13/04/2016
Wakati serikali ya awamu ya tano iki endelea na zoezi la BOMOA BOMOA jana walofanikiwa kufika katika eneo la Mbezi Mwisho na kubomoa nyumba na sehemu za biashara zilizopo kando kando ya bara bara hiyo.Zoezi hili lina lengo la kutanua barabara hiyo ili kupinguza ajali ambapo watu wamekua wakiwa hatarini bila kujua kutokana na kwamba ukaribu wa biashara zinazo fanyika hapo na ambali wa barabara hiyo ni hatari kwa wananchi wapitao na hata wafanyabiashara wenyewe wanaognya biashara kando ya barabara hiyo.Kwa kufanya hivyo serikali imepunguza asilimia 70 ya uwezekano wa kutokea kwa ajali katika bara bara hiyo na kjpisha utanuzi na uboreshaji wa maeneo hayo.