PAMBAPOINTERZtz

PAMBAPOINTERZtz ▪️VAA, NG'AA, PENDEZA ALLDAY💫
🌍👠👟👞🩴🥿👗🧥🧦👙
⛳KARIAKOO
UNDER ⭕BⓂ️
Online +255787106456
Dsm.☑️

Tunapenda kusema "asante Mungu kwa mwaka mwengine, asante kwa kutupa maarifa (good energy) na afya njema".Sisi k**a Kamp...
01/08/2024

Tunapenda kusema "asante Mungu kwa mwaka mwengine, asante kwa kutupa maarifa (good energy) na afya njema".

Sisi k**a Kampuni ya Manzabay tunayofuraha kuhadhimisha miaka sita ya ufanisi na utendaji Bora wa Uhusiano/Ukaribu wa kazi / biashara baina yetu sisi (Manzabay Kampuni) na wewe Mteja wetu wa thamani.

Tunayo furaha kubwa na hatunabudi kusema "ASANTE" kwa kutuamini na kuendelea kua nasi kwenye nyakati zote (Entertainment, Shop's, Tourism and Safari Tour and Transport).

Tuna wa ahidi kuwapatia huduma zetu zenye ubora na kiwango cha hali ya juu na thabiti.

, (MANZABAYCOMPANYLIMITED)

SPECIAL THANKS,🙏
By C.e.o ManzaBay Company Ltd

Hey, 😊🎉MAMBO VIPI, HOPE MKO POA!ASANTE KWA KUENDELEA KUA NAMI,    😍NYIMBO YANGU MPYA NA YA KWANZA KUITAMBULISHA NIKIWA N...
21/07/2024

Hey, 😊🎉
MAMBO VIPI, HOPE MKO POA!
ASANTE KWA KUENDELEA KUA NAMI, 😍

NYIMBO YANGU MPYA NA YA KWANZA KUITAMBULISHA NIKIWA NIMEIPRODYUZI MWENYEWE. ( ). 💫

KAZI INAPATIKANA KWENYE BAADHI YA PLATFORMS KWA SASA🌍, NIMEKUWEKEA LINK CHINI ⤵️

NENDA UKAISIKILIZE NA KAⓂ️A'
UNAWAZO, USHAURI? ©️OMENT, LIKE NA JISIKIE FREE KUSHARE LINK 🖇️

https://youtu.be/NfQMEpeNMzQ?si=uEp7_ioyAubXbyU7

Asante,


❤️
🎵

Ebana mambo vipi? Pole na miangaiko ya kila siku. Jumamosi ya kesho nitaachia nyimbo yangu Mpya muda wa saa sita usiku. ...
19/07/2024

Ebana mambo vipi? Pole na miangaiko ya kila siku. Jumamosi ya kesho nitaachia nyimbo yangu Mpya muda wa saa sita usiku.
Ni nyimbo nilio prodyuzi mimi mwenye na ninyimbo yangu ya kwanza kuitambulisha nikiwa nimeiprodyuzi mwenyewe.
K**a una ushauri wowote, pendekezo lolote unaweza weka comment yako hapa nakujibu, au tembelea akaunti yangu ya YouTube natumia (twiscoofficial)

Asante.

11/02/2023
11/02/2023

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255787106456

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PAMBAPOINTERZtz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category