Farmbase Limited

Farmbase Limited Farmbase limited is dealing with importation, manufacturing and selling for farm inputs. Agro chemicals, veterinary drugs and seeds.
(1)

We are presenting to you, a new design of our product ✨.
06/05/2026

We are presenting to you, a new design of our product ✨.

AZOKICK 325 SC, SUPACLOP 200SL na DARSFARM SwaliHello doctor nina changamoto ya mstakafeli wangu matunda yanakuwa na weu...
06/05/2026

AZOKICK 325 SC, SUPACLOP 200SL na DARSFARM

Swali

Hello doctor nina changamoto ya mstakafeli wangu matunda yanakuwa na weusi alafu yanakauka na kuoza.

Jibu

Mafenesi yake yamepatwa na magonjwa ya kuvu(fangasi) ambayo ni chule na ukungu mweusi . Lakini hii yote inatokana na uharibifu wa wadudu aina ya inzi wa matunda, na siafu kipindi cha uzalishaji wa maua na matunda.

Nashauri aweze kutumia
1.Azockik 325 SC kwa ajili ya kuondoa changamoto za kuoza na kuharibika shambani, pamoja na ukungu kusafisha ukungu mweusi.

2. Matumizi ya Viuadudu k**a SUPACLOP 200sL , au Darsfarm Kwa kipindi Cha uzalishaji wa matunda Ili kuondoa athari mbalimbali za wadudu wanaoshambulia maua na matunda.

3. Matumizi ya mitego ya inzi wa matunda

4. Usafi wa shamba(kuondoa matunda yote yaliyopatwa na changamoto hiyo na kuyaondoa shambani Ili kutoruhusu maotea ya fangasi na kusambaa shambani.

5. Kupruniii matawiii yenye kiza na yenye magonjwa Ili kuleta mwanga na hewa kupita vizuri kwenye miti na matunda.

Farmbase Limited, The Quality You Can Trust 📌

🌱 ASANTENI KWA KUHUDHURIA SEMINA YETU 🐓🐄Wakurugenzi na Uongozi wa Farmers Center Limited na Farmbase Limited tunapenda k...
02/05/2026

🌱 ASANTENI KWA KUHUDHURIA SEMINA YETU 🐓🐄

Wakurugenzi na Uongozi wa Farmers Center Limited na Farmbase Limited tunapenda kutoa shukrani za dhati kwa wakulima na wafugaji wote mliohudhuria semina yetu. Ushiriki wenu umeifanya semina kuwa yenye mafanikio makubwa.

Tumefurahi kuona mlijifunza, mkashirikiana, na kufurahia maarifa kuhusu afya na tiba za mifugo pamoja na ulinzi wa mimea.

🤝 Tunaamini elimu mliyopata itawasaidia kuboresha uzalishaji na kuongeza kipato chenu na Taifa kwa ujumla.

🌟 Tunawatakia kila la kheri katika shughuli zenu za kilimo na ufugaji, mavuno mengi na mifugo yenye afya bora!

Karibuni tena kwenye Semina zetu zijazo.

Farmbase Limited – The Quality You Can Trust 📌

Katika Semina ya Wakulima na Wafugaji iliyofanyika Mei 1, 2026 katika ukumbi wa DYCCC,  jijini Dar es Salaam, mgeni rasm...
02/05/2026

Katika Semina ya Wakulima na Wafugaji iliyofanyika Mei 1, 2026 katika ukumbi wa DYCCC, jijini Dar es Salaam, mgeni rasmi alikuwa Dr. Benedict Lutege – Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo.

Akihutubia washiriki, alisisitiza kauli mbiu ya mwaka huu: “Kilimo na Ufugaji ni Biashara Inayoweza Kuongeza Kipato Chako.”

Tukio hili liliandaliwa kwa ushirikiano wa Farmers Center Limited na Farmbase Limited, likiwa jukwaa la elimu, mshik**ano na fursa kwa wakulima na wafugaji wa Tanzania.

TanzaniaAgriculture

Wafanyakazi wa kitengo cha mauzo katika Semina ya Wafugaji na wakulima wakiendelea na majukumu yao.si ya mei 1 2026.
01/05/2026

Wafanyakazi wa kitengo cha mauzo katika Semina ya Wafugaji na wakulima wakiendelea na majukumu yao.si ya mei 1 2026.

