4 Corner Alliance GROUP

4 Corner Alliance GROUP Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from 4 Corner Alliance GROUP, Consulting Agency, ubungo, Dar es Salaam.

HAYA SASA!ILE SIKU TULIYOKUA TUKIISUBIRIA IMEFIKA.SINA MENGI YA KUSEMA ZAIDI YA KUKUTAKIA UWEPO MWEMA HIYO KESHO.KUMBUKA...
02/10/2015

HAYA SASA!
ILE SIKU TULIYOKUA TUKIISUBIRIA IMEFIKA.

SINA MENGI YA KUSEMA ZAIDI YA KUKUTAKIA UWEPO MWEMA HIYO KESHO.

KUMBUKA: Saa 8 mchana mpaka 11 jioni.
MAHALI: KEBBY'S HOTEL ( unashukia kituo cha Bamaga kisha unarudi nyuma kidogo k**a unaelekea ITV ....UTAPAONA TU)

Kutakua na watu wengi...pilikapilika za kutosha!

USISAHAU : Kumualika umpendaye na usiye mpenda kwani wote wanapenda pesa...na wasipopenda pesa basi pesa zinawapenda.

Zaidi ya yote 4CORNERS inawapenda.

MUHIMU: Tabasamu...Smile๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜€

A positive attitude...A positive Life!

Cheers๐Ÿ˜‰

Don't miss this...k**a unawashkaji pande hzo just informed them..muda ni saa nane mchana
29/09/2015

Don't miss this...k**a unawashkaji pande hzo just informed them..muda ni saa nane mchana

[2:32PM, 9/21/2015] +255 788 577 461: How those income/cost will b generated? I said you will have a team from level 1 t...
21/09/2015

[2:32PM, 9/21/2015] +255 788 577 461: How those income/cost will b generated? I said you will have a team from level 1 to 6 and here it goes ๐Ÿ‘‡

Level 1-4 people
Level 2-16
Level 3-64
Level 4-256
Level 5-1024
Level 6-4096
[2:32PM, 9/21/2015] +255 788 577 461: This is Four corners Alliance group, an online network marketing company.

Go www.fourcornersalliancegroup.com for more company profile!
[2:32PM, 9/21/2015] +255 788 577 461: Aimed to provide financial education as well as income to its members!

This education is provided thru
1. Financial e-books
2. Financial newsletter
[2:32PM, 9/21/2015] +255 788 577 461: Let's start with e-books :
These are categorized into 6 levels with different price costs depending with the syllabus given in it!

Level 1-$10 which comes from your initial entrance of $18 while $8 goes as enllorment fee.

Level 2-$10 as well
Level 3-$25
Level 4-$60
Level 5-$150
Level 6- $300

Other costs ๐Ÿ‘† will be generated from the team ( business partners) you share with information!
[2:32PM, 9/21/2015] +255 788 577 461: Out of those products we get income

E-books
- instant commission
- 100% matching commission

Newsletter
- instant commission
-100% matching commission
[2:32PM, 9/21/2015] +255 788 577 461: 100% MATCHING commission :
This stands for all members you have sponsored direct to you! So for any "INSTANT commission " they earn, will come to you with the same amount as 100% matching!

Here is where that 80% payment formula applies...

40% as instant
40% as matching

- when somebody in your level 5 purchases level 5 products for $150, $60 will come to you as instant, $60 will go to your sponsor as matching! And remaining 20% of it is for company which is $30.
[2:32PM, 9/21/2015] +255 788 577 461: So this is INSTANT commission which you will get from each person as they purchases ebooks in their levels๐Ÿ‘‡

Level 1-$4, total $16

Level 2-$4, total $64

Level 3-$10, total $640

Level 4-$24,...$6144

Level 5-$60,...$61440

Level 6-$120, total $491520

4Corners looks at money differently because we look at it through YOUR eyes. We understand that once you have the right knowledge, the right tools and the right mindset, anything is possible.

