TMS The name Tai comes from the Kiswahili word for eagle. An eagle represents: speed, security and the ability to go anywhere.

TMS is a consultancy firm that specializes in providing Mobile money/banking consultancy and training solutions to Micro Financial Institutions (MFIS) their beneficiaries, Non Governmental Organizations (NGOs) and the private sectors. They are the top of the food chain, and Tai Mobile Solutions (TMS) believes that mobile money too will be the 'top of the food chain' and primary way for people and organisations to do financial transactions.

18/01/2022
24/12/2020
16/09/2020


• • • • • •
Mwanza, Tanzania

Tunapenda kutoa shukrani zetu za pekee kwa kwa kuweza kuunganisha wajasiliamali mbalimbali kutoka kanda ya ziwa na kanda ya juu ya kusini na kuweza kutupa nafasi ya kipekee ya kutoa mafunzo ya jinsi gani wajasiliamali hao wataweza kujiajili kwa mashine zetu za Imara Tech ili kuweza kujipatia kipato zaidi na kuokoa muda mwingi ambao wakulima utumia kwenye upigaji wa mazao yao kwa njia ya kienyeji. Wajasiliamali wamepata muda mzuri kwa kupata elimu kiundani na nimatumaini yangu mambo mazuri yatakuja baada ya semina hiyo.

22/07/2020

Taasisi ya wataalam wa masuala ya kuendeleza biashara Tanzania (TAPBDS CO. LTD) imepokea ruzuku kutoka kwa Alliance for a Green Revolution in Africa (AGRA) kwa kuongeza matumizi ya teknolojia za kupunguza hasara baada ya mavuno chini ya mradi unaoitwa “kuongeza kasi ya utumiaji wa teknolojia za ku...

12/06/2020

The world is on serious shock, some systems are in a paralyzed move, businesses were shaken and others shut down while most of the population in self-isolation and countries locked down. This is a result of the spread of Coronavirus disease abbreviated by COVID-19.

11/06/2020

The government and WFP have agreed to sustain trade ties through NFRA and CPB. This year WFP has agreed to purchase a total of 100,000MTs of maize from Tanzania and continue to work closely with the Ministry of Agriculture. TAPBDS as a market actor and especially for maize value chain, this is very good news and we extend our thanks to the government for the commendable work and efforts to uplift smallholders in maize and other value chains.
This was reported yesterday 10th June 2020 when the Deputy Minister for Agriculture Hon. Hussein Bashe had talks with the outgoing WFP Country Director Mr. Michael Dunford who will now settle in Nairobi as Regional Director for WFP.
of agriculture, Livestock and fisheries, Tanzania. Hussein Mohamed Bashe

05/06/2020

Good News: Access to Finance Support

👉Is your enterprise / cooperative operating in Tea, Coffee, Avocado or Spice value chain (Trading, Processing, Logistics, Packaging, Export, etc.)?

👉Are you facing challenges in accessing funding to scale up or meet you critical investment needs for your business to engage in regional or international trade (export)?

👉ITC through MARKUP has just launched a new window where selected candidates will get access to finance support!

If interested, you are invited to follow the link below for more details on the call for EOI and Application form.

https://form.jotform.com/201423461893353

13/05/2020

For the business community this is an important information and from now on you need to follow on its implementation.

https://www.bot.go.tz/Adverts/PressRelease/Press%20Release%20120520.pdf

08/05/2020

USIPOTEZE WATEJA WAKO KWASABABU YA Covid-19.

