Buberwa John

Buberwa John A complete solution for any business.

25/05/2026

Nyie hadi raha yani.

Na wale waliotushoot October 29 2025 wanakamatwa lini?
08/05/2026

Na wale waliotushoot October 29 2025 wanakamatwa lini?

08/05/2026

UVCCM bhana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Na kweli yani hapo ashindwe yeye tuu kutubless tena πŸ˜‚πŸ˜‚
08/05/2026

Na kweli yani hapo ashindwe yeye tuu kutubless tena πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanamuziki wa Bongofleva, Aslay ameendelea kupata mapokezi mazuri katika mfululizo wa show zake zinazoendelea huko Kenya.

Show hiyo ni sehemu ya ziara yake ya kimuziki (tour) ambayo ameipa jina la My Way.

Aslay alianza show zake Kenya hapo Mei Mosi na anatarajia kumaliza hapo Mei 9, kisha ataenda nchini nyingine.

Picha zaidi kwenye comments |

08/05/2026

Ushahidi wa kesi ile ya wale wakina atuhele huu hapa

08/05/2026

Ewaaa

Haya tena
08/05/2026

Haya tena

Shirika la Afya Duniani limesema kuwa sasa kuna visa 5 vilivyothibitishwa vya hantavirus.

Mnamo tarehe 2 Mei 2026, kundi la abiria waliokuwa na ugonjwa mkali wa mfumo wa upumuaji ndani ya meli ya kitalii liliripotiwa kwa Shirika la Afya Duniani (WHO). Meli hiyo ilikuwa imebeba abiria na wahudumu 147. Kufikia tarehe 4 Mei 2026, visa saba vimetambuliwa, vikiwemo visa viwili vilivyothibitishwa maabara vya hantavirus na visa vitano vinavyoshukiwa. Kati ya visa hivyo, watu watatu wamefariki dunia, mgonjwa mmoja yuko katika hali mahututi, na watu watatu wana dalili za kawaida.

Dalili za ugonjwa zilianza kati ya tarehe 6 na 28 Aprili 2026 na zilihusisha homa, matatizo ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula, maendeleo ya haraka ya nimonia, matatizo makali ya kupumua (ARDS), na mshtuko wa mwili. Uchunguzi zaidi bado unaendelea. Mlupuko huo unadhibitiwa kupitia mwitikio wa kimataifa ulioratibiwa, unaojumuisha uchunguzi wa kina, kutengwa na matibabu ya wagonjwa, uhamishaji wa wagonjwa kwa matibabu, pamoja na uchunguzi wa maabara.

Maambukizi ya hantavirus kwa binadamu hupatikana hasa kupitia kugusana na mkojo, kinyesi, au mate ya panya walioambukizwa. Ni ugonjwa nadra lakini hatari ambao unaweza kusababisha vifo. Ingawa ni nadra, maambukizi kutoka mtu kwenda mtu yameripotiwa katika milipuko ya awali ya virusi vya Andes (aina maalum ya hantavirus). WHO kwa sasa inatathmini hatari kwa idadi ya watu duniani kutokana na tukio hili kuwa ndogo, na itaendelea kufuatilia hali ya mlipuko huo pamoja na kutoa tathmini mpya za hatar

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
02/04/2026

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Leadership 🀝
02/04/2026

Leadership 🀝

Address

Ukonga Mombasa/Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Telephone

+255659977875

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Buberwa John posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Buberwa John:

Share