21/06/2019
BUSINESS MENTORSHIP".
Watu wengi wanapenda biashara lakini shida ipo kwenye biashara ipi wafanye,pili mtaji,tatu mafunzo,nne u-serious katika biashara yenyewe.
1.Una pesa ila huna wazo la biashara.
2.Huna pesa ila unataka wazo la bias
ara.
3.Umejaribu biashara lakini hujafanikiwa.
4.Unatamani biashara lakini huna mafunzo.
K**a upo katika moja ya makundi hayo ungana nasi mwezi May katika PROJECT YA "BUSINESS MENTORSHIP".
Utapata nafasi nzuri ya kuelimika na kupata mawazo ya kukua kibiashara.
TAHADHARI: Endapo unajijua kuwa huna uthubutu,nia na moyo wa biashara.Tambua kujiajiri ni kugumu zaidi kuliko kuajiriwa kwani hakuna bosi atakae kusimamia
Tuma neno FURSA kwenda whtsap 0752 228283