01/06/2026
KIROHO KUTAHIRIWA MAANA YAKE NI KUACHA MIUNGU MINGINE NA KUFANYA YA MUNGU (KUMFUATA YESU,KUOKOKA, NA KUBATIZWA)
⭕MWEZI JUNE 2026 UWE WA KUPOKEA KUTAHIRIWA KIROHO
😳Angalia NENO
Mwanzo 34
13 Wana wa Yakobo wakawajibu Shekemu na Hamori babaye, kwa hila, maana amemharibu Dina, umbu lao,
14 wakawaambia, Hatuwezi kufanya neno hili, tumpe umbu letu mtu asiyetahiriwa; ingekuwa aibu kwetu.
15 Lakini kwa sharti hii tu tutapatana nanyi; mkiwa k**a sisi, akitahiriwa kila mwanamume wenu,
16 ndipo tutawapa ninyi binti yetu, na sisi tutatwaa binti zenu tutakaa pamoja nanyi, nasi tutakuwa watu wamoja.
17 Lakini k**a hamtusikii na kutahiriwa, basi tutamtwaa umbu letu, nasi tutakwenda zetu.
🌞PIA ANGALIA AGIZO LA MUNGU TENA
Kutoka 12
43 Bwana akawaambia Musa na Haruni, Amri ya pasaka ni hii; mtu mgeni asimle;
44 lakini mtumishi wa mtu awaye yote aliyenunuliwa kwa fedha, ukiisha kumtahiri, ndipo hapo atamla pasaka.
45 Akaaye kwenu hali ya ugeni, na mtumishi aliyeajiriwa, wasimle pasaka.
46 Na aliwe ndani ya nyumba moja; usiichukue nje ya nyumba nyama yake yo yote; wala msivunje mfupa wake uwao wote.
47 Na wafanye jambo hili mkutano wa Israeli wote.
48 Na mgeni atakapoketi pamoja nawe, na kupenda kumfanyia Bwana pasaka, waume wake wote na watahiriwe, ndipo hapo akaribie na kufanya pasaka; naye atakuwa mfano mmoja na mtu aliyezaliwa katika nchi; lakini mtu ye yote asiyetahiriwa asimle.
49 Sheria ni hiyo moja kwa mtu aliyezaliwa kwenu, na kwa mgeni akaaye kati yenu ugenini.
🌎SWALI.
Je umechangamana, umeolewa, umeoa, unaishi na ALIYETAHILIWA?
🎄Tafakali uchukue hatua ya KIMIUNGU huku ukiomba neema ya Kristo YESU itawale na kuwaokia walio wengi,
🌍Je hawana mchanganyo mchanganyo unaosababisha mambo Yako kukwama?
🚗Je unamfuata MUNGU ama unamfuata Ibilisi? Ama je unamchanganyo unaoleta GIZA kwako?
🪜Tafakari ya Leo ili uondoke kwenye mkwamo.
💯⛽ MUNGU WETU UKUPE KIBARI POPOTE,na MACHO ya ROHONI UONE na Upone.