21/09/2015

Just c what is in this video..and tell m what u think

21/09/2015

4CORNERS ONLINE BUSINESS: UR WAY TO FINANCIAL FREEDOM

What is 4CORNERS?
4corners is a new and dynamic online network business in the USA founded by Mr. David Harrison. As a network business 4corners offers people an incredible opportunity to educate themselves financially and also earn money at the same time. Unlike other network businesses like forever living, herballife, max international etc where u carry health or fuel products chasing people to buy before u make money, in 4corners you don't go around selling products to anyone. Members make sales by downloading books to read.

What product is 4corners marketing?

4corners just like any other network business has a product to market. But as I said earlier 4corners market financial education sets of books in an ebook or pdf form. Not health or tea products. Just pdf books on financial issues like investment, financial literacy, managing your debt, how to save etc. These books are very valuable n rich to educate every average person on financial matters. So these are the products you are going to have access to download by joining 4corners. You just download them onto ur laptop, phone etc n read. This is far better n smart than carrying health products around chasing people to buy.

HOW DO I MAKE MONEY WITH 4CORNERS?
4corners just like any network business offers it's members a powerful compensation plan to make money by paying members handsome commission from the sales of the ebooks. A sale in 4corners simply means you have registered someone, ur downlines have registered someone or ur downlines have upgraded to another level. Simple as that. So anytime any of the 3 things above happens,you receive a commission. There are two powerful ways you earn money
1. Instant commission
2. 100% matching bonus

Instant commission
This is the commission you receive whenever a sale of the book is made in all ur 6 levels.
Level 1= $4x4 people, u make $16.
Level 2= $4x16 people, u make $64.
Level 3= $10x64 people, u make $640.
Level 4= $24x256 people, u make $6,144
Level 5= $60x1024 people, u make $61,440
Level 6= $120x4096 people, u make $491,920

So you see how powerful 4corners is. About $491,920 in instant's commission alone. All you do is join us and also register just 4 people.. only 4...anyone can do this.

100% matching bonus.
Now this is the part that makes 4corners the best network business ever. You receive the same money the 4people you brought also receives in the business. Did u hear me? When ever the 4people u brought into 4corners make any money, you are paid same amount on them on all the levels. This is unbelievable. So when ur 4 people make $16 in level 1, you make $16x 4,thus $64 in matching bonus... when they make $64 in level 2, you make $64x4 also, thus $256...now imagine when ur 4 make $61,440 in level 5, you make $61,440x 4...just calculate that for urself my friend. This is incredible.. no network business does this..only 4corners....so u can see why people are joining 4corners all over.

Why should you join 4corners?
1. Only $18 to join. One time payment. No money from you again.
2. No carrying of health products to chase people. You just download ebooks to read.
3. You withdraw ur money every Tuesday, not 2weeks or a month.

How do I join 4corners?
You are registered tru 2 means.
1. Visa card. If you have a bank debit/credit or prepaid visa card, you can use to register. The $18 will be deducted by 4corner from your bank accounts. Currently $18 goes for around 63cedis depending on the bank u using.
2. Solidtrustpay
If you have no visa card, we will register you through an online system called stp. You will pay 75 cedis to us. Then we use to register you.

What do I get after I register?
Immediately you are registered, you get the following.
1. Your own personal 4corners website and link to register others.
2. You get access to download ur level 1 ebooks.

How will I withdraw my money?
4corners has 3 ways for you to withdraw ur money
1. Solidtrustpay (stp)
You will open an stp account once you register. It's free. Then you withdraw ur money into it n sell it to 4corners members to get ur money in cedis.
2. To ur visa card. You can withdraw ur money to ur own bank visa card in Ghana and withdraw from any atm anywhere.
3. Bank accounts.
Once you make just $500 , you will send the money straight into ur bank accounts.

