Herbx International Tanzania

Herbx International Tanzania Towards Diseases Free lifestyle

🔊DODOMA     🔊DODOMA     🔊DODOMAPUNGUZO LA BEI YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA KWA SH. 25,000/= tu KWA WAKAZI WA DODOMA🚨HUDUMA ...
26/09/2023

🔊DODOMA 🔊DODOMA 🔊DODOMA

PUNGUZO LA BEI YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA KWA SH. 25,000/= tu KWA WAKAZI WA DODOMA

🚨HUDUMA HII ITAKUWEZESHA KUJUA TATIZO LOLOTE LINALOKUSUMBUA MWILINI MWAKO KATIKA :

📌MFUMO MZIMA WA UZAZI MWANAMKE NA MWANAUME (NGUVU ZA KIUME)
📌MFUMO MZIMA WA CHAKULA (VIDONDA VYA TUMBO)
📌MFUMO MZIMA WA HEWA (PUMU)
📌MATATIZO YOTE YA MOYO (CARDIOVASCULAR)
📌KISUKARI (KONGOSHO)
📌FIGO,INI
📌MACHO
📌MIFUPA
📌MGONGO , MIGUU NK

OFA YA TSH 25000/= Kabla ya Week Hii Kuisha..

TUPO DODOMA MJINI,
MTAA WA SANGO-Majengo
OPPOSITE NA CHAMI-MPESA
BARABARA INAYOSHUKA TRA

MAWASILIANO ZAIDI..

📞0764508337
📞0764508337

https://wa.me/message/HMVCX733W7BLP1

🔊DODOMA     🔊DODOMA     🔊DODOMAPUNGUZO LA BEI YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA KWA SH. 25,000/= tu KWA WAKAZI WA DODOMA🚨HUDUMA ...
25/09/2023

🔊DODOMA 🔊DODOMA 🔊DODOMA

PUNGUZO LA BEI YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA KWA SH. 25,000/= tu KWA WAKAZI WA DODOMA

🚨HUDUMA HII ITAKUWEZESHA KUJUA TATIZO LOLOTE LINALOKUSUMBUA MWILINI MWAKO KATIKA :

📌MFUMO MZIMA WA UZAZI MWANAMKE NA MWANAUME (NGUVU ZA KIUME)
📌MFUMO MZIMA WA CHAKULA (VIDONDA VYA TUMBO)
📌MFUMO MZIMA WA HEWA (PUMU)
📌MATATIZO YOTE YA MOYO (CARDIOVASCULAR)
📌KISUKARI (KONGOSHO)
📌FIGO,INI
📌MACHO
📌MIFUPA
📌MGONGO , MIGUU NK

OFA YA TSH 25000/= Kabla ya Week Hii Kuisha..

TUPO DODOMA MJINI,
MTAA WA SANGO-Majengo
OPPOSITE NA CHAMI-MPESA
BARABARA INAYOSHUKA TRA

MAWASILIANO ZAIDI..

📞0764508337
📞0764508337

https://wa.me/message/HMVCX733W7BLP1

🔊DODOMA     🔊DODOMA     🔊DODOMAOFA YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA KWA SH. 25,000/= Tu KWA WAKAZI WA DODOMATUMEKULETEA HUDUMA ...
18/09/2023

🔊DODOMA 🔊DODOMA 🔊DODOMA

OFA YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA KWA SH. 25,000/= Tu KWA WAKAZI WA DODOMA

TUMEKULETEA HUDUMA YA UPIMAJI NA MATIBABU YA MWILI MZIMA KWA GHARAMA NAFUU. HUDUMA HII ITAKUWEZESHA KUJUA TATIZO LOLOTE LINALOKUSUMBUA MWILINI MWAKO KATIKA :

📌MFUMO MZIMA WA UZAZI MWANAMKE NA MWANAUME (NGUVU ZA KIUME)
📌MFUMO MZIMA WA CHAKULA (VIDONDA VYA TUMBO)
📌MFUMO MZIMA WA HEWA (PUMU)
📌MATATIZO YOTE YA MOYO (CARDIOVASCULAR)
📌KISUKARI (KONGOSHO)
📌FIGO,INI
📌MACHO
📌MIFUPA
📌MGONGO , MIGUU NK

VIPIMO VYOTE HIVYO NI KWA OFA YA TSH 25000/= TU BADALA YA 110,000/=

TUPO DODOMA MJINI,
MTAA WA SANGO-Majengo
OPPOSITE NA CHAMI-MPESA
BARABARA INAYOSHUKA TRA

MAWASILIANO ZAIDI..

