Ezemta International

Ezemta International Ukurasa huu utajumuisha masuala ya kijamii,kiutamaduni,biashara burudani na mengineyo yanayojenga jamii

Tukumbushane
12/04/2025

Tukumbushane

22/07/2022
Mafuta ya n**i
05/07/2022

Mafuta ya n**i

Dr Boaz Kitchen Coconut Oil

TUMIA MAFUTA YA N**I KUKAANGIA, KUROSTI, KUWEKA KWENYE SALAD nk.

FAIDA YA MAFUTA YA N**I
1. Mafuta ya n**i hutibia viungo ndani ya mwili k**a vile Moyo,na kuepusha moyo kupata magonjwa ya moyo(Heart attack) kwa sababu yanabeba lehemu nzuri kitalaamu HDL Cholesterol ambayo huzuia mashambulizi kwenye moyo.

2. Mafuta ya n**i yana kiwango kingi cha Omega 3 ambayo hutumika k**a njia salama ya nishati mwilini ambayo hutumika na ubongo(Alzheimer) na kifafa (Epilepsy).

3. Mafuta ya n**i husaidia kupunguza uzito kwa sababu husaidia kupunguza mafuta yaliyozidi mwilini na pia huondoa njaa za mara kwa mara.

4. Mafuta ya n**i husaidia kushusha sukari kupambana na Insulini resistance ambayo ndio kisababishi cha ugonjwa wa kisukari cha ukubwani ( Diabetic type 2).

5. Mafuta ya n**i yana aina kuu mbili za mafuta,Lauric na Capric acid ambayo kazi yake kubwa mwilini ni Kuamsha shughuli za mwili kwa watu wenye uchovu wa kudumu. Pia huua vimelea mbalimbali kwenye mfumo wa chakula na ngozi.

6. Yanahimili joto katika kiwango cha juu wakati wa kukaanga,yaani yana (High thermal stability). Hivyo ni mafuta pekee yanayotokana na mimea yanayofaa kukangia chakula.
Mtu yeyote mwenye maradhi yafuatayo:

YANAFAA KWA MTU MWENYE:
Kisukari | Uzito mkubwa | Mvurugiko wa homoni | Nguvu za Kiume | Presha | Pumu | Vidonda vya tumbo na Mtu yeyote anayependa kulinda afya yake.

TSH. 15,000

Tupo Mwananyamala Dar es Salaam, mkabala na hospitali ya Mwananyamala mtaa wa min**ini.

Wasiliana nasi
0767 030 160 / 0767 074 124 / 0787 999 994

MAWAKALA WETU MIKOANI CHUKUA NAMBA HAPA.

Dar es Salaaam Mwananyamala 0787999994/0767074124
Dar es salaam Ubungo External: 0715483812
Dar es salaam Kimara 0767474710
Dar es salaam Tegeta: 0658 366 099
Zanzibar: 0773155848

Arusha: 0754598234
Arusha: 0756487743

Babati: 0757 974 657

Dodoma: 0764610988
Dodoma : 0713812294
Dodoma: 0755 889 223

Iringa Mc: 0754568845
Kahama: 0758207430
Kahama: 0659414522
Kasulu: 0767913000

Mbeya : 0759602020
Morogoro: 0788 092956

Moshi: 0715842980
Mtwara: 0788503590

Mwanza: 0712370385
Mwanza: 0758254612

Geita: 0767368394
Sumbawanga: 0735818810

BIDHAA ZETU ZINAPATIKANA NJE YA TANZANIA

01/07/2022

Good evening,ladies and gentlemen

Huu ni ukweli mchungu
30/06/2022

Huu ni ukweli mchungu

Unapotolewa Ligi ya Mabingwa, unatolewa Shirikisho, ukaukosa ubingwa wa Ligi Kuu, ukakosa FA, ukafukuza kocha wa Real Madrid, Aziz Ki hakutaki, tumaini lako pekee likawa ni kiatu cha George Mpole, kuna shida kubwa sana kwenye timu yako. 📍


🇹🇿

30/05/2021

MTAANI KUGUMU K**A UNATAKA KUAMINI NENDA KAYAISHI MAISHA YAKE NDIPO UWAAMBIE WATU WAJIAJIRI WAKATI HAUNA MTAJI

10/02/2021

Wise is nice

03/02/2021

Thank God because you are still available for the best health a dnana

06/01/2021

Early in the morning

01/01/2021

H new year everyone

Address

Ezemta@gmail. Com
Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ezemta International posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ezemta International:

Share