Marketing consultation

Marketing consultation Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Marketing consultation, Consulting Agency, Dar es Salaam.

20/03/2015

The primary responsibility of the Brand Manager
is marketing, advertising and market research
functions.
The Brand Manager plans, develops, and directs
the marketing efforts for a particular brand or
product line.

06/03/2015

Tackle the golden question: If you had
all the money in the world, what
would you be doing with yourself? Don't
hold back. This is brainstorming time.
Make a list of all the things you'd rather be
doing with your time. Your first few
answers will probably be something like:
Take a tropical vacation, spend more time
with the kids, etc. But push your thinking
beyond that. Ask yourself if you are content
with stringent working hours, accounting to
higher authorities, etc. If this is what you
don't like, then strive for a self-actualizing
job that gives you exactly what you desire
or hope to achieve.

21/02/2015

DEVELOP YOUR MARKETING PLAN
your marker plan is your basic road map, setting out the stone, pace, direction, parameters and cost of getting where you want to go, it should be realistic in terms of GOALS & BUDGETS

18/02/2015

when you wants to create your products BRAND NAME first ask yourselves what people remember from it, it see nothing will remembered means that not good brand name for your product

10/02/2015

BETTER WAY TO ATTEMPT INTERVIEW
1. Tell us about yourself.
Since this is often the opening question in an
interview, be extra careful that you don't run off
at the mouth. Keep your answer to a minute or
two at most. Cover four topics: early years,
education, work history, and recent career
experience. Emphasize this last subject.
Remember that this is likely to be a warm-up
question. Don't waste your best points on it.
2. What do you know about our organization?
You should be able to discuss products or
services, revenues, reputation, image, goals,
problems, management style, people, history and
philosophy. But don't act as if you know
everything about the place. Let your answer show
that you have taken the time to do some
research, but don't overwhelm the interviewer,
and make it clear that you wish to learn more.
You might start your answer in this manner: "In
my job search, I've investigated a number of
companies. Yours is one of the few that interests
me, for these reasons..."
Give your answer a positive tone. Don't say,
"Well, everyone tells me that you're in all sorts of
trouble, and that's why I'm here", even if that is
why you're there.
3. Why do you want to work for us?
The deadliest answer you can give is "Because I
like people." What else would you like-animals?
Here, and throughout the interview, a good
answer comes from having done your homework
so that you can speak in terms of the company's
needs. You might say that your research has
shown that the company is doing things you
would like to be involved with, and that it's doing
them in ways that greatly interest you. For
example, if the organization is known for strong
management, your answer should mention that
fact and show that you would like to be a part of
that team. If the company places a great deal of
emphasis on research and developments
emphasize the fact that you want to create new
things and that you know this is a place in which
such activity is encouraged. If the organization
stresses financial controls, your answer should
mention a reverence for numbers.
If you feel that you have to concoct an answer to
this question - if, for example, the company
stresses research, and you feel that you should
mention it even though it really doesn't interest
you- then you probably should not be taking that
interview, because you probably shouldn't be
considering a job with that organization.
Your homework should include learning enough
about the company to avoid approaching places
where you wouldn't be able -or wouldn't want-
to function. Since most of us are poor liars, it's
difficult to con anyone in an interview. But even if
you should succeed at it, your prize is a job you
don't really want.
4. What can you do for us that someone else
can't?
Here you have every right, and perhaps an
obligation, to toot your own horn and be a bit
egotistical. Talk about your record of getting
things done, and mention specifics from your
resume or list of career accomplishments. Say
that your skills and interests, combined with this
history of getting results, make you valuable.
Mention your ability to set priorities, identify
problems, and use your experience and energy to
solve them.
5. What do you find most attractive about this
position? What seems least attractive about it?