📞0764508337
📞0764508337

https://wa.me/message/HMVCX733W7BLP1

BLOOD PRESSURE NI UGONJWA HATARI SANA  NA NDIYO UGONJWA UNAPONA  KIRAHIS KWA SASA.. TEGUA HIYO MITEGO HARAKA SANA…. 📟HYP...
17/09/2023

BLOOD PRESSURE NI UGONJWA HATARI SANA NA NDIYO UGONJWA UNAPONA KIRAHIS KWA SASA.. TEGUA HIYO MITEGO HARAKA SANA….

📟HYPERTENSION/ High Blood Pressure/ Shinikizo la damu ni moja ya sababu kuu za vifo vya mapema duniani kote (Tena Silent KILLER) Prof Janabi alisema.

🖲Kwa mtindo wetu wa maisha ya kukaa tu na tabia mbaya ya chakula, tuko kwenye hatari ya mara kwa mara ya kupata hali hizi mbaya. Ni wakati muafaka kwamba sisi kuchukua hatua muhimu kuepukan na PRESSURE .

📟 Iko hivi, Kuna Dawa nying sana Watu wantumia na hawaponi (Hilo ni tatzo la dawa na siyo tatzo la ugonjwa)

Zipo Dawa za H3 na Menplus ni Dawa ADIMU SANA.. zitafte Haraka sana Utanishukru, ni dawa ambayo inaweza kukabiliana na PREESURE, KISUKARI, URIC ACID na TEZI DUME kwa Wakati mmoja na Haraka sana .

📌💯H3plus ni dawa ya ajabu ambayo hutoa kitu kinaitwa (NITRIC OXIDE) ambayo ina jukumu muhimu katika kuondoa mafuta haraka sana katika mishipa yako ya DAMU mafuta hayo ndo husababisha PRESSURE.

📌Ni vile Hamuambiwi vizuri ila Ujue ukweli ni kwamba kuwa na viwango vya juu vya MAFUTA HUSABABISHA KUZIBA kwa mishipa ya damu na hivyo kupelekea PRESSURE KUPANDA.

📌Kwahyo kutumia H3plus, utasaidia kupunguza na kuondoa kabisa kwa kiasi kikubwa MAFUTA KATIK MISHIPA YA DAMU, Pia itakusaidia katika Mzunguko wa Damu kwenye Mfumo wa Uzazi Hivyo KUIMARISHA NGUVU ZA Kiume..

🖲H3 Plus +, MENPLUS Hizi zinafanya kuwa suluhisho bora kwa watu wanaougua shinikizo la damu (BLOOD PRESSURE), kwani hudhibiti hali hiyo kwa ufanisi mkubwa mbo .

Ukiipata Inauzwa 180,000/= Chukua UPESI maan hazipatikan kirahis

Ukikosa Piga Nitakupatia Tena Kwa TSh 150,000/= tu.
📞0764508337
📞0764508337
📞0764508337

https://wa.me/message/HMVCX733W7BLP1

UKIMWAGA INACHELEWA KUAMKA FANYAHIVI.. ⏳Muda kati ya bao moja na bao jinginekitaalamu inaitwa Refractory period. Huu ni ...
16/09/2023

UKIMWAGA INACHELEWA KUAMKA FANYA
HIVI..

⏳Muda kati ya bao moja na bao jingine
kitaalamu inaitwa Refractory period. Huu ni muda anaokaa mwanaume baada ya kufika kileleni hadi anapopata hisia kwa mara nyingine

📌Wapo wanaume ambao huchukua muda
mchache🫡 katika hili Yaani akimwaga haipiti hata dk 5 analianzisha tena
📌Wapo wanaume ambao akifika kileleni
inamchukua muda mrefu☺️ hadi kupata hisia za
kusimamisha na kuendelea

👑Sasa bwana kitaalamu muda huu unatofautiana kati ya mwanaume na mwanaume. Japo muda huo hua unaongezeka kadri umri unavyoongezeka

🚨zipo njia ambazo ukizitumia zinaweza kusaidia
kurudi mchezoni mapema.

