05/01/2016
Tofauti kati ya Leonel Messi na Christiano ronaldo kwa mwaka 2015.
Nikianza na Leonel messi
¤Katika mwaka 2014-2015 ameweza kubeba makombe 3 pamoja na mataji mawili super cup na Club world cup.
¤Katika timu yake ya Fc Barcelona amefanikiwa kufunga
*Magoli 48
*Assists 23
*Mechi 54 zote alizocheza.
¤Katika timu ya taifa argentina leonel messi amefanya yafuatayo
*Kafunga magoli 4
*Assists 3
*Mechi 8 alizocheza.
***********
Tukija kwa Cristiano ronaldo.
¤Katika mwaka 2015 amefanikiwa kushinda tuzo ya Fifa Ball d'or na European Golden boot {mfungaji bora wa ulaya.
¤Katika timu yake ya Real madrid kafanya yafuatayo.
*Kafunga magoli 57
*Assists 18
*Mechi 58 alizocheza.
¤Katika timu ya taifa ureno kafanya yafuatayo.
*kafunga magoli 3
*Assist 0
*Mechi 5 alizocheza.
katika mwaka 2015 katika vilabu vyao na timu yataifa kiujumla wamefanya haya
¤Leonel mess katka mechi zote pamoja na zatimu ya taifa kafunga mabao 52, katoa assists 26 nakucheza michezo yote 62.
¤Tukija kwa ronaldo katka mechi zake zote madrid na ureno Kafunga mabao 57, assists 18 na michezo 58.
Kwa mwaka 2015 nani mkali wa mwenzake?