List three or four attractive factors of the job, and
mention a single, minor, unattractive item.
6. Why should we hire you?
Create your answer by thinking in terms of your
ability, your experience, and your energy. (See
question 4.)
7. What do you look for in a job?
Keep your answer oriented to opportunities at this
organization. Talk about your desire to perform
and be recognized for your contributions. Make
your answer oriented toward opportunity rather
than personal security.
8. Please give me your definition of [the position
for which you are being interviewed.
Keep your answer brief and task oriented. Think it
in terms of responsibilities and accountability.
Make sure that you really do understand what the
position involves before you attempt an answer. If
you are not certain, asks the interviewer; he or
she may answer the question for you.
9. How long would it take you to make a
meaningful contribution to our firm?
Be realistic. Say that, while you would expect to
meet pressing demands and pull your own weight
from the first day, it might take six months to a
year before you could expect to know the
organization and its needs well enough to make a
major contribution.
10. How long would you stay with us?
Say that you are interested in a career with the
organization, but admit that you would have to
continue to feel challenged to remain with any
organization. Think in terms of, "As long as we
both feel achievement-oriented."
11. Your resume suggests that you may be over-
qualified or too experienced for this position.
What's your opinion?
Emphasize your interest in establishing a long-
term association with the organization, and say
that you assume that if you perform well in his
job, new opportunities will open up for you.
Mention that a strong company needs a strong
staff. Observe that experienced executives are
always at a premium. Suggest that since you are
so well qualified, the employer will get a fast
return on his investment. Say that a growing,
energetic company can never have too much
talent.
12. What is your management style?
You should know enough about the company's
style to know that your management style will
complement it. Possible styles include: task
oriented (I'll enjoy problem-solving identifying
what's wrong, choosing a solution and
implementing it"), results-oriented ("Every
management decision I make is determined by
how it will affect the bottom line"), or even
paternalistic ("I'm committed to taking care of my
subordinates and pointing them in the right
direction").
A participative style is currently quite popular: an
open-door method of managing in which you get
things done by motivating people and delegating
responsibility.
As you consider this question, think about
whether your style will let you work happily and
effectively within the organization.
13. Are you a good manager? Can you give me
some examples? Do you feel that you have top
managerial potential?
Keep your answer achievement and task-oriented.
Rely on examples from your career to buttress
your argument. Stress your experience and your
energy.
14. What do you look for when you hire people?
Think in terms of skills. Initiative and the
adaptability to be able to work comfortably and
effectively with others. Mention that you like to
hire people who appear capable of moving up in
the organization.
15. Have you ever had to fire people? What were
the reasons, and how did you handle the
situation?
Admit that the situation was not easy, but say
that it worked out well, both for the company and,
you think, for the individual. Show that, like
anyone else, you don't enjoy unpleasant tasks but
that you can resolve them efficiently and -in the
case of firing someone- humanely.
16. What do you think is the most difficult thing
about being a manager or executive?
Mention planning, ex*****on, and cost-control.
The most difficult task is to motivate and manage
employees to get something planned and
completed on time and within the budget.
17. What important trends do you see in our
industry?
Be prepared with two or three trends that
illustrate how well you understand your industry.
You might consider technological challenges or
opportunities, economic conditions, or even
regulatory demands as you collect your thoughts
about the direction in which your business is
heading.
18. Why are you leaving (did you leave) your
present (last) job?
Be brief, to the point, and as honest as you can
without hurting yourself. Refer back to the
planning phase of your job search. Where you
considered this topic as you set your reference
statements. If you were laid off in an across-the-
board cutback, say so; otherwise, indicate that
the move was your decision, the result of your
action. Do not mention personality conflicts.