🎈Japo muda huo hua undongezeka kadri umri
unavyoongezeka Katika hali ya kawaida ni vigumu kuufupisha muda huo hapo zipo njia ambazo ukizitumia

💯Njia ya kwanza ni

1. 📌zoezi la Kegeli.
Hili ni zoezi ambalo unafanya hivi. Fanya k**a unabana haja ndogo au haja kubwa kwa kukaza misuli kwa sekunde 10 kisha undanchia na kupumzika kwa sekunde 5 kisha unabana tena kwa sekunde 10 kisha unaachia Fanya hivyo mara 10 kwa siku

⭐️Zoezi hili zinasaidia kukaza misuli ya uume
pamoja na misuli ya nyonga

⭐️Pia zoezi hili linasaidia kupunguza hali ya uume
kusimama kwa ulegevu

2. 📌Njia ya pili
Ni kufanya mazoezi ya kuny anyua vitu vizito ila
visiwe vizito sana. Pamoja na mazoezi ya pushup na kukimbia. Haya mazoezi huongeza kiwango cha homoni ya testosterone ,homoni ambayo husaidia
kurejeshe hisia za mapenzi haraka.

📞0764508337
📞0764508337
📞0764508337

KISUKARI TYPE 2 zaidi ya 90% NI KUJITAKIA USIJITAKIE KISUKARI (Type 2 DIABETS)         📌SABABU ZINAZOPELEKEA👉Milo isiyof...
12/09/2023

KISUKARI TYPE 2 zaidi ya 90% NI KUJITAKIA

USIJITAKIE KISUKARI (Type 2 DIABETS)

📌SABABU ZINAZOPELEKEA

👉Milo isiyofuata kanuni na taratibu za kiafya
👉Kutofanya mazoezi
👉Unene na Uzito uliokithiri
👉Uvutaji sigara na Matumizi ya Pombe na vilevi

📌ZINGATIA HAYA (Kila Mmoja)💯

👉Mlo wenye Kuzingatia kanuni za kiafya (Wanga, Sukari na Mafuta kidogo, matunda na Mboga za kutosha)
👉Fanya mazoezi ya mwili
👉Epuka uzito na unene
👉Fanya check up ya kiwango cha Sukari kwenye Damu ukiwa na wasi wasi na afya Yako
👉Fuata ushauri wa Daktari/wataalamu

📌✍️✍️Maana Kisukari kimekuwa Chanzo cha;
➡️ Magonjwa ya moyo
➡️Magonjwa Shinikizo la Juu la Damu
➡️Kiharusi/Stroke
➡️Figo kufeli
➡️VIdonda visivyopona na Kukatwa Viungo vya Mwili
➡️ Matatizo ya Kuona na Upofu
➡️Matatizo ya Nguvu za Kiume na Ugumba
➡️Ganzi (Diabetic Neuropathy)
➡️Matatizo ya Ubongo na Kiharusi (Celebro disease), nk.

📞📞MAWASILIANO
Call/WhatsApp

📲0764508337
📲0764508337
📲0764508337

Whatsap https://wa.me/message/HMVCX733W7BLP1

WANAUMEEE WANAUMEEEE WANAUMEEE               NJOOONI HAPA Na_Cpt MichaelManjl📌Upungufu wa nguvu za kiume, ambao pia huju...
11/09/2023

WANAUMEEE WANAUMEEEE WANAUMEEE

NJOOONI HAPA

Na_Cpt MichaelManjl

📌Upungufu wa nguvu za kiume, ambao pia hujulikana k**a matatizo ya nguvu za kiume au kwa jina maarufu zaidi, "Erectile Dysfunction" (ED), ni hali ambayo mwanaume hawezi kufikisha au kudumisha uume wake kwa kutosha kwa ajili ya tendo la ngono. Hapa kuna maelezo ya kina kuhusu upungufu wa nguvu za kiume:

Visababishi Vya Upungufu wa Nguvu za Kiume:

📌Sababu za Kisaikolojia:
Stress, wasiwasi, unyogovu, na hali za kisaikolojia zinaweza kuchangia ED. Hisia hizi zinaweza kusababisha kutokujiamini au kuchanganyikiwa wakati wa tendo la ngono.

