Kasherente TV

Kasherente TV Professional youtube coach

Comment ziwe fupifupi
12/05/2026

Comment ziwe fupifupi

NAOMBENI MNISAMEHE SANA JANA ZILIKUWA NI POMBE TU "DUDUBAYA"Msanii mkongwe Nchini Tanzania Dudubaya   amemuangukia Rais ...
12/05/2026

NAOMBENI MNISAMEHE SANA JANA ZILIKUWA NI POMBE TU "DUDUBAYA"

Msanii mkongwe Nchini Tanzania Dudubaya amemuangukia Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akimuomba msamaha pamoja na Professor Jay kwa maneno mabaya aliyoyatoa

"Ndugu yangu Prof Jay wewe ni kaka yangu tunaheshimiana sana tumeishi miaka mingi hatujawahi kugombania Clip ya Jana isitufanye tugombane...Tukipigiana Simu tunaitanaga wagonjwa na wewe unaniita mgonjwa mwenzangu lakini Jana nilikuwa nimelewa, Pombe ikanisababishia nitoe kauli chafu na mbaya kwako Kwa Jamii na Kwa familia Yako! naomba uniuwie Radhi sana wewe na Mama Lissa pamoja na Lissa.

Wewe pamoja na mkeo Tumeishi miaka mingi sana bila kugombana nakuomba tusigombane kwa sababu ya video clip ya Jana Nisamehe sana zilikuwa ni pombe.

Pia Nakuomba Msamaha sana Mheshimiwa Rais Kwa kukuingiza kwenye jambo Hilo, Nisamehe sana Mheshimiwa Rais kukuingiza kwenye jambo ambalo hata hauhusiki ilikuwa ni Pombe naomba Mnisamehe sana.

Na watanzania mliochumizwa na Hili naomba Mnisamehe sana na Viongozi mliochumizwa na Hili naomba Mnisamehe sana Mimi ni Binaadamu ni mkosefu k**a Binaadamu wengine.

Mwenyezimungu Ibariki Tanzania Mwenyezimungu Ibariki Afrika" Amesema Dudubaya Video kwenye comment ๐Ÿ“น

๐Ÿšจ ALIRUDI USIKU AKAKUTA UKUTA UMECHIMBWAโ€ฆ MILIONI 30 ZIMEPOTEA! ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ’”Kijana mmoja alirudi nyumbani usiku akiwa amechoka san...
12/05/2026

๐Ÿšจ ALIRUDI USIKU AKAKUTA UKUTA UMECHIMBWAโ€ฆ MILIONI 30 ZIMEPOTEA! ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ’”

Kijana mmoja alirudi nyumbani usiku akiwa amechoka sana kutoka kaziniโ€ฆ lakini alichokikuta ndani kilimfanya atetemeke kwa hofu!

Wezi walikuwa wametoboa ukuta wa nyumba yake kwa shimo kubwa la kutisha na kuiba milioni 30 zilizokuwa zimefichwa ndani ya sanduku. ๐Ÿ˜ญ

Lakini jambo lililomvunja moyo zaidi ni ujumbe waliouacha ukutani:

โ€œULITUONAโ€ฆ USISEME KWA MTU YEYOTE.โ€

Akiwa bado ameduwaa kwa huzuni na hofu, ghafla akasikia sauti nzito nyuma yake ikisema:

โ€œTumebakisha kitu kimoja tuโ€ฆ WEWE!โ€ ๐Ÿ˜จ

K**a ni wewe ungefanyaje?. Weka comment yako

Trending FearStory Huzuni ViralStory

๐Œ๐–๐ˆ๐‹๐ˆ ๐Œ๐–๐ˆ๐๐†๐ˆ๐๐„ ๐–๐€๐Ž๐Š๐Ž๐“๐–๐€ ๐Œ๐“๐Ž๐๐ˆInasikitisha kuona bado hata mwezi mmoja tangu mwili wa marehemu James Temba ukutwe ukiwa u...
12/05/2026