The interviewer may spend some time probing you
on this issue, particularly if it is clear that you
were terminated. The "We agreed to disagree"
approach may be useful. Remember hat your
references are likely to be checked, so don't
concoct a story for an interview.
19. How do you feel about leaving all your
benefits to find a new job?
Mention that you are concerned, naturally, but not
panicked. You are willing to accept some risk to
find the right job for yourself. Don't suggest that
security might interest you more than getting the
job done successfully.
20. In your current (last) position, what features
do (did) you like the most? The least?
Be careful and be positive. Describe more features
that you liked than disliked. Don't cite personality
problems. If you make your last job sound terrible,
an interviewer may wonder why you remained
there until now.
21. What do you think of your boss?
Be as positive as you can. A potential boss is
likely to wonder if you might talk about him in
similar terms at some point in the future.
22. Why aren't you earning more at your age?
Say that this is one reason that you are
conducting this job search. Don't be defensive.
23. What do you feel this position should pay?
Salary is a delicate topic. We suggest that you
defer tying yourself to a precise figure for as long
as you can do so politely. You might say, "I
understand that the range for this job is between
$______ and $______. That seems appropriate for
the job as I understand it." You might answer the
question with a question: "Perhaps you can help
me on this one. Can you tell me if there is a range
for similar jobs in the organization?"
If you are asked the question during an initial
screening interview, you might say that you feel
you need to know more about the position's
responsibilities before you could give a meaningful
answer to that question. Here, too, either by
asking the interviewer or search executive (if one
is involved), or in research done as part of your
homework, you can try to find out whether there
is a salary grade attached to the job. If there is,
and if you can live with it, say that the range
seems right to you.
If the interviewer continues to probe, you might
say, "You know that I'm making $______ now.
Like everyone else, I'd like to improve on that
figure, but my major interest is with the job
itself." Remember that the act of taking a new job
does not, in and of itself, make you worth more
money.
If a search firm is involved, your contact there
may be able to help with the salary question. He
or she may even be able to run interference for
you. If, for instance, he tells you what the position
pays, and you tell him that you are earning that
amount now and would like to do a bit better, he
might go back to the employer and propose that
you be offered an additional 10%.
If no price range is attached to the job, and the
interviewer continues to press the subject, then
you will have to respond with a number. You
cannot leave the impression that it does not
really matter, that you'll accept whatever is
offered. If you've been making $80,000 a year,
you can't say that a $35,000 figure would be fine
without sounding as if you've given up on
yourself. (If you are making a radical career
change, however, this kind of disparity may be
more reasonable and understandable.)
Don't sell yourself short, but continue to stress
the fact that the job itself is the most important
thing in your mind. The interviewer may be trying
to determine just how much you want the job.
Don't leave the impression that money is the only
thing that is important to you. Link questions of
salary to the work itself.
But whenever possible, say as little as you can
about salary until you reach the "final" stage of
the interview process. At that point, you know
that the company is genuinely interested in you
and that it is likely to be flexible in salary
negotiations.
24. What are your long-range goals?
Refer back to the planning phase of your job
search. Don't answer, "I want the job you've
advertised." Relate your goals to the company
you are interviewing: 'in a firm like yours, I would
like to..."
25. How successful do you you've been so far?
Say that, all-in-all; you're happy with the way
your career has progressed so far. Given the
normal ups and downs of life, you feel that you've
done quite well and have no complaints.
Present a positive and confident but don't
overstate your case. An answer like, "Everything's
wonderful! I can't think of a time when things
were going better! I'm overjoyed!" is likely to
make an interviewer wonder whether you're trying
to fool him . . . or yourself. The most convincing
confidence is usually quiet confidence.

