na makundi tofauti ya wafanyakazi kwa madaraja tofauti.
• Unakua na Duka mtandaoni
• Utaweza kupata alert ya bidhaa zinazokaribia kuisha NA expire
Mfumo huu utakuwezesha
1. Kurekodi mauzo yako.
2. Kurekodi manunuzi yako.
3. Kutengeneza Invoice.
4. Kurekodi matumizi yako.
5. Kusajiri Bidhaa zako.
6. Kutengeneza Barcode.
7. Kutengeneza Quotation.
8. Kukupa ripoti zote za kibiashara, Faida na hasara.
9. Kupata ripoti za Stock na thamani yake.
Mfumo huu unamfaa mtu yoyote awe mmiliki wa kampuni au kwa wafanyabiashara wanaojihusisha na biashara mbali k**a
• Maduka ya Dawa.
• Maduka ya Jumla.
• Maduka ya Rejareja.
• Maduka ya vifaa nya ujenzi.
• Supermarket.
• Maduka ya Nguo.
• Maduka/Workshop za Kurepair.
Ni rahisi kutumia mfumo huu, naweza kutumia computer, iPad, tablet au simu yako ya mkononi Nenda na wakati, fuatilia biashara yako muda wowote na sehemu yoyote kwa kutumia mfumo wa EMASUITE.
K**a una swali zaidi wasiliana nasi kwa simu au WhatsApp: 0618339260