Virusi vya corona/COVID-19, vimetangazwa na Shirika la Afya Duniani kuwa ni janga kubwa lililoikumba dunia kwa sasa. Watafiti na wataalam mbalimbali wako katika hali ya sintofahamu na maswali mengi yasiyo na majibu sahihi huku wakiendelea na tafiti katika maabara zao kwa ajili ya uvumbuzi wa tiba ya kukabiliana na Covid-19. Janga hili limeleta athari nyingi katika nyanja mbalimbali zikiwemo shughuli za kijamii kusimama, watu kujitenga, ofisi za taasisi na mashirika mbalimbali kufungwa ili kuruhusu wafanyakazi wao wajikinge kwa kufanyia kazi nyumbani, mipaka ya viwanja vya ndege kufungwa n.k. Hali hii imesababisha biashara nyingi duniani kudorora na nyingine kufungwa. Kutokana na hali mbaya ya kibiashara katika wakati huu wa Covid-19, mfanyabiashara maarufu na mmiliki wa Alibaba Group Bw. Jack Ma akashauri kuwa kwa wafanyabaishara, mwaka huu 2020 uwe mwaka wa kupigania sana kubaki salama na hiyo ndiyo itakua faida kwako.
Wateja waliokua wanafika kununua katika biashara yako kwa sasa wanatoka nyumbani kwa tahadhari kubwa na hawatakiwi kutembea kwa uhuru waliozoea. Ni ubunifu pekee na kuzingatia kubadilika kuendana na mahitaji na hali ya wateja kutakakokuwezesha kuendelea na biashara yako katika kipindi hiki cha Covid-19.
TAPBDS tunapenda kushauri wateja wetu na hata wafanyabiashara wengine kuchukua hatua na kuweka mipango madhubuti kwa haraka dhidi ya janga hili. Mojawapo ya eneo muhimu linaloathiriwa moja kwa moja na Covid-19 ni kudhorota kwa mahusiano na au kupoteza wateja. Ili hilo lisitokee, tunashauri kufanyika yafuatayo;
1. Pitia upya mipango uliyoiweka ya biashara. Tunatambua kila biashara inakuwa na mikakati aidha ya mwaka au miezi inayoongoza jinsi ya utendaji kwa kila siku. Sasa ili kwenda sambamba na hali hii, pitia upya mipango na mikakati uliyokuwa umejiwekea na uifanyie mabadiliko. Mabadiliko yafanywe kwa kuzingatia hali na mahitaji ya wateja kwa kipindi hiki. Mfano wa mabadiliko unayoweza kufanya ni kuhusu mbinu za kuwafikia wateja wako. K**a biashara yako inawahudumia wateja kwa kufuata huduma/bidhaa ilipo, sasa unaweza fikiria kuwafikishia mahali walipo, hususani majumbani mwao huku ukiwa umeweka tahadhari za kutosha kuepuka njia za maambukizi ya Covid-19.

2. Endelea kuwasiliana na wateja wako. Endeleza mawasiliano kwa ufanisi zaidi kwani hii ni njia pekee ya kudumisha mahusiano na wateja wako. Kwa hali ya kawaida mawasiliano hujenga uaminifu kati ya biashara yako na wateja wako. Fanya mawasiliano kupitia njia rafiki na sahihi k**a vile barua pepe,mitandao ya kijamii au simu ya mkononi. Hakikisha wateja wanapata taarifa ili wasibaki gizani. Endapo kuna huduma ambayo umeihairisha au umeisogeza mbelel sababu ya Covid-19, basi ni vyema wafahamishe. Na iwapo kuna bidhaa ambayo imekwama njiani au haitakamilika kwa wakati basi wajulishe na ikibidi warudishie fedha zao.

3. Tafuta taarifa. Ni muhimu kufuatilia kwa karibu taarifa kutoka kwenye mamlaka mbalimbali zinazosimamia biashara. Ipo kawaida ya hatua za usaidizi kuchukuliwa ili kuzisaidia biashara dhidi ya athari za majanga. Endapo unasikia chochote kuhusu hatua hizo basi fuata maelekezo ili unafaike au wasiliana nasi tukusaidie kuelewa undani wake. Ni dhahiri kuwa Covid-19 imegusa watu kiuchumi, kiafya na ustawi wao kiujumla. Sisi TAPBDS pamoja na wafanyabiashara wengine ni jukumu letu kuhakikisha tunakuwa salama na kuwasaidia wengine waendelee kuwa salama. Hivyo ni vyema kuwa na taarifa mbalimbali za kila siku juu ya mwenendo wa janga hili, jinsi ya kujikinga na kuepuka kuendeleza maambukizi.

Kwa usaidizi wasiliana nasi
Simu: +255222664619
Barua pepe: [email protected]
www.tapbds.com

Address

Mwenge, Josam House , Cocacola Road
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TMS posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to TMS:

Share