08/02/2015

Maisha yetu yamejaa changamoto nyingi na
unapokuwa kati kati ya changamoto ni vigumu
sana kuona njia sahihi. Hii ni kwa sababu
matatizo yanakuwa yamekusonga sana na huwezi
kufikiria kwa makini huku ukiwa umeyaweka
matatizo hayo pembeni kwa muda.
Leo tutajadili changamoto ya kipato. Hii ni
changamoto inayowakabili watu wengi sana, hasa
katika zama hizi ambazo ajira zimekuwa na
matatizo mengi.
Kipato cha mshahara kimekuwa ni tatizo sana,
karibu kila mfanyakazi mshahara anaopata
haumtoshi, hii inatokana na gharama za maisha
kwenda juu kwa kasi huku mshahara kuenda juu
taratibu sana.
Pia watu wengi sana wanaanza kazi kwa
mshahara ambao ni kidogo sana. Leo hii kuna
wahitimu wa vyuo vikuu wengi ambao wanalipwa
mshahara mdogo sana ukilinganisha na viwango
vyao vya elimu.
Swali ni je unawezaje kutoka kimaisha kwa
kuanza kazi ambayo ina mashahara kidogo?
Kabla hatujaangalia unachoweza kufanya, tuone
maoni ya msomaji mwenzetu aliyetuandikia
kuhusu changamoto hii;
''Nimepata kazi lakini mshahara naotakiwa
kulipwa ni 250000 kwa mwezi je mshahara huu
unaweza kunipa maendeleo ikiwemo kujenga
nyumba na hata kununua gari? naombeni
mchango wenu wa mawazo tafadhali''.
Najua hali hii inawatokea wengi, sasa swali la
msingi kabisa kabla hatujaangalia ni nini cha
kufanya ni je inawezekana kutoka kimaisha kwa
kuanzia na mshahara kidogo? Jibu ni ndio
inawezekana.
Baada ya kukubali kwamba inawezekana, (yaani
kubali wewe kwamba inawezekana ili haya
yanayofuata hapa chini yawe na maana kwako)
sasa tuangalie ni jinsi gani ambavyo unaweza
kutoka kimaisha kwa mshahara kidogo.
Hatua ya kwanza; Weka malengo ya maisha
yako.
Hatua ya kwanza na ya muhimu kabisa ni kuweka
malengo na mipango ya maisha yako. Kumbuka
kwamba kazi hii yenye mshahara kidogo sio
mwisho wa maisha yako, bali ni hatua tu
unayopitia kufikia ndoto zako kwenye maisha.
Hivyo weka malengo ya kazi au biashara gani
utataka kufanya baadae, malengo ya maisha yako
na kila eneo muhimu kwenye maisha yako.
Hatua ya pili; Kubali kwamba kipato chako ni
kidogo na anza kwakuishi maisha hayo.
Hatua ya pili na muhimu sana kwako ni kukubali
kwamba kwa sasa unapata kipato kidogo na
ukishakubali kipato hiko kubali kuishi maisha
yanayoendana na kipato hiko kwa siku hizi za
mwanzoni.
Usitake kuanza kujionesha na wewe upo, uanze
kumiliki simu za bei kali, kuhudhuria sehemu za
gharama na vitu k**a hivyo.
Haya yote yatakuja baadae ukishaweka sawa
kipato chako, ila mwanzo huu unahitaji kujibana
ili kujenga msingi wako wa kipato.
Ishi kwa kwa kupata huduma zile za msingi
kabisa, kitu chochote ambacho usipokuwa nacho
hutakufa, au maisha yako hayatakuwa hovyo
sana, basi kwa sasa usiwe nacho.
Dhibiti matumizi yako kwa kiasi kikubwa sana ili
uweze kujipanga vizuri kwa ajili ya baadae.
Hatua ya tatu; Anza kuweka akiba kwenye
mshahara wako wa kwanza.
Baada ya kudhibiti matumizi yako kwa kiasi
kikubwa sana anza kuweka akiba haraka sana,
usisubiri chochote, hakuna mabadiliko makubwa
yatakayotokea hapo ulipo.
Anza kwa kuweka akiba asilimia 20 ya kipato
chako, ila nakusisitiza weka zaidi ya hapo. Na
katika hatua hii ya kuweka akiba, weka akiba
kwanza ndio ufanye matumizi, na sio kufanya
matumizi halafu ndio uweke akiba. Weka akiba
huku ukiangalia malengo uliyojiwekea ili ujue
k**a utaweza akuyafikia.
Hatua ya nne; Angalia fursa nyingine
