17/04/2024
K**a Una Ndoto Ya Kuishi Kupitia BIASHARA Kuna Kitu Natamani Leo Ukijue Mapema
Ili UFANIKIWE Kwenye Biashara Yako.
Kuna Aina Kubwa 2 Za Biashara na Ni Muhimu Kila Mfanyabiashara Kuzijua Na Kuwa Nazo.
Ya Kwanza Inaitwa "SURVIVAL BUSINESS"
Hii ni aina ya biashara ambayo utaifanya ili Uweze Kumudu GHARAMA ZA MAISHA (Business That Enables You To Survive)
Hii ni ile biashara ya KAWAIDA SANA, Unaifanya ili kupitia hiyo uweze kulipa Kodi, Usafiri, Matibabu na Gharama za Kila Siku.
Biashara hii huwa ina sifa kubwa 2
Ya kwanza inakupa Faida Kidogo (Low Return Of Investment)
Na Ya Pili Uwekezaji Wake ni Mdogo Pia.
Na Kwa Sababu Uwekezaji Wake ni Mdogo Kiasi cha Kuleta LROI Basi ni wazi kuwa HAIWEZI KUKUFIKISHA MBALI KIMAISHA.
Au..ili ikufikishe mbali unahitaji KUIFANYA MIAKA MINGI SANA Kwa Sababu Faida Yake (ROI) ni Ndogo.
Aina ya pili inaitwa "BREKTHROUGH BUSINESS"
Hii ni aina ya biashara itakayokuwezesha Kupata Upenyo Katika Maisha, Yaani "KUTOBOA"
Hii ni biashara ambayo itakupa UTAJIRI Na Maisha MAZURI Tena ndani ya MUDA MFUPI SANA!
Kwa Sababu....
Inatengeneza Faida Kubwa (High Return Of Investment)
Mara Nyingi Hela Uliyowekeza Inaweza Kujizalisha Hata Mara Tatu.
Mfano, Kupitia 10M Unatengeneza 30M
Biashara ya aina hii hata uwekezaji wake huwa unakuwa mkubwa.
Ndio Maana, Wengi Huwa Wanatumia SURVIVAL BUSINESS Kutengenezea BREAKTHROUGH BUSINESS.
Yaani...Unafanya Biashara Fulani Ambayo Itakuwa Inakupa Faida Ndogo.
Ile Faida Ndogo Unaenda Kuiwekeza Katika Biashara Itakayokupa Faida Kubwa
Simply ni Kwamba, Unatumia Biashara Fulani Kujenga Biashara Fulani.
Na Hivyo Ndivyo UTAJIRI UNAVYOTENGENEZWA.
Na Unatakiwa Ujue, Hii Ni Biashara Itakayonisaidia KUSUKUMA SIKU.
Afu Hii Ni Biashara Itakayonisaidia KUTOBOA KATIKA MAISHA.
Kuna watu wanafanya biashara miaka mingi ila HATUA ZAO NI NDOGO
Cause Hizo Sizo Biashara Zinazopaswa Kuwafanya WATOBOE.
Ila Zinawasaidia KUSURVIVE.
Kwahiyo, Utajiri Unapatikana Kwenye Biashara, Lakini Sio Kila Biashara Inaweza Kukupa Utajiri.
Zipo Biashara Zinazoweza Kukupa Utajiri Na Zipo Zinazokusaidia KUSURVIVE.
Wewe Unafanya Ipi?
NB; Unaweza Kufanya Survival Business na Ukatoboa (Ila Itakuchukua Miaka Mingi Sana)
Kwa Sababu ROI ni NDOGO MNO!
K**a Unataka Kuwa Tajiri...Swali la KujiulizaππΏ
Ni Biashara Zipi Zina "HIGH RETURN OF INVESTMENT" Ili Uwekeze Katika Hizo.
Nsumba Herbal Clinic
//
Mfakoshine Enterprises - T Ltd