Will I get support when I join your team?
Yes, all the support you will need to succeed is given to you in 4corners.
1. You will be added to our watsap group to meet all the members after u register. You can ask all questions for clarification n support.
2. You will be able to add your people to our prospects groups so the top leaders talk to them for you. You just add them n we talk to them for you. Simple as that.
3. We do training for members every Sunday on watsap. You will take part to learn from the rest.

Summary
I am sure you see how easy n profitable 4corners is, if you want to make some extra income for urself, then I recommend you join us. 4corners is very powerful n can turn ur financial situation around. Only $18, n just 4 people, n u will be on your way to financial freedom. If you can't do this then I don't know. Come begin your journey to success with 4corners. Remember "the poor people are working hard as the rich people are working smart"

Come work smart with 4corners. Just get back to me lets get started if you are ready to make money online. Thanks.

21/09/2015

4Corners Alliance Group ni kampuni inayotokana na kampuni mama ya Cornerstone LLC iliyopo Las Vegas Marekani. Imeanzishwa mwaka 2012 na mwanzilishi wake akiwa ni David Harrison ambaye alikuwa ni mfanya biashara ya aina ya mtandao (network marketing) katika kampuni ya Herbal Life.

4Corners Alliance Group ni kampuni ambayo imejikita katika kutoa elimu ya ujasiriamali, uchumi, fedha, uwekezaji na biashara kwa kutumia bidhaa mbili kuu:

1. Vitabu vya mtandaoni (e-books)
2. Jarida la kila mwezi la mtandaoni (e-newsletter)

Bidhaa ya vitabu imegawanyika katika madaraja sita, ambavyo ununuliwa kadiri biashara inavyosonga.

Kwakuwa 4Corners ni biashara ya mtandao, unaweza kujenga timu ya watu watakaoangukia kwenye vizazi (levels) vyako tofauti tofauti.

Level 1 inakuwa na watu 4 tu.
Level 2 inakuwa na watu 16 tu.
Level 3 inakuwa na watu 64 tu.
Level 4 inakuwa na watu 256 tu.
Level 5 inakuwa na watu 1,024 tu.
Level 6 inakuwa na watu 4,096 tu.

Kila ngazi ina seti yake ya vitabu vikiwa na dhima tofauti na kwa bei tofauti.

Level 1 ni $10
Level 2 ni $10
Level 3 ni $25
Level 4 ni $60
Level 5 ni $150
Level 6 ni $300

Unaweza kuvinunua vitabu vyoote hivi kwa hela yako mwenyewe ukajisomea mwenyewe.

Lakini pia unaweza kuvinunua kwa malipo unayoweza kuyapata kwa kujenga timu ya watu chini yako.

Hapa ndo unakuja mpango wa kuunda timu ili kujenga kipato cha kukuwezesha kununua vitabu zaidi na kujipatia ziada kubwa kabisa.

Inafanyaje kazi?

Unapojiunga tu kwa $18, $8 ni ya usajili na $10 inanunulia vitabu vya level 1.

Unapoanza kujenga timu hiki ndicho kinatokea kati yako na kampuni:

Watu walioko level 1 wakinunua level 1 (wakati wa kujiunga) kwa $10, utalipwa jumla ya $4 x 4 = $16, na mdhamini wako atalipwa $16 bonus ya 100%. $2 x 4 = $8 inabakia kwa kampuni k**a faida yake.

Watu walioko level 2 wakinunua level 2 kwa $10, utalipwa jumla ya $4 x 16 = $64, na mdhamini wako atalipwa $64 bonus ya 100%. $2 x 16 = $32 inabakia kwa kampuni.

Watu walioko level 3 wakinunua level 3 kwa $25, utalipwa jumla ya $10 x 64 = $640, na mdhamini wako atalipwa $640 bonus ya 100%.
$5 x 64 = $320 inabakia kwa kampuni.

Watu walioko level 4 wakinunua level 4 kwa $60, utalipwa jumla ya $24 x 256= $6,144 na mdhamini wako atalipwa $6,144 bonus ya 100%. $12 x 256 = $3,072 inabakia kwa kampuni.

