Healthy HERBS

Healthy HERBS HEALTHY Herbs program

08/04/2024

Haya vibonge wangu tumewafikia na kusikia kilio chenu,tumewaletea chupi nzur sana wahini kwa sababu zipo chache kucheki no 0685818339, kwa jumla na rejareja
Tunatuma mikoani na nchi jiran kwa uaminifu mkubwa sana
What's app 0685818339
Ukiwa na shaka tupe size yako ya paja na kiuno tukupe size itayokufit

Chupi hii ina size xl mpka 8xl
Rangi 6 k**a uonavoziona kwa video

Nyie k**a ulikuwa unakumbuka kuingia group yetu ya WhatsApp kwa link ile nyingine, fuata link hii upate kuwa Kwenye grou...
16/03/2024

Nyie k**a ulikuwa unakumbuka kuingia group yetu ya WhatsApp kwa link ile nyingine, fuata link hii upate kuwa Kwenye group yetu mpya

Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/ELyDB5T1UbA6jElmNKnEKU










NK

New, New, New, NewJitibu magonjwa yafuatayo kwa unga miridhawa wa Mitishamba halisi supper general, hii  ni dawa maalmu ...
12/01/2024

New, New, New, New
Jitibu magonjwa yafuatayo kwa unga miridhawa wa Mitishamba halisi supper general, hii ni dawa maalmu iliyocombine mitishamba mbalimbali yenye uwezo wa kupambana na magonjwa yafuatayo.

1. Kisukari
2. Shinikizo la juu la damu
3. Hutibu matatizo au maumivu ya mishipa
4. Hutuliza mapigo ya juu ya moyo (stroke),
5. Hutibu Kansa
6. Pumu
7. Hutuliza wasiwasi
8. Kikohozi
9. Maumivu ya kichwa
10. Inazuia na kushusha lehemu (cholesterol) hata ile ya juu zaidi (hypocholesteremia)
11. Inapunguza mafuta tumboni
12. Inaweka sawa homoni
13. Inatibu maumivu wakati wa hedhi (dysmenorrhea),
14. Inasafisha ini(hepatic detoxification)
15. Unasafisha mkojo na kibofu cha mkojo
16. Unarekebisha matatizo kwenye tezi
17. Unatibu kipindupindu na kuharisha
18. Kifua kikuu
19. Kichwa kizito
20. Uchovu
21. Mzio (aleji)
22. Vidonda vya tumbo
23. Maambukizi kwenye ngozi
24. Maumivu mbalimbali mwilini
25. Huondoa madoadoa meusi kwenye ngozi (blackheads),
26. Husafisha damu
27. Hutibu matatizo kwenye koo
28. Huondoa makohozi mazito kooni
29. Huondoa taka na msongamano kifuani
30. Hutibu kipindupindu
31. Huondoa mtoto wa jicho au uvimbe kwenye jicho
32. Hutibu maambukizi kwenye macho na kwenye masikio
33. Unatibu homa
34. Maumivu kwenye maungio
35. Huondoa chunusi
36. Hutibu matatizo karibu yote ya ngozi na kinga ya mwili
37. Matatizo kwenye mfumo wa upumuaji
38. Inatibu Kiseyeye (scurvy)
39. Huongeza uwingi wa mbegu za kiume na nguvu kwa ujumla
40. Unatibu minyoo
41. Huongeza maziwa kwa wingi kwa mama anayenyonyesha
42. Huondoa uvimbe kwenye utumbo mpana (colitis)
43. Unatibu gauti (dropsy),
44. Unatibu kuhara damu (dysentery)
45. Unatibu kisonono ( gonorrhoea)
46. Unatibu tatizo la kukosa usingizi,
47. Unatibu homa ya manjano (jaundice),
48. Unatibu malaria
49. Unatibu U.T.I na matatizo mengine kwenye mfumo wa mkojo
50. Unasaidia pia kujenga na kuimarisha misuli
51. Unatibu magonjwa ya mifupa.

Unga huu pia unasafisha mwili wako wote, unasafisha ini, figo, moyo, macho, unaimarisha meno, ngozi na nywele. Wakati unatumia unakufanya ujisikie vizuri, ujisikie mpya (fresh) na mwenye nguvu. Watu wengi wanaotumia huwa ni wenye afya nzuri hata kwa muonekano tu hata wanapokuwa na umri mkubwa zaidi ya miaka 90.