zinazopatikana kwenye kazi yako na hata kwenye
maisha yako.
Kazi yoyote, namaanisha kazi yoyote ile ina fursa
nyingi ambazo huwa hazionekani kwa wote. Bali
wale wenye kiu kali ya mafanikio ndio huona
fursa hizi na kuzitumia vizuri. Angalia ni jinsi gani
unaweza kutumia nafasi zinazopatikana kwenye
kazi yako kuongeza kipato zaidi.
Angalia ni changamoto gani ambazo watu
wanapitia kwenye kazi hiyo na jinsi gani unaweza
kusaidia kuzitatua na kujiongezea kipato. Usikae
tu kwenye kazi hiyo na kuidharau kwa sababu
inakulipa kidogo. Ifuatilie vizuri kazi hiyo, angalia
kila fursa unayoweza kuiibua na kuitumia vizuri.
Pia kuwa na moyo wa kufanya majukumu ya
ziada, maliza kazi zako mapema na chukua
majukumu mengine yatakayokuwa yanapatikana,
hii itakufanya uongeze thamani yako na hata
kuongeza kipato chako.
Pia angalia fursa nyingine za kazi au biashara nje
ya kazi yako hiyo. Kwa kazi yenye mshahara
kidogo mara nyingi huwa haikubani sana hivyo
hata k**a unafanya kazi masaa kumi kwa siku
bado una masaa mengine kumi na nne, ukitoa
hapo masaa sita ya kulala unaweza kupata muda
wa kujishughulisha na biashara nyingine.
Kumbuka wewe sasa hivi upo kwenye wakati
mgumu kutokana na kipato chako, sasa k**a
unataka utoke kazini uende ukapige story au
kuangalia tv au kufanya chochote kwa madai
kwamba unajipumzisha utaendelea kubaki hapo
ulipo. Jitoe kwa muda huu kufanya kazi sana na
kuangalia kila fursa itakayojitokeza mbele yako.
Hatua ya tano; Jifunze kila siku.
Moja ya sababu zinazowafanya watu kufia
kwenye kazi zenye mishahara midogo ni kuridhika
na mishahara hiyo kiakili na uvivu wa kujifunza.
Sasa ndugu yangu wewe huna anasa hiyo. Tumia
kila muda ulionao kujifunza, jifunze ujuzi wa
ziada, jifunze kuhusu biashara, jifunze kuhusu
maendeleao binafsi.
Katika kazi yako angalia ni eneo gani ambalo lina
mahitaji ya wafanyakazi ila bado halijapata
wafanyakazi wazuri. Anza kujifunza kitu hiko,
soma vitabu vinavyohusiana na eneo hili, angalia
video kwenye mtandao zinazoelekeza kuhusiana
na kazi hiyo. Tembelea mitandao mbali mbali na
pia ongea na watu waliobobea kwenye eneo hilo.
Ukishaanza kupata mwanga omba kujitolea
kusaidia kazi kwenye eneo hilo, hata ukinyimwa
endelea kuomba na shawishi kwamba una kitu
unaweza kuchangia. Ukipewa nafasi onesha sasa
uwezo wako mkubwa, fanya kwa viwango vizuri
sana. K**a ukiweza kufanya hivi nakuhakikishia
kwamba hakuna mtu atakayekubali kukupoteza na
thamani yako itakua kwa kasi sana.
Hizi ndio hatua tano ninazokushauri uanze
kuzifuata leo ili kuweza kutoka kimaisha kwa
kuanzia na mshahara kidogo. Kumbuka kila mtu
analipwa kulingana na thamani anayopeleka
sokoni. Hivyo k**a ukiweza kumpatia mwajiri
wako thamani kubwa hatakuwa na budi bali
kuhakikisha hakupotezi na hapo thamani yako
itakuwa kubwa sana. Mambo yote haya
yatachukua muda kidogo, ila usikate tamaa na
endeleza juhudi.
Pia nikupe angalizo kwamba wale utakaowakuta
kazini ambao wanajiita wazoefu watakukatisha
sana tamaa utakapoanza kufuata ushauri huu.
Watakuambia sisi tumefanya kazi hii miaka kumi,
unajisumbua tu bwana mdogo/bibi mdogo.
Ushauri kwa watu hao, wapuuze haraka sana, sio
mfano mzuri kwako kuwaiga kwa sababu k**a
wamefanya kazi miaka kumi na bado mshahara
wao ni wa chini sana ni kipi unaweza kujifunza
kwao, usiwasikilize.
Nakutakia kila la kheri katika kuboresha kazi yako
na maisha yako.
TUPO PAMOJA.