📌Sababu za Kimwili:
Upungufu wa mtiririko wa damu kwenye uume ni sababu kubwa ya kimwili. Hali k**a ugonjwa wa kisukari, shinikizo la damu, na ugonjwa wa moyo zinaweza kusababisha matatizo ya nguvu za kiume.

📌Madhara ya Dawa:
Matumizi ya baadhi ya dawa, k**a vile dawa za shinikizo la damu, dawa za kulevya, na madawa mengine, yanaweza kusababisha ED k**a athari ya upande.

📌Tabia za Maisha:
Unywaji wa pombe kupita kiasi, uvutaji sigara, lishe mbaya, na kutofanya mazoezi yanaweza kuwa sababu za upungufu wa nguvu za kiume.

📌Matatizo ya Hormoni:
Mabadiliko katika viwango vya homoni, k**a vile testosterone, yanaweza kuathiri uwezo wa kiume.

💯Dalili za Upungufu wa Nguvu za Kiume:

Kushindwa kufikisha au kudumisha uume kwa muda wa kutosha kwa tendo la ngono.
Kushindwa kufikia kilele cha kutosha au kutokuwa na hamu ya ngono.
Matibabu ya Upungufu wa Nguvu za Kiume:

Kwa sababu kuna visababishi vingi vya ED, matibabu yanaweza kutofautiana. Daktari atafanya uchunguzi wa kimwili na kuzungumza nawe kujua chanzo cha tatizo.

Matibabu yanaweza kujumuisha mabadiliko ya mtindo wa maisha (k**a vile mazoezi na lishe bora), mabadiliko ya dawa, au matumizi ya dawa za kuongeza nguvu za kiume.

LAKINI. baadhi ya dawa zinaathili mfumo wa afya kwa ujumla. Hivo IPO MENPLUS maalumu ambayo itakusaidia wewe kuimarisha mfumo wako wa afya ya kiume na kurudisha hali yako vizuri.

0764508337

0764508337

0764508337

Wanaume Acheni Haya Mnajikosesha Warembo wazuri kwa Starehe za ajabu na Kutokutilia maanani kuhusu afya yako.1. Pombe2. ...
10/09/2023

Wanaume Acheni Haya Mnajikosesha Warembo wazuri kwa Starehe za ajabu na Kutokutilia maanani kuhusu afya yako.

1. Pombe
2. Sigara
3. Sh**ha
4. Kulea Kitambi
Tukisema Mnasema “Mapenzi ya Nini Bora Mtafute pesa”. Haya watumiaji wa Pesa zako wanalalamika Huku “Hauwezi Kumletea shoti za Kitandani”

Na k**a Hali ni Mbaya sana ,Mwanaume Fikiria Kutumia MENPLUS mapema sana kunusuru Hali Yako Huku Ukiachana kabisa na tabia hatarishi Kwa Afya yako.

0764508337

0764508337

0764508337

FAHAMU KUHUSU TIBA YA KISUKARI 📌Matibabu ya kisukari aina ya 2 hulenga kuwa na kiwango cha sukari katika damu ambacho ni...
08/09/2023

FAHAMU KUHUSU TIBA YA KISUKARI

📌Matibabu ya kisukari aina ya 2 hulenga kuwa na kiwango cha sukari katika damu ambacho ni salama kiafya. Hii hulenga kuboresha athari ya insulini kwenye mwili na kuzuia madhara ya ugonjwa wa kisukari.

📌Hatua za kwanza za matibabu hujumuisha kuongeza kufanya mazoezi na kuboresha lishe. Kuwa na uzito mzuri kiafya ni muhimu. Hata hivyo, baada ya muda, dawa huweza kuhitajika kupunguza kiwango cha sukari kwenye damu.

📌Kadiri ugonjwa unavyoendelea, mtu aliyeathirika anaweza kuhitaji kufundishwa jinsi ya kufanya baadhi ya mambo k**a vile kuchunguza wenyewe viwango vyao vya sukari. Wataalamu wa afya huweza kutoa maelezo na kusaidia katika hatua zote za matibabu.

📌Ufuatiliaji wa mara kwa mara ni muhimu. Ufuatiliaji unaweza kusaidia kutambua na kutibu madhara yanayosababishwa na kisukari. Madhara haya yanaweza kuwa ni pamoja na uharibifu wa neva na macho.