Watu walioko level 5 wakinunua level 5 kwa $150, utalipwa jumla ya $60 x 1,024= $61,440, na mdhamini wako atalipwa $61,440 bonus ya 100%. $30 x 1,024 = $30,720 inabakia kwa kampuni.

Watu walioko level 6 wakinunua level 6 kwa $300, utalipwa jumla ya $120 x 4,096 = $491,520, na mdhamini wako atalipwa $491,520 bonus ya 100%. $60 x 4,096 = $245,760 inabakia kwa kampuni.

Nadhani hadi hapo umeelewa kampuni inanufaikaje.

UKUMBUKE KUWA HELA YOTE HIYO ITATOKANA NA MALIPO UNAYOPATA KWA KUJENGA TIMU YAKO NA SIO MFUKONI MWAKO.

KIKUBWA ZAIDI ni 100% bonus.
Hii hutolewa kwa kila kila mtu uliyemuingiza chini yako moja kwa moja.

Baada ya wale wanne tulioona pale mwanzo kila utakayemwingiza atakupatia $4 lakini hatakaa kwenye level 1 yako. System itatafuta pengo itamuweka huko.

Nini faida ya kuingiza watu zaidi?
Unapokuwa na watu wengi zaidi chini yako utafaidi zaidi ile bonus ya 100%. Bonus hii utolewa pindi pale mtu uliyemwingiza moja kwa moja anapoliwa. Chochote atakacholipwa unalipwa kwa 100% wewe ukiwa ndo mdhamini wake.

Mfano: Ukiwa na watu 20 na kila mmoja akawa amelipwa $50, ina maana utalipwa $50 x 20 = $1,000 papo hapo.

๐Ÿ’ฐ๐Ÿ’ฐ..sio utani..ni kweli...

Vitu muhimu:

1. Hakuna kikomo cha uanachama.
2. Hakuna kukimbizana na deadlines. Kila mtu anafanya kwa starehe zake. Spidi yako mafanikio yako.
3. Bidhaa inajiuza yenyewe.
4. Hakuna kutoa hela nyingine mfukoni mwako baada ya $18.

JARIDA LA KILA MWEZI (e newsletter):

Hili jarida utoka kila mwezi mara moja na gharama yake ni $29.95. Ya kuzingatia ni haya:

1. Sio la lazima.
2. Hautalipwa kamisheni zake k**a hulichukui.
3. Inashauriwa kulichukua pindi unapokea malipo ya level 4.
4. $29.95 inakatwa kwenye kamisheni zako.

Kwa kila anayelichukua jarida hili unalipwa ifuatavyo:

Level 1: $1 x 4 = $4
Level 2: $1 x 16 = $16
Level 3: $1 x 64 = $64
Level 4: $1 x 256 = $256
Level 5: $2 x 1,024 = $2,048
Level 6: $2 x 4,096 = $8,192
Level 7: $4 x 16,384 = $65,536

๐Ÿ‘†Hiki ni kipato cha kila mwezi..ndioo...kila mwezi!

NINALIPWAJE?

Uapojiunga unapewa ofisi yako ya mtandaoni (backoffice), ambayo utatumia kuangalia maendeleo yako, ya timu yako, mapato yako na kutoa pesa. Pia, vitabu ulivyokwisha kuvilipia unaweza kuvichukia (download) na kuvisoma ukipenda.

Maombi ya kutoa hela yanafanyika siku ya J2, J3 na J4, na malipo yatafanyika J4 itakayofuata kupitia Visa/Mastercard ya benki yako, na utaweza kutoa kupitia ATM za hapa hapa kwetu au akaunti yako ya benki.

Naanzaje kufanya kazi?

Kinachohitajika ni:
1. $18
2. Email (isiwe Yahoo au AOL)
3. Link/jina la mdhamini wako

Hakikisha fursa hii haikupiti! Ni ya kipekee sana katika ulimwengu wa biashara za mtandao.

Address

Ubungo
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when 4 Corner Alliance GROUP posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share