06/02/2015

Unapohisi kasi ya maendeleo na hadhi
yako vinapungua kwenye maisha yako,
hii hutokana na baadhi ya vijitabia,
mazoea na mienendo midogo midogo
ambayo mara nyingi hutuathiri wengi
wetu. Hadhi yako ni kitu muhimu ili
kukufanya ujione binadamu mwenye
nguvu na thamani kwenye familia au
jamii.
Ni wazo labusara sana kukaa chini na
kuanza kutafakari na kuchambua kila
kitu kwenye maisha yako kisha
kukubali kugharamia mabadiliko kwa
kuamua kuachana na kila tabia ambayo
kwa namna moja ama nyingine
inashiriki katika kukurudisha nyuma.
1. Jiridhishe kuwa ni wewe pekee
unayeweza kufanikisha ndoto zako
Wengi tuna ndoto kubwa na malengo
mazuri kwenye maisha yetu, tuna vitu
vizuri vya kufanya na mafinikio
makubwa ya kufikia kwenye michezo,
mapenzi, biashara, elimu au sanaa.
Kosa la msingi tunalofanya katika
kufikia haya yote, ni kujenga imani
kwa watu wengine na kuwapa nafasi
kubwa ya ushiriki kwenye kufikia
malengo na mipango yako.
Ndoto na mipango unayoweka vipo kwa
ajili yako, pia ni saizi yako. Sio
mzigo ambao huwezi kuubeba. Asilimia
90 ya watu uliowapa nafasi ya
kushiriki kukuwezesha imekuwa kikwazo
kikubwa cha kufikia malengo tofauti
tofauti uliyowahi kujiwekea.
watu unaowaamini hawajui umuhimu wa
kile unachokifanya, ni k**a mdundo
unaolia masikioni kwako tu wao
hawawezi kucheza ngoma wasizozisikia.
Acha kuwapa watu wengine majukumu
yako.
2. Achana na Marafiki wasiokuwa na
maana
Urafiki ni jamaa mzuri na adui mbaya
sana wa maisha yako. Kagua na
hakikisha kuwa kila rafiki uliye naye
ana maana na sababu. K**a rafiki ni
kwa ajili ya kazi, basi jiridhishe na
hakiki kuwa rafiki huyo ni kwa ajili
ya mambo ya kikazi.
K**a rafiki ni kwa ajili ya mambo ya
kiroho, basi jithibitishie k**a
rafiki huyo ni kwa ajili ya mambo ya
kiroho.
Achana kabisa na marafiki ambao wapo
wapo tu, hawakusaidii kujiendeleza
kwa namna yoyote, hawana maana wala
sababu kwenye maisha yako, hao sio
marafiki ni matatizo.
Hao ndio wale ambao kutwa nzima
watakutumia meseji za paka na panya
kwenye simu yako, watakutoa out
kuangalia mpira halafu mtapata
vinywaji huku mnasimuliana habari za
muvi na siasa mpaka giza linaingia,
hilo ni kundi baya la marafiki
linalokusaidia kupoteza ubora wako
kwenye maisha.
"Hakuna maana, hakuna sababu, hakuna
uhusiano"
3. Usifiche Uhalisia wako
Kila mmoja wetu anahitaji kuwa mtu
bora ili aweze kuheshimika kwenye
jamii. Wengi tunapenda kuheshimika
kwa vigezo ambavyo hatuna wakati
tunaweza kutumia vigezo tulivyonavyo
kujijengea heshima.
Watu hawaheshimiki kwa maisha ya
kifahari pekee, wala huitaji kupendwa
na wasichana wazuri ili uheshimike.
Unaweza kutumia kigezo chochote
kujijengea heshima kwenye jamii.
Tumia uwezo wako mzuri wa kuwasiliana
(communication skills) kujijengea
heshima, tumia utanashati wako
kujijengea heshima, heshimu kila
mmoja ujijengee heshima, fanya kazi
kwa bidii ujijengee heshima, boresha
taaluma yako ujijengee heshima.
Tumia ulicho nacho kuonesha ubora
wako kwenye jamii, ukijitapa kwa kile
usichokuwa nacho unafunga milango
yakuboresha maisha yako na kuua kile
ulicho nacho.
4. Maliza kila kitu ulichokianza
Katika kipindi cha mwaka mzima, kuna
mambo mengi unaamua kuyafanya kwa
nyakati tofauti tofauti baadhi
unayaanza na mengine unayaweka
pembeni kwa muda. Jambo muhimu hapa
ni kuhakikisha kila jambo unalolianza
unalifikisha mwisho.
Kwenye jambo lolote unalofanya,
usitegemee tu kupata mafanikio
makubwa unayopanga mwanzo, ila
thamini vitu vingi utakavyojifunza
kipindi unapambana kufikia malengo
yako.
K**a ukiamua kuwa blogger pigania
blog yako mpaka mwisho, hata k**a
haitapata umaarufu k**a blog ya
michuzi utakuwa umejifunza mambo
mengi kwenye harakatiza kufanikisha
malengo yako.
Unamalengo ya kuwa mwanamitindo,
pigania malengo yako mpaka uone
mwisho wake hatimaye hata k**a
hutakuwa mwanamitindo mashuhuri basi
utakuwa umejuana na watu wa maana na
umefungua fulsa zingine kwenye maisha
yako.
"Usiishie njiani,thamini kila
unachojifunza safarini hatak**a
hutafika uendako,utapata tuzo ya
msafiri hodari" .
5. Muda muafaka ni sasa
Mambo mengi mazurina mipango mingi
mizuri tunachelewa kuiingiza katika
utendaji na wakati mwingine kuachana
nayo kabisa kutokana na kusubiria
wakatimuafaka.
Unataka kuoa,lakini unasubiri ununue
gari, unataka kuanza masomo lakini
unasubiri uwe na pesa za kutosha,
unataka kuingia kwenye mashindano
lakini unaona ni vema ukashiriki
mwakani, unataka kuanza biashara
lakini unangoja likizo.
Kila unachotaka kufanya unaona sio
muda muafaka na unaamua kuvuta siku
mbele. Nakushauri uanze sasa, muda
muafaka ni huu, ukisubiri muda
mwingine hautatokea.
Tengeneza muda muafaka usisubiri uje
muda unaopangiwa na vikwazo.
Waswahili husema, "Liwezekanalo leo
usingoje kesho"
Shukrani.