Fahamu Zaid

📞0764608337

📞0764608337

📞0764608337

FAHAMU KUHUSU KISUKARI Katika ugonjwa wa kisukari aina ya 2, seli za mwili haziathiriki na insulini jinsi ipasavyo. Insu...
08/09/2023

FAHAMU KUHUSU KISUKARI

Katika ugonjwa wa kisukari aina ya 2, seli za mwili haziathiriki na insulini jinsi ipasavyo. Insulini ni homoni inayozalishwa na kongosho ili kuitayarisha sukari iliyomo kwenye damu kutumika k**a chanzo cha nguvu mwilini.

Watu wenye ugonjwa wa kisukari aina ya 2 huwa wana tatizo la sukari iliyo kwenye damu kushindwa kuingia kwenye seli za mwili. Matokeo yake ni viwango vya sukari kwenye damu kuwa juu.

Dalili huweza kujumuisha kukojoa mara kwa mara na kuwa na mkojo mwingi. Watu walioathirika huweza kupungua uzito na kuhisi uchovu na kiu kuliko kawaida.

Ugonjwa wa kisukari aina ya 2 mara nyingi huweza kudhibitiwa kwa lishe nzuri, mazoezi ya mara kwa mara, na dawa za kupunguza kiwango cha sukari kwenye damu.

Magonjwa 5 Ya Moyo Uko Hatarini KuyapataK**a Hujadhibiti Presha📌Unaweza Kudhibiti Presha. Pia unaweza kuepuka madhara ya...
07/09/2023

Magonjwa 5 Ya Moyo Uko Hatarini Kuyapata
K**a Hujadhibiti Presha

📌Unaweza Kudhibiti Presha. Pia unaweza kuepuka madhara ya presha. Usipodhibiti, shinikizo la damu la juu, au k**a linavyojulikana sana , linaweza kuwa na athari kubwa kwa afya ya moyo na kusababisha matatizo mbalimbali.

📌Presha inapokuwa juu huleta ukinzani na kusababisha moyo kufanya kazi ya kusukuma damu kwa kutumia nguvu zaidi, hivyo kuongeza hatari ya kupata magonjwa ya moyo na mishipa ya damu.
Baadhi ya matatizo yanayoweza kusababishwa a presha kwenye moyo ni k**a yafuatayo:

1. Ugonjwa wa mishipa ya damu ya moyo
🫀Presha inaweza kusababisha mishipa inayosambaza damu kwenye moyo kukak**aa na kuwa membamba zaidi na kupunguza mtiririko wa damu kwenye misuli ya moyo..

2. Moyo kuwa mkubwa Kazi kubwa ya kusukuma damu ambayo moyo hufanya kwasababu ya presha inaweza kusababisha misuli ya moyo kuwa mikubwa.
🫀Hi ni k**a kwa watunisha misuli, misuli yao huongezeka kadiri wanavyonyanyua uzito mkubwa.
Tofauti ya ukuaji wa misuli ya moyo huathiri uwezo wa moyo kusukuma damu kwa ufanisi. Matokeo yake moyo hushindwa kufanya kazi vizuri, mapigo
ya moyo, na kuongeza hatari shambulio la moyo.

3. Moyo kufeli
Presha isiyodhibitiwa inaweza kusababisha moyo kufanya kazi kwa nguvu zaidi na kupoteza uwezo wake wa kusukuma damu kwa ufanisi.

4. Matatizo ya mapigo ya moyo
Presha inaweza kuvuruga shughuli ya kawaida ya umeme katika moyo, hivyo kusababisha mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida (matatizo ya mapigo ya moyo). Huongeza hatari ya matatizo k**a vile kuganda kwa damu, kiharusi, na shambulio la moyo.

5. Shambulio Moyo
Shinikizo la damu la juu (presha) linachangia kuharibu mishipa ya damu, hali inayosababisha kujengeka kwa utando ndani ya mishipa.

Kufahamu zaidi bonyeza link
https://wa.me/message/HMVCX733W7BLP1

Address

Dodoma
255

Opening Hours

Monday 09:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 18:00
Wednesday 09:00 - 18:00
Thursday 09:00 - 18:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255764508337

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Herbx International Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Herbx International Tanzania:

Share