EK.com

EK.com Dealing with Domestic Elictrical Installation ( FUNDI UMEME )

📢CHAGUA KUISHI MAISHA YAKO📢         Ukweli nikwamba maisha ya mtu hayawezi kufanana na maisha ya mtu mwingine yaani saba...
13/01/2024

📢CHAGUA KUISHI MAISHA YAKO📢
Ukweli nikwamba maisha ya mtu hayawezi kufanana na maisha ya mtu mwingine yaani sababu za Mungu kukuumba au NJIA ALIYO KUTENGENEZEA MUNGU UIPITE/ UIISHI UKIWA DUNIANI haiwezi fanana na ya rafiki yako, ndugu yako au shosti ako kamwe ndio maana katika maisha yako inawezekana hufanikiwi kwasababu unajarbu kuwa k**a watu flani
👉Katika maisha yako inawezekana kuna kipengere flani unashindwa kufanikiwa nikwasababu ya kosa moja tu UNAIGA, yaani kila unacho kifanya wewe unafanya kwasababu ya mtu flani kafanya na kwa bahati mbaya sana inawezekana yeye anasababu ya kufanya kwa manufaa yake flani, na wewe je unajua ni kwanini unafanya ..? (kwenye ndoa, mavazi, biashara, kwenye huduma n.k)
👉Ndoto yako ndiyo itakayo amua uishije, je ule mlo mmoja kwa siku ili uifikie, upige kazi masaa mengi, uvae mavazi mazuri na yenye kusitili mwili ili uolewe, uvae vimini au masuruali upate wanaume wengi kwa siku au kutongozwa sana siku hiyo
👉TATIZO LAKO UNAIGA alafu unamwiga mtu ambae yeye yawezekana anasababu za kufanya anacho kifanya, na hatimaye unaishi kwenye NDOTO ZA MWENZIO tena ambazo hujui hata mwisho wake maana huna maono nazo
MUHIMU
ISHI MAISHA YAKO, TAKA KUJUA NDOTO YAKO KATIKA MAISHA YAKO NI IPI, NA ILI IFANIKIWE KUITIMIZA HIYO NDOTO YAKO NI MAMBO GANI UNATAKIWA UYAZINGATIE NA UYAFANYE jitafute WEWE NI NANI HASA UTAFANIKIWA
👉JIKATAZE kufanya mambo yako kwa kuiga/ kufanya mambo kwa kupoteza mda, NDIO kwasababu kufa mambo kwa kuiga ni KUPOTEZA MDA coz ni kweli utatuonyesha/kuwaonyesha ulicho nacho lakn hiyo bado haitakusaidia na wala haiwezi nisaidia, maana inawezekana hata NIKIKUOMBA huwezi nipa au kunisaidia
ISHI MAISHA YAKO, UTAFANIKIWA

🌹🌷MPINGA KRISTO ANAIONGOZA DUNIA🌹 SIRI MOJA TU LEO NAKUPALeo nataka nikukumbushe na utambue kitu kimoja kwamba hii DUNIA...
11/01/2024

🌹🌷MPINGA KRISTO ANAIONGOZA DUNIA🌹
SIRI MOJA TU LEO NAKUPA
Leo nataka nikukumbushe na utambue kitu kimoja kwamba hii DUNIA /UMLIMWENGU huu unaendeshwa na mfumo wa MPINGA KRISTO yaani ufalme wa mpinga kristo ndio unao drive ulimwengu huu.....
MATH 4:8 - 9
KIVIPI.?
👉Nimekuja kugundua kua zaidi ya 90% ya hiki kitu tunaita UTANDAWAZI nyuma yake kuna huu mfumo, yaani kila kinacho anzishwa ulimwenguni, kwa hali ya kawaida ya kibinadamu huonekana kua ni chema na kina tusaidia lakini nyuma ya kile kinaanzishwa huwa na kusudi la pili ambalo ni kumtenganisha huyu binadamu kwa habar ya kiroho na Mungu. Na hii ndio sababu wakristo wengi tuko makanisani lakini kwa upande wa rohoni hatuna NGUVU yoyote ya kumpinga shetani na hatimaye tunaishia kukimbilia kwa MANABII ambao wakati mwingine wala hata hatujui ni wana mtumikia Mungu gani na mwishowe tunafungamanishwa na hiyo miungu wanayo iabudu. Na kwa bahati mabaya sana hata wakitokea watumishi wenye uelewa juu ya mambo flani kuonya juu ya mambo flani na kutokana na watu kuyapokea na kuyaishi basi huwageukia watumishi hao na kuwaona ni maadui.
YOH 16:32 - 33
MAANA YAKE NI NINI...?.....Maana yake nikwamba k**a ulimwengu huu utaendeshwa na watu walioko kwenye huu mfumo yaani hawamjui Mungu na wala hawana hofu ya Mungu ndani yao, tafsiri yake ni kwamba taifa haliwezi kua salama na pia ulimwengu hauwezi kua salama, kwani kila mfumo, yaani uanzilisho wa vitu ulimwenguni au ndani ya taifa utakua ni kwa shinikizo la utawala huo wa mpinga kristo (mfano: mitindo ya maisha, wearing style, economic style, democratic style etc) yaani taifa ni lazma lita ongozwa tu kwa kufuata sheria ya mwenye nguvu yaani mpinga Kristo. Ndio maana tunaona uanzilisho wa SHERIA tofauti tofauti ambazo wala haziwi na sura ya Mungu na wala sio za lazma lakini hutengenezewa mazingira ya kua za lazima.
Hivyo usiishi kwa kufuatisha namna ya ulimwengu huu,
WARUMI 12:1 - 2
👉kwani ufalme wa mpinga kristo unapambana kuhakikisha kila binadamu alie hai ulimwenimguni ni ana enende katika mfumo wa maisha ambayo kwa namna moja au nyingine tu ni anamkufuru au kumkosea Mungu
SIO KILA AINA FLANI YA MAISHA AU MFUMO UNAO ANZISHWA UMLIMWENGU unapaswa kuufanya, HAPANA, soma BIBLIA kwani ina mwongozo wote wa ni jinsi gani mkristo unapaswa kuishi, na niyapi yakupasayo kutenda.

21/01/2022
11/08/2020

Quality....

02/12/2019

Address

Mwanjerwa
Dodoma

Telephone

+255742481101

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when EK.com posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share