Mr. Mohamed Abdulqadir Msaidizi wa Mkurugenzi wa Farmbase limited, Akifanyiwa mahojiano na moja kati vyombo vya Habari k...
01/05/2026

Mr. Mohamed Abdulqadir Msaidizi wa Mkurugenzi wa Farmbase limited, Akifanyiwa mahojiano na moja kati vyombo vya Habari kwenye Semina ya Wafugaji na wakulima Mei mosi 2026

Dr. Salum Othman Akitoa mada kwenye Semina ya Wafugaji na wakulima katika ukumbi wa DYCCC Sikukuu ya Mei 1 2026
01/05/2026

Dr. Salum Othman Akitoa mada kwenye Semina ya Wafugaji na wakulima katika ukumbi wa DYCCC Sikukuu ya Mei 1 2026

01/05/2026
01/05/2026
🐄  ECOTIX POUR ON – Linda Mifugo Yako, Linda Kipato ChakoFikiria ng’ombe wako wanakonda polepole…Maziwa yanapungua…Ngozi...
25/03/2026

🐄 ECOTIX POUR ON – Linda Mifugo Yako, Linda Kipato Chako

Fikiria ng’ombe wako wanakonda polepole…
Maziwa yanapungua…
Ngozi imejaa kupe…

Mbuzi wanakonda, kudumaa na kufa ... sababu ni viroboto waliokithiri kwenye miili yao

Unajua kabisa hii siyo tu hasara ya leo — ni hatari kwa biashara yako yote ya kesho.

Usikubali kupe na viroboto wachukue jasho lako.

Tumia ECOTIX POUR-ON yenye High Cis Cypermethrin 2.5% — suluhisho la uhakika na kudumu dhidi ya kupe, chawa, viroboto na inzi wasumbufu kwa mifugo.

✨ Tone chache tu mgongoni, na uanze kuona mabadiliko
✨ Mifugo inapata nafuu, inarudi kwenye uzalishaji
✨ Wewe unarudisha faida yako

💧 Dozi: 1ml kwa kila kilo 10 ya uzito wa mnyama

Leo unachukua hatua — kesho unaona matokeo.

📞 0754290330
🏢 Farmbase Limited
The Quality You Can Trust📌

🐄  DROP-ON – ULINZI WA NG’OMBE WAKO KWA URAHISI!🚫Je, unatafuta njia rahisi na yenye ufanisi ya kudhibiti kupe na wadudu ...
24/03/2026

🐄 DROP-ON – ULINZI WA NG’OMBE WAKO KWA URAHISI!🚫

Je, unatafuta njia rahisi na yenye ufanisi ya kudhibiti kupe na wadudu kwa mifugo yako?

💧 Suluhisho ni POUR-ON yenye Deltamethrin 1%

✅ Faida Kuu:

✔️ DROP - ON Inaua na kudhibiti kupe, nzi, viroboto na wadudu wengine
✔️ DROP - ON ni rahisi kutumia – mimina mgongoni tu, kuanzia katikati ya ya pembe mpka shina la mkia (hakuna kuchanganya maji)
✔️ DROP - ON Inafanya kazi haraka na kwa muda mrefu (mpaka wiki mbili kipindi cha mvua)
✔️ DROP - ON Inapunguza stress kwa mnyama (no dipping, no spraying)

📌 DROP-ON Inafaa Kwa:
Ng’ombe
Mbuzi
Kondoo
Farasi

⚡ Jinsi ya kutumia:
👉 Mimina dawa juu ya mgongo kuanzia katikati ya kichwa hadi mkiani
👉 Fuata kipimo sahihi kulingana na uzito wa mnyama

🛡️ Linda mifugo yako dhidi ya magonjwa hatari k**a ECF!

📞 0754 290 330

🏢 Farmbase Limited
✨ The Quality You Can Trust

Address

Ilala Amana, Uhuru Street . Plot Number 1
Dar Es Salam

Opening Hours

Monday 07:30 - 18:00
Tuesday 07:30 - 18:00
Wednesday 07:30 - 18:00
Thursday 07:30 - 18:00
Friday 07:30 - 18:00
Saturday 07:30 - 18:00
Sunday 07:30 - 12:00

Telephone

+255715290330

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Farmbase Limited posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Farmbase Limited:

Share