07/02/2026
mechi ilikuwa nyepesi tunaenda kupoteza kocha licha ya kuzungukwa na wachezaji mahiri bado anaenda kuipa mechi ugumu kwa kukaa nyuma ya mpira,mbon Cairo tumepishana vzr tu,hivi hata huko tunakotaka kwenda hatuwezi kufika kwa aina ya mwalimu km huyu,timu haina speed ,means timu km haina speed huwezi kufanikiwa kweny plan b counter attack au one v one,timu ni nzito kutoka chini ,timu hujui inacheza kwa mpangilio upi,rotation sifuri km amekuja leo mechi hizi fanya km mtego tia watu wapya ,Pacome mechi imempalia anabaki kuikaba timu anashindwa kujua yey ndio icon anapoteza mipira anavyotaka na kocha unamuanglia tu ,leo umenikera na nmekukataa.