Bei zet ni nafuu sana kwa kiasi cha elfu 30 tu unapata popote ulipo
Mitishamba halisi kiboko ya kitambi na manyama uzembe pia ipo kwa Tsh 35000

Mitishamba halisi matatizo ya uzazi na magonywa ya siri pia inapatikana kwa Tsh 30000

Wasiliana nasi kupitia 0685818339

Unaweza kuipata mkoa wowote ulipo kwa gharama ya usafir 5000 tu

Tutembelee katika page yetu ambayo ni Healthy HERBS

Uko Kwenye ndoa na unahangaika kupata ujauzito bila mafanikio kutana na hii pack kiboko ya matatizo yote ya uzazi na cha...
25/10/2023

Uko Kwenye ndoa na unahangaika kupata ujauzito bila mafanikio kutana na hii pack kiboko ya matatizo yote ya uzazi na changamoto ya maambukizi KATIKA mfumo mzima wa uzazi.

Ni kwa gharama nafuu sana ya tsh 45000 tu popote ulipo

Wasiliana nasi kwa simu no 0685818339 muda sa 3 asubuhi mpka 12 jion j3 mpaka Jmosi

47pcs tsh 100000 tupigie tukuletee ulipo au tukutumie mkoa ulipo 0685818339
19/10/2023

47pcs tsh 100000 tupigie tukuletee ulipo au tukutumie mkoa ulipo 0685818339

17/10/2023

Katika kitabu cha Luka 1 tunajifunza habari za Zekaria na mke wake Elizabeti , neno la Mungu linasema wote walikuwa wenye haki mbele za Mungu na walifata maagizo yote bila lawama …

Walikuwa ni watumishi wa Mungu tena wasio na lawama na walikuwa na haki lakini katika msitari wa 7 neno linasema hawakuwa na mtoto ..

Imagine ni wenye haki mbele za Mungu na huyu Mungu anayetoa watoto alikuwa hajawapa watoto wakati ambao wanahitaji..

Inawezekana kabisa kuna vitu vingi umemuomba Mungu na una haki ya kuvipata lakini Mungu hajakupa wakati ambao wewe unahitaji ..

Nataka ujifunze kwa Zekaria na mke wake , Mungu hakuwapa wakati ambao wao walikuwa wanaona ni muda sahihi lakini aliwapa Yohana kwa wakati ambao alikuwa amekusudia ..

Inawezekana waliona Mungu amewachelewesha lakini wakati ulipofika aliwapa mtoto Yohana ..

Huyu mtoto aliyesubiriwa miaka mingi ndiye aliyetangulia kutengeneza njia Ya Yesu ..

Elizabeti baada ya kujifunza majirani na ndugu zake wakafurahi pamoja nae na habari za kuzaliwa kwa Yohana zikaenea Milima ya Uyahudi na watu wote wakajua huyu ni mtoto wa tofauti ..

Nataka kusema na wewe ndiyo kuna vitu unatamani vifanyike lakini Mungu amenyamanza , usiogope na wala usikate tamaa maana wakati wa Mungu ukifika wote watakaosikia aliyokutendea Mungu watafurahi pamoja na wewe ..

Usiumizwe na kuona wengine wamewahi , endelea kuvumilia kwa Mungu maana muujiza wako uko tofauti na muujiza wa watu wengine ..

Yohana alikuwa tofauti na watoto wengine , habari zake zilivuma kuliko habari za watoto wengine waliozaliwa mapema ..

Ukiona yuko kimya usimwache Mungu , wewe endelea kumtumikia k**a wazazi wa Yohana maana muujiza wako unaandaliwa kwa utofauti ili akikupa kila atakayesikia masikio yake yakawashe ..

Omba usipitwe na majira ya Mungu ..

