Bright Future Secrets

Bright Future Secrets Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Bright Future Secrets, Business service, Dar es Salaam.

Biashara ya Mtandao ndio biashara bora kwa Africa inayoweza kumtoa mtu kutoka katika hali ya chini zaidi na kumpeleka katika hatua za maisha anayotaka !!!Karibuni Members kwenye Bright Future Superior Group - Hapa utajifunza Kuhusu Biashara ya Mtandao (Ne

21/06/2019

BUSINESS MENTORSHIP".

Watu wengi wanapenda biashara lakini shida ipo kwenye biashara ipi wafanye,pili mtaji,tatu mafunzo,nne u-serious katika biashara yenyewe.
1.Una pesa ila huna wazo la biashara.
2.Huna pesa ila unataka wazo la bias
ara.
3.Umejaribu biashara lakini hujafanikiwa.
4.Unatamani biashara lakini huna mafunzo.
K**a upo katika moja ya makundi hayo ungana nasi mwezi May katika PROJECT YA "BUSINESS MENTORSHIP".
Utapata nafasi nzuri ya kuelimika na kupata mawazo ya kukua kibiashara.
TAHADHARI: Endapo unajijua kuwa huna uthubutu,nia na moyo wa biashara.Tambua kujiajiri ni kugumu zaidi kuliko kuajiriwa kwani hakuna bosi atakae kusimamia
Tuma neno FURSA kwenda whtsap 0752 228283

19/06/2019

Watu wengi wanapenda biashara lakini shida ipo kwenye biashara ipi wafanye,pili mtaji,tatu mafunzo,nne u-serious katika biashara yenyewe.
1.Una pesa ila huna wazo la biashara.
2.Huna pesa ila unataka wazo la biashara.
3.Umejaribu biashara lakini hujafanikiwa.
4.Unatamani biashara lakini huna mafunzo.
K**a upo katika moja ya makundi hayo ungana nasi mwezi May katika PROJECT YA "BUSINESS MENTORSHIP".
Utapata nafasi nzuri ya kuelimika na kupata mawazo ya kukua kibiashara.
TAHADHARI: Endapo unajijua kuwa huna uthubutu,nia na moyo wa biashara.Tambua kujiajiri ni kugumu zaidi kuliko kuajiriwa kwani hakuna bosi atakae kusimamia
Tuma neno FURSA kwenda whtsap 0752 228283

19/06/2019

🅰 AINA ZA WATU KWA KUZINGATIA FEDHA NA MUDA

1. Kundi la kwanza: LINA HELA LAKINI HALINA MUDA

Hili ni kundi la watu waliobize sana kiasi cha kwamba wanapata hela lakini hawana muda hata wa kufurahia wanachokifanya. Inaeza kuwa ni ajira au kazi.

2. Kundi la 2: LINA MUDA LAKINI HALINA HELA: hili ni kundi ambalo wenyewe muda wanao lakini hela hawana, kundi hili ni Kubwa kwenye jamii na wengi ndio wanashinda sana mtandaoni k**a fb, Instagram bila kuwa na kazi yoyote zaidi ya kulike picha za kina diamond.

3. Kundi la 3: HALINA MUDA NA HALINA FEDHA

Hawa ni watu wako bize toka Asubuhi hadi jioni lakini hawaongizi chochote yani ni taabu tu. Ndio wale wanaamka saa 10 alfajiri na kurudi nyumbani SAA Sita usiku hata hela ya kula tu ni shida na ni wabishi sana ukiwaeleza njia mbadala za kuingiza kipato. Utawasikia wakisema niko bize sana. Bize for nothing..... very sad

HAYA SIO MAJUNGU NI UKWELI ULIOPO KWENYE JAMII YETU

Kundi la NNE : Hili LINA MUDA na LINA Fedha.

Hawa ni watu wenyewe wanamfumo ambao walihangaika sana kutengeneza ambao sasa unaweza ingiza fedha hata k**a wenyewe hawapo. Wanatumia nguvu za watu wengine,akili za watu wengine,hela za watu wengine kutengeneza fedha.

Kundi hili ndio wale unakuta anaenda kutalii mbuga za wanyama au mlima Kilimanjaro. Yani katoka ulaya eti kuja kumwangalia simba au tembo.🤑

Ni kundi ambalo hutoa sana misaada kwa wenye uhitaji kwa sababu hela wanazo hadi hawajui wapi watumie, ndio hao utakuta wanaenda mwezini kutalii.

Yote Hii ni kwa sababu walishatengeneza mfumo wa kuwalipa maishani. Wengi kwenye hili kundi ndio wafanya Biashara wakubwa, matajiri. Kwa mfano Bill Gates walifanya utafiti wakasema k**a akiacha kuingiza hela Leo na asifanye kazi yoyote hela alizonazo anaweza kumaliza baada ya miaka 100+ bila kupunguza status yake ya kuishi kwa sasa.

KARIBU UTENGENEZE MFUMO WAKO

Next topic is loading.....

DISTRIBUTOR WANAHITAJIKAWatu wengi wanapenda biashara lakini shida ipo kwenye biashara ipi wafanye,pili mtaji,tatu mafun...
28/04/2019

DISTRIBUTOR WANAHITAJIKA

Watu wengi wanapenda biashara lakini shida ipo kwenye biashara ipi wafanye,pili mtaji,tatu mafunzo,nne u-serious katika biashara yenyewe.

1.Una pesa ila huna wazo la biashara.
2.Huna pesa ila unataka wazo la biashara.
3.Umejaribu biashara lakini hujafanikiwa.
4.Unatamani biashara lakini huna mafunzo.

K**a upo katika moja ya makundi hayo ungana nasi mwezi May katika PROJECT YA "BUSINESS MENTORSHIP".
Utapata nafasi nzuri ya kuelimika na kupata mawazo ya kukua kibiashara.

TAHADHARI: Endapo unajijua kuwa huna uthubutu,nia na moyo wa biashara.Tambua kujiajiri ni kugumu zaidi kuliko kuajiriwa kwani hakuna bosi atakae kusimamia

Tuma neno FURSA kwenda whtsap 0752 228283

28/04/2019

Watu wengi wanapenda biashara lakini shida ipo kwenye biashara ipi wafanye,pili mtaji,tatu mafunzo,nne u-serious katika biashara yenyewe.

1.Una pesa ila huna wazo la biashara.
2.Huna pesa ila unataka wazo la biashara.
3.Umejaribu biashara lakini hujafanikiwa.
4.Unatamani biashara lakini huna mafunzo.

K**a upo katika moja ya makundi hayo ungana nasi mwezi May katika PROJECT YA "BUSINESS MENTORSHIP".
Utapata nafasi nzuri ya kuelimika na kupata mawazo ya kukua kibiashara.

TAHADHARI: Endapo unajijua kuwa huna uthubutu,nia na moyo wa biashara.Tambua kujiajiri ni kugumu zaidi kuliko kuajiriwa kwani hakuna bosi atakae kusimamia

Tuma neno FURSA kwenda whtsap 0752 228283

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bright Future Secrets posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share