27/02/2019
Hello guys!,
Najua wengi mmekuwa mkisubiri kusikia kutoka kwangu kwa muda mrefu. Nimekuwa kimya nikiwa nawaza ni kitu gani kitafaa kwenu kwa maendeleo ya kila siku hasa kiuchumi.
Hivyo basi kabla sijasema nini nimewaandalia je wewe binafsi nini ungependa kujifunzajuu ya maswala ya biashara hata ufikie uhuru wa kiuchumi?
Baada ya maoni yeni nitaandika nimewaandalia nini. Ila katika nyakati hizi watanzania watamiliki uchumi.