02/04/2019
Ufugaji wa Samaki umeendelea kuwa rahisi. Leo nawasilisha njia rahisi ya kufuga samaki kwenye Bwawa la kutengeneza kwa Mabanzi au Mbao. Nimelitengeneza Mwenyewe na kulipandikiza Samaki aina ya Kambale. Bwawa hilo lipo hapa Dodoma Mjini.
Kwa mahitaji zaidi nipigie kwenye 0655637026. Namba hiyo hiyo ipo WhatsApp.
KARIBUNI SANA.