Mchezo wa vyombo sufuria hii ni non stick made from German Nzito na ni nzuri mnoBei ni 125000  mchezo aje Kwenye no yang...
07/10/2023

Mchezo wa vyombo sufuria hii ni non stick made from German
Nzito na ni nzuri mno
Bei ni 125000 mchezo aje Kwenye no yangu ya WhatsApp #0685818339

Mikoan kote unatumiwa na derivery ipo ukihitaj
Afu unajua siku hizi usafir ni 24hrs mzgo unakufikia haraka iwezekanavo
Uaminifu ni asilimia Mia toka enz na enz
Angalia picha chiniπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ₯°

03/12/2022

Kuna muda unafika,unajiona kukata tamaa,unaona huwezi tena,unajivua thamani, mbele unaona giza,hujui nini ufanye,muda unakuendea kombo kiasi unaona ndo basi tena,unaowategemea ndo wameshakuangusha,unaowapenda hawapo tena unabaki kujilaani na kujiona wewe si mtu mwenye bahat bali mikosi,,,,,,

Nataka nikuambie kitu moja muhimu, katika nyakati hizi ndipo Mungu anakuhitaji sana,ndipo roho yako inataman sana kuwa karibu na Mungu na ndipo Mungu anatamani kujionyesha KATIKA maisha yako.

K**a ilivo kwa mtu anaekusaidia alivo na wivu anapoona juhudi zake zinaenda bure pale anapotoa msaada,na pengine huthamin kabsa mchango wake kwa sababu unazo options mbalimbali na huwezi kuona mchango wake,akaamua Kukaa pembeni na kuacha kujishughulisha na mambo yako ndivo ilivo kwa Mungu pia,, atasubir muda ambao umekata tamaa na umejaribu kila njia ukashindwa,ndipo atapochukua nafasi yake.

Uzuri wa Mungu wetu si k**a walivo binadamu akuwekei kinyongo,yeye ukimrudia na kuomba toba hupokea na kukumbatia, maana yeye ndiye baba wa huruma mwenye kugeuza ghadhabu na kuwa Rehema, mwenye kuyafanya yote yanayoshindikana kwetu wanadam.

Nakukumbusha tu bado hujachelewa mtafute Mungu ndio kimbilio,yupo na wala hajakusahau.

TANGAZO KUANZIA TAREHE 15 NITAKUWA NA OFFA MAALM KWA WATU WENYE MATATIZO YA UZAZI KATIKA GROUP KWA NJIA YA ONLINE KWA KI...
14/11/2022

TANGAZO KUANZIA TAREHE 15 NITAKUWA NA OFFA MAALM KWA WATU WENYE MATATIZO YA UZAZI KATIKA GROUP KWA NJIA YA ONLINE KWA KIASI CHA TSH 2000(ELFU MBOLI TU) KUPATA PROGRAM MAALM KUONDOA CHANGAMOTO ZOTE ZINAAZOZUIA WEWE KUSHIKA UJAUZITO IKIWA UMETAFUTA UJAUZITO KWA MUDA WA MIEZI 6 KUENDELEA BILA MAFANIKIO

IKUMBUKWE PROGRAM HII ILIKUWA NI ELFU 25,KUTOKANA NA MAOMBI YA WENGI NIMEAMUA KUTOA OFFA HII KWA SIKU 10 TU

UNACHOTAKIWA KUKIFANYA NI KUFANYA MALIPO KWA SIMU KUPITIA NO 60826492(JINA ADELINA) NA KUTUMA UJUMBE WAKO WA MALIPO AU JINA ULILOTUMIA KUFANYA MALIPO KWENDA NO 0685818339 WATSAP ILI KUJIUNGA NA PROGRAM NZIMA.

PROGRAM HII ITADUMU MPKA UTAKAPOFANIKISHA HAJA YAKO

NB:HAKIKISHA UNATUMIA SIMU ILIYO NA UWEZO WA WEWE KUTUMIA WATSAP

Gauni nzuri sana ipo dukani material ni πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ #0685818339
07/09/2022

Gauni nzuri sana ipo dukani material ni πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
#0685818339

Unahitaji dawa kesho 13/6/22 tuma ujumbe WhatsApp 0685818339Bei ni 35000 kwa packDawa za mitishamba zinazotibu ChangoUTI...
12/06/2022

Unahitaji dawa kesho 13/6/22 tuma ujumbe WhatsApp 0685818339
Bei ni 35000 kwa pack
Dawa za mitishamba zinazotibu
Chango
UTI sugu
Fangasi sugu
PID
Kuyeyusha uvimbe
Kupevusha mayai
Na matatizo ya homoni

09/06/2022

Sema kesho upo dar sehemu gan nikuletee dawa ya uzazi,PID sugu fangasi sugu,UTI sugu,kusafisha kizazi,mirija,na kutibu vimbe,
Kuondoa sumu na kukomaza mayai kwa sh 35000 kwa package

0685818339

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Healthy HERBS posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Healthy HERBS:

Share