31/08/2026
Ndugu Mkulima,
Ukiwa umechoshwa kupoteza mazao yako kutokana na uharibifu wa wadudu kila msimu, FARMBASE LIMITED inakuletea suluhisho ili kuzuia wadudu hao na kulinda faida zako.
ABANIL 18EC ~ abamectin 18g/l~ ni kiuadudu bora cha kuangamiza jamii zote za utitiri kwenye mazao.
1.Hulinda soya, zabibu, matunda jamii ya machungwa, mahindi, mazao ya bustani, na aina mbalimbali za mbogamboga
2.Hutoa hifadhi ya ulinzi kupitia kiambato Amilifu cha Abamectin 18g/l ambacho hufanya kazi ndani ya tishu za mmea katika eneo lililo tumiwa.
3.Hustahimili kuoshwa na mvua mara tu baada ya kukauka, hivyo hutoa ulinzi wa muda mrefu.
4.Hulenga wadudu waharibifu ambao ni vigumu kuwadhibiti k**a vile utitiri mwekundu two spotted spider mite kwenye pande zote mbili za juu na chini ya majani
4.Huchanganyika kwa urahisi kwenye tank na bidhaa za kawaida za kulindia mazao ili kudhibiti aina mbalimbali za visumbufu vya mazao
Matumizi: Ml 20 kwa lita 20
Si unaona, yaani dozi ni ndogo kwa matokea makubwa.
📍 Sasa unaweza kuoder bidhaa hii ya ABANIL 18 EC ukiwa sehemu yoyote hapa Tanzania, au unaweza tembelea ofisi yetu iliyopo Amana~ Ilala, Dar es salaam.
Pia unaweza wasiliana nasi Kwa namba za simu
📱 0754-290-330
📱 0784-290-330
Kwa huduma za, au ushauri wa kilimo na mifugo kwako mkulima na mfugaji.
FARMBASE LIMITED, the quality you can trust