Maisha ya mfanyabishara

Maisha ya mfanyabishara Biashara ni asili kila binadamu ana uwezo wa kufanya bali pata maarifa ya kuongoza biashara yako, kuongeza kipato chako pale ukiwa na muda.

05/08/2020
Mkoani Arusha  wavuka lengo la mauzo ya Madini.Wizara ya Madini imekusanya zaidi ya Tsh bilioni 2.7 katika kipindi cha J...
23/08/2019

Mkoani Arusha wavuka lengo la mauzo ya Madini.

Wizara ya Madini imekusanya zaidi ya Tsh bilioni 2.7 katika kipindi cha Julai hadi Juni 30 2018, mwaka huu na kuvuka malengo yaliyokusudiwa na soko la Mkoani Arusha.

Kaimu Ofisa Madini Mfawidhi wa Wizara ya Madini Arusha, Robert Erick amesema, malengo ya ofisi hiyo ilikuwa kukusanya Tsh bilioni 2.5, lakini wamevuka malengo na kupata ongezeko la Tsh milioni 200.

Kakao uzwa Tsh 5,000/= Kwa KiloBei ya Kakao kavu kutoka kwa wakulima wilayani kilombero Mkoa WA Morogoro imeongezeka kut...
23/08/2019

Kakao uzwa Tsh 5,000/= Kwa Kilo

Bei ya Kakao kavu kutoka kwa wakulima wilayani kilombero Mkoa WA Morogoro imeongezeka kutoka wastani WA kilo moja sh 2000/= hadi sh 2,500/= msimu uliopita hadi Sh 3,500/= hadi Sh 5,000/= mwaka huu.

Ofisa kilimo wa kata ya mbingu wilaya Kilombero, Ally Mohamed Mila amesema hayo hivi karibuni mjini Morogoro alipozungumza na gazeti hii juu ya mkakati wa kuongeza uzalishaji wa zao la Kakao katika kata hiyo na maeneo mengine ya wilaya yenye kustawi kwa zao Hilo jipya ndani ya Wilaya ya Kilombero.

Zao la Kakao linalimwa zaidi na wakulima wa vijiji vya kata ya Mchombe, Mbigu na Mngeta katika Tarafa ya Mngeta, na ni zao jingine la kibiashara licha ya mpunga ambao pia no la chakula wilayani humo.

Mula amesema wilaya hiyo I wakulima zaidi ya 2,600 wanaozalisha zao la kokoa na wengi wao ni kutoka katika ukanda wa vijiji hivyo vitatu ambao kwa msimu uliopita uzalishaji kiwilaya ulikuwa ni tani 358 za kokoa kavu.

Amesema uzalishaji wa kilimo cha kokoa katika maeneo hayo umekuwa uliongezeka kutokana na wakulima kuona hilo ni zao litakalowaongozea kipato na kuwasaidia kuleta maendeleo kwenye familia zao.

MAISHAYAMFANYABISHARA BUSINESS FORUM
21/08/2019

MAISHAYAMFANYABISHARA BUSINESS FORUM

Tanzania inategemea kuanzisha kiwanda cha kusafisha dhahabu mkoa wa Dodoma ambapo kiwanda hicho kitasafisha dhahabu asil...
21/08/2019

Tanzania inategemea kuanzisha kiwanda cha kusafisha dhahabu mkoa wa Dodoma ambapo kiwanda hicho kitasafisha dhahabu asilimia 99.9.

Kinategemea kuanza ocktoba mwaka huu. Alisema Waziri wa madini Doto Biteko wakati akitembelea ujenzi WA kiwanda hicho mkoan Dodoma.

Lengo kubwa ni kutekeleza kauli ya Raisi kuitaji BOT kununua dhahabu na kutunzwa kwenye akiba ya Taifa ya dhahabu licha ya kuwepo na Fedha za kigeni, na kufanya hivyo itaweza kukuza uchumi wa nchi.

Address

Mbezi Beach
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maisha ya mfanyabishara posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Maisha ya mfanyabishara:

Share