Hazina Shambani

Hazina Shambani SHAMBA - ni ofisi ya kwanza kwa kuajiri watu wengi. Tanzania (asilimia 70 %). Lakini pia hutoa chak

15/09/2024
UHIFADHI WA MALISHO KWA NJIA YA HEI NA SAILEJIUhifadhi wa Malisho kwa  lengo la kuyatumia wakati wa uhitaji ni jambo muh...
13/07/2024

UHIFADHI WA MALISHO KWA NJIA YA HEI NA SAILEJI

Uhifadhi wa Malisho kwa lengo la kuyatumia wakati wa uhitaji ni jambo muhimu kwa mfugaji ili kuepuka vifo vya mifugo na hasara hasa wakati wa kiangazi.

Unaweza kuhifadhi malisho ya mifugo kwa njia ya HEI au kwa njia ya SAILEJI. Njia zote hizi zinahitaji uwelewa vizuri ili kulinda virutubisho vilivyomo kwenye malisho yanayotunzwa.

Kwa Elimu ya namna ya utengenezaji HEI na SAILEJI
Tupigie kwa Namba: 0652 807 632

12/07/2024

KARIBU UPATE MBEGU ZA MALISHO AINA YA JUNCAO.

KILO MOJA NI TSH 4,000/= TU

Tupigie kwa 0652 807 632

Hazina Shambani tuko pamoja nawe kwenye safari yako ya ufugaji bora.

Call now to connect with business.

Shamba la Malisho ya Mifugo VIKUGE ni sehemu sahihi kwako kupata huduma za Malisho ya Mifugo. Utapata Elimu , bidhaa k**...
17/01/2024

Shamba la Malisho ya Mifugo VIKUGE ni sehemu sahihi kwako kupata huduma za Malisho ya Mifugo. Utapata Elimu , bidhaa k**a Mbegu za nyasi, Mbegu za Mikunde kunde, Mbegu za miti malisho, Hei (Nyasi kavu) pamoja na Saileji (Malisho yaliyovundikwa)

Somo la kwanza: Sehemu ya 1 *YAFAHAMU MAJANI TEMBO* By  Charles Philip Dominick 0652807632 charlesdominick@gmail.comMaja...
05/10/2023

Somo la kwanza: Sehemu ya 1

*YAFAHAMU MAJANI TEMBO*

By Charles Philip Dominick
0652807632
[email protected]

Majani maarufu ya Mifugo yaitwayo Majani Tembo

Majani haya yana Majina Mengi k**a vile:

1. Pennisetum purpureum (Jina la Kisayansi)
2. Elephant Grass au Uganda Grass (Jina la kingereza)
3. Mabingobingo (Kiswahili)
4. Napier (Jina Maarufu Zaidi): Jina hili pia limetumiwa Zaidi na walioendeleza mbegu bora za majani haya;

a) Bana: Majani haya yaliitwa “Bana” kutokana na utafiti uliofanywa Africa Kusini, wa kuboresha sifa za majani haya.

Jina “Bana” ni zao la majina ‘Babala’ (Pennisetum Americanum) Pamoja na ‘Napier’ (Pennisetum purpureum). Kwahiyo ‘Ba’ ni Babala, ‘Na’ ni Napier.

Taasisi mbalimbali zimeendelea na kuboresha mbegu za majani haya na kwasasa tuna aina mbalimbali CHOTARA za majani haya zikiwemo;

i) French Cameroon – hii imepatikana baada ya tafiti zilizofanywa Magharibi mwa Africa

ii)Clone 13 – hii imepatikana Kenya kutokana na jitihada zilizofanywa na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Mifugo (ILRI).

iii) Kakamega 1 na 2 – Zote aina mbili ni mazao ya utafiti wa kituo cha Utafiti cha Kakamega kilichopo Kenya.

iv) Pakchong 1

V) Juncao

Na nyingine nyingi ambazo siwezi elezea hapa.

*MAMBO YA MUHIMU KUJUA*

1. Majani haya ndio maarufu Zaidi kuliko majani yoyote yale kwenye sekta ya Ufugaji

2. Majani haya ndio yenye wastani mkubwa Zaidi wa uzalishaji wa malisho katika eneo dogo.

3. Majani haya ndio muhimili mkubwa Zaidi wa wafugaji wa ng’ombe wa maziwa

Hujachelewa bado, anza safari nasi, tukufikishe unapopataka.
*Malisho ya Mifugo Tanzania (MAMITA)* , Tupo kwaajili yako

- Kukufundisha
- Kukuuzia mbegu
- Hata ukitaka tutakupandia Malisho

Tutafute kwa *_0652807632_* (Inapatikana Whatsapp)

Somo litaendelea ….

21/10/2022

For those planning to buy hay/silage OR any variety of fodder, please consider the following characteristics to get better fodder for your Animals.
THE FODDER CHARACTERISTICS USED IN QUALITY ASSESSMENT DURING PURCHASES
1. Color: Fodder that is deep green is considered to be of better quality.
2. Stage of maturity: The fodder should not be too young or too old.
3. Leaf-to-stem ratio: Better quality fodder should have a high amount of leaf compared to stem
4. Tenderness of the leaves: The leaves should be tender although not too lush.
5. Well preserved: Not rotten or with a foul smell
6. Lack of undesirable types of plants (e.g. poisonous, unappealing/unpalatable to the animal)
7. Fodder type: some types of fodder are more nutritious e.g. bean leaves. Buyers should select fodder to buy based on greenish and the presence of leguminous forage species in the bundle.
8. Effect on milk yield: for those who have lactating dairy cows, select fodder which have observable results in increasing milk production.

Address

Dumila
Morogoro

Telephone

+255652807632

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hazina Shambani posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Hazina Shambani:

Share