30/01/2015

Leo tutajadili pamoja mambo manne ambayo
unatakiwa kuzingatia kabla hujaanza biashara,
huenda ulikuwa una wazo la kuanzisha biashara
lakini bado hujui yapi ya kufanya mwanzo kabla
ya kuanza biashara. Twende wote hadi mwisho
wa makala haya utajifunza kitu;
1. WATU Kitu cha kwanza cha kuzingatia
unapowaza kuanzisha biashara ni watu, nadhani
unajua kabisa kuwa huwezi kuanzisha biashara
bila kuwepo watu, kumbe watu ndio rasilimali
pekee unayoweza kuifikiria kabla hujaanza
biashara yako, kwa sababu bila watu hakuna
mauzo.
Tunapozungumzia watu kwenye biashara
tunazungumzia watu wa aina mbili;
(A) Wateja wako.
(B) Watu wanaofanyabiashara k**a yako.
》WATEJA WAKO - Kitu cha kwanza unapotaka
kuanzisha biashara lazima ujue wateja wako ni
kina nani? Watoto, watu wazima, wanawake,
wanaume au wazee. Unapotambua wateja wako
ni watu wa aina gani itakupa urahisi mzuri wa
wewe kujua utawapataje, hebu jiulize k**a leo
unataka kuanzisha biashara ya bidhaa za urembo
halafu kazi yako ni kutembelea sehemu walioko
wanaume tu eti kisa watawapelekea wake zao
itakula kwako, lazima utakapotaka kuanzisha
biashara ufahamu ni wateja wako ni watu gani
utajuwa kwa kuwapata maisha yako yatakuwa
rahisi.
》WATU WANAOFANYABISHARA K**A YAKO -
Watu wengi wanashindwa kufanikiwa katika
biashara kwa sababu ya kuanzisha biashara kwa
kuiga, kwa sababu umemuona jirani yako
kafungua duka anauza na wewe una mihela yako
ya mkopo tayali unaanza na wewe kwenda
kufungua duka k**a lile pembeni yake, matokeo
yake hupati wateja, unajua kitakachokukuta,
utakuwa mara kwa mara unaenda kujipitisha
kwenye duka lake unaangalia labda kuna kitu
tofauti ameweka unakuta ni vile vile k**a kwako,
unajiuliza mbona we huuzi?
Rafiki utamaliza soli za viatu bure ulikosea njia,
watu wanaofanyabiashara k**a yako ni kuhimu
sana usijenge nao uadui, k**a unajijua unapenda
kufanya biashara ya kuuza mahindi hebu kabla
hujaanza jenga urafiki na mtu anaefanya biashara
k**a hiyo, akishakuwa rafiki yako anza
kumuuliza kidogo kidogo kwa ustaarabu,
alianzaje, anapata wapi yeye mahindi na kwa bei
ipi, je na wewe ukitaka kuanza anakushauri
uanzaje?
Atakupa mbinu ambazo zitakusaidia katika
biashara na utakuwa sana na utaona wapi
pakuanzia, usifikiri kuwa na mtaji mkubwa ndio
kufanikiwa katika biashara, unaweza kuanza na
elfu ishirini tu na ukatengeneza mabilioni. Mfano
nilipoanza biashara na Neptunus nilikuwa sina
mtaji kabisa mkubwa lakini 26000 ilianza kunipa
mwanya wa kuwa na mtaji mkubwa hadi
kuwashinda walioamini watafanikiwa kwa mitaji
yao.
2. BIDHAA: Kitu cha pili cha kuangalia ni bidhaa
yako, jiulize swali moja "bidhaa yako ni mpya au
tayali kuna watu wengine tayali wameshaianza?"
K**a ni mpya unaweza ianza kwa ubora
unaoweza wewe kwa sababu hakuna alieanzisha
na ukaboresha kutokana na matakwa ya wateja,
