28/04/2019
KOCHA wa Azam FC Meja mstaafu Abdul Mingange amedai kikosi chake kimejipanga vilivyo kuhakikisha kinapata matokeo mazuri katika mechi ya kesho dhidi ya Yanga mchezo ambao utakaochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Alisema licha ya kuwakosa wachezaji k**a Agrey Morris, David Mwantika...