16/10/2025
NI KIJANA WA KIUME, NINA UMRI WA KUOA
LAKINI MMMMHHH!! π₯Άπ
MSHAURI MZOEFU NA MWALIMU:
Umekua kijana mkubwa, Sasa uoe ili Mbaraka wa Bwana Ukukalie kichwani
KIJANA:
Shida wanawake pasua kichwa zama zetu hizi ni hatar Bora zenu.
Mshauri Mahusiano Ufoo K.:
Hata nyie wanaunaume ni pasua kichwa.
Hivyo mnapasuana mabichwa ππ
KIJANA:
Daaah na tunapasuana haswa yaaan ni balaaa π€£π€£π€£
Mshauri Mahusiano Ufoo K.:
Lakini hamna ni nyinyi wenyewe mumeenda mbali na Muumba
Hamjali Neno lake
KIJANA:
Aaah mambo yamebadilika sio kila homa ni malaria.
Saiz mambo ni tofauti sanaaa
Mshauri Mahusiano Ufoo K.:
Mambo yakibadilika
Unapaswa na wewe ubadilike
Kilichowa-cost Israelites kufia Jangwanani ni "Refused to Change their Egyptian mindset to Canaan Mindset"
Achana na "Enzi Zetu sisi wazazi wenu"
"Embrace Enzi Yenu"
Becoz:
Kila Enzi ina Good & evil zake. Kazi yako ni kuishi kwa Imani kuwa;
Warumi 8
28: Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na *wale wampendao* katika kuwapatia mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake.
Hakikisha upo kati ya "Wale Wampendao Bwana Mungu kwa Moyo Wote, Amekuita na upo ktk Kusudi Lake."
KIJANA:
Sure aisee. Uwezi Amin na mchungaji Leo kaongelea kitu k**a hiki k**a mlikuwa wote vile π₯π₯
Nmejifunza kitu
Mshauri Mahusiano Ufoo K.:
Bwana Yesu Asifiwe
Roho wa Mungu Anakuita Kumsikia na Kufanya Sawa sawa.
Kumbukumbu la Torati 28
1: Itakuwa utakaposikia sauti ya Bwana, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo Bwana, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;
2: na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya Bwana, Mungu wako.
NAKUENDELE MPAKA MSITARI WA 15.
Warumi 10
8 Lakini yanenaje? Lile neno li karibu nawe, katika kinywa chako, na katika moyo wako; yaani, ni lile neno la imani tulihubirilo.
9 Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
Waliookoka wengi wanaishi pasipo Imani kwa kuyatamka mabaya yanayoendelea kwenye jamii, yale ambayo ni kinyume na Neno la Jamie,
Kumkiri Bwana Yesu ni pamoja na kukiri Neno lolote la Biblia ili libadilishe hali zilizo kinyume na Ahadi za Mungu.
Isaya 11
3 na furaha yake itakuwa katika kumcha Bwana; wala hatahukumu kwa kuyafuata ayaonayo kwa macho yake, wala hataonya kwa kuyafuata ayasikiayo kwa masikio yake;
KWA HIYO MUNGU ROHO MTAKATIFU ANATAKA UUNGAME HAYO MAKOSA NA UMUOMBE TOBA (MSAADA TELE WA KUGEUKA ZABURI 46).
AMEN
Mshauri Mzoefu na Mwalimu:
Wasiliana Nasi Chat kwa +255758600428