lakini k**a bidhaa yako tayali kuna watu
wengine wanayo rafiki hapa ndipo utajua neno
mjasiriamali lina maana gani, unatakiwa kuwa
makini sana.
Lazima ukafanye utafiti waliotangulia bidhaa yao
ina ubora gani, Ili wewe uweke ubora unaozidi
kiwango, hichi ndicho huwa kinanifurahisha
kwenye semina nyingi zinazofundisha ujasiriamali
eti wanawafundisha watu kutengeneza sabuni
itakayoshindana na mbuni au jamaa bila
kuwaambia viwango vya sabuni hizo, matokeo
yake watanzania wamebaki wanasoma k**a
fasheni bila mafanikio.
Hakikisha bidhaa yako ni bora kuliko
zilizotangulia utauza sana, usikalie kuumiza
kichwa kuzalisha bidhaa nyingi, umiza kichwa
kuzalisha bidhaa bora.
3. MAHALI PA KUUZIA: Kitu cha tatu
unachotakiwa kujua ni sehem ambayo biashara
yako itakaa, umejua watu, umeshaboresha bidhaa
yako, unachotakiwa sasa nikujua wapi biashara
yako itakaa? Ukikosea pa kuweka biashara yako
ndugu yangu utakula hadi mtaji.
Hebu fikiria unafungua buraue de change
(biashara ya kuchenji hela) Tandale kwa Mtogole,
kweli hata k**a biashara yako inahitaji watu
hapo utakuwa umechemka, unafungua
supermarket BUGURUNI NDANI NDANI kweli
utauza? Hapana, nakushauri hakikisha biashara
yako umeiweka kwa watu sahihi na mahali sahihi
utapata faida kubwa na utakuwa tajiri muda sio
mrefu.
4. BEI YA BIDHAA: Kitu cha mwisho unachotakiwa
kuangalia ni bei za bidhaa zako, ndugu unaetaka
kuanzisha biashara hebu jiulize bei za bidhaa
zako na watu husika vinalingana, na tatizo kubwa
la wafanyabiashara wengi hawajui jinsi ya
kupanga bei kwenye bidhaa zao. K**a
mfanyabiashara, lazima ujue jinsi ya kupanga bei
za bidhaa zakom Mungu akipenda siku zijazo
tutafundisha jinsi ya kupanga bei, bei ikiwa
kubwa hutauza bidhaa, ikiwa ndogo hutapata
faida na biashara itakufa.
Unapotaka kupanga bei lazima uangalie na watu
husika, wewe ukauze shati la elfu tano ukaliuze
tandale elfu ishirini eti kisa frame yako umeandika
classic, hutauza ng'oo, kuwa mjanja, bei zako
ziendane na sehem husika, muda mwingine ni
bora upate faida kidogo lakini biashara izunguuke,
biashara inapokaa sana dukani tayali inashuka
thamani hata ukiiuza tayali thamani yake inakuwa
imeshuka.
Hivyo unapotaka kuwa mfanyabiashara angalia
bei za bidhaa zako na watu husika. Me huwa
nawapenda sana wamachinga, ukienda kitu cha
elfu kumi anakuanzia elfu ishirini halafu anakupa
uhuru wa kupunguza anajua kabisa utapunguza
hadi elfu kumi na tano, ukinunua mwingine akija
kitu kile kile cha elfu kumi anauziwa elfu tano,
kumbe tayali kuna mtu ameshamlipia elfu tano.
Acha kuzubaa, biashara ni ubunifu. Unapoataka
kufanikiwa kwenye biaahara unayotaka kuanzisha
fatilia na zingatia mambo hayo utafanikiwa sana.
by MARKETING OFFICER

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Marketing consultation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share