๐Œ๐–๐ˆ๐‹๐ˆ ๐Œ๐–๐ˆ๐๐†๐ˆ๐๐„ ๐–๐€๐Ž๐Š๐Ž๐“๐–๐€ ๐Œ๐“๐Ž๐๐ˆ

Inasikitisha kuona bado hata mwezi mmoja tangu mwili wa marehemu James Temba ukutwe ukiwa umekatwa kichwa, lakini jana tena mwili mwingine umeokotwa mtoni.
Ni wakati wa Watanzania kuungana kwa pamoja kumuomba MUNGU atuondolee matukio haya ya kikatili, huku tukiliomba Jeshi letu la Polisi kuongeza nguvu ili kubaini chanzo cha mauaji haya.
Pumzika kwa amani, kijana mwenzetu.
๐“๐š๐Ÿ๐š๐๐ก๐š๐ฅ๐ข ๐ญ๐š๐ณ๐š๐ฆ๐š ๐•๐ข๐๐ž๐จ ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐”๐ฐ๐š๐ง๐ฃ๐š ๐ฐ๐š ๐‚๐จ๐ฆ๐ฆ๐ž๐ง๐ญ.
๐๐š๐จ๐ฆ๐›๐š ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ค๐ž,๐ฌ๐ก๐š๐ซ๐ž ๐š๐ง๐ ๐œ๐จ๐ฆ๐ฆ๐ž๐ง๐ญ.
๐…๐จ๐ฅ๐ฅ๐จ๐ฐ ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ซ๐š๐ฌ๐š ๐ก๐ฎ๐ฎ.

WasafiFM wasafi

Kusema Binti yangu aolewe na kijana ambaye ana Degree 1 kwanza nasikia k**a matusi, yaani nik**a unanitukana maana hakun...
12/05/2026

Kusema Binti yangu aolewe na kijana ambaye ana Degree 1 kwanza nasikia k**a matusi, yaani nik**a unanitukana maana hakuna mtoto wangu asiye na PHD, Aiwezekani kuolewa na huyo mwanaume mwenye Degree 1 sababu atamuaribia mtoto wangu maisha bure.

Kwanza k**a yupo ajuwe kwangu asije yaani asije kabisaaaa!! Hakuna kuoa mtoto wangu bila PHD k**a unataka kumuoa mtoto wangu akikisha una PHD.

Maneno ya mama Muhaya "MAMA SHUBI" ๐Ÿ‘ฉโ€๐ŸŽ“

๐ŸŸฉ๐ŸŸจโฌ›TAARIFA RASMI KUTOKA YANGA SC...โœ๏ธRais na M/Kiti wa , Ghalib Said Mohamed amewasili Makao Makuu ya Klabu Jangwani kwa...
12/05/2026

๐ŸŸฉ๐ŸŸจโฌ›TAARIFA RASMI KUTOKA YANGA SC...โœ๏ธ

Rais na M/Kiti wa , Ghalib Said Mohamed amewasili Makao Makuu ya Klabu Jangwani kwa ajili ya kikao muhimu kinachokwenda kuweka alama muhimu katika historia ya Klabu yetu.


Mwanahabari Ronnie Santos Mwine kutoka Uganda anaripoti kuwa maafisa wa klabu ya Uturuki Fenerbahรงe SK wako Tanzania kwa...
12/05/2026

Mwanahabari Ronnie Santos Mwine kutoka Uganda anaripoti kuwa maafisa wa klabu ya Uturuki Fenerbahรงe SK wako Tanzania kwa siku nne wakimfuatilia kwa karibu nyota wa Young Africans SC, Allan Okello.

Sababu kubwa ya ujio wao ni kumtazama Okello ambaye tangu amejiunga na klabu ya Young Africans amekuwa na kiwango cha kuvutia kufuatia uwezo wake wa kufunga na kutoa pasi za mabao.

Maafisa hao wanatarajiwa pia kumuangalia tena katika mchezo mwingine zaidi kabla ya kufanya maamuzi.

Ameongeza kuwa Young Africans SC iko tayari kujadili dili hilo kwa dau linalokadiriwa kufikia dola milioni 3 kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Uganda.

ANATEMBEA NA WANAUME 5 KWA SIKU  KWASABABU YA MIKOPO YA KAUSHA DAMUHuyu Binti Mwenye umri wa miaka 27 amesema kuwa anaju...
12/05/2026

ANATEMBEA NA WANAUME 5 KWA SIKU
KWASABABU YA MIKOPO YA KAUSHA DAMU

Huyu Binti Mwenye umri wa miaka 27 amesema kuwa anajutia sana, alienda Dodoma kufanya kazi ila Cha ajabu mwenyeji wake alimuambia hakuna kazi akaanza kuwa anamtafutia wanaume.

Hela aliyo kuwa anaitafuta akawa anatuma kwao Kulipia madeni na Matumizi ya watoto wake wawili alio zaa na wanaume wawili.

Huyu Binti anasema Kwa siku anatembea na wanaume watatu mpaka watano na Kwa mwezi ana tembea na wanaume zaidi ya mia moja.

Binti pia anasema kilicho mfikisha hapo ni Mikopo ya Kausha Damu ambayo alikuwa akichukua, alikuwa anafanya kazi ya mama ntilie lakini ilifikia hatua akashindwa Kulipia ndo ikawa Sababu ya kukimbilia Dodoma kutafuta kazi ndo akajikuta ameingia kwenye Biashara hiyo.

Binti anaongea Kwa uchungu anasema anachoka na kajikatia tamaa ya maisha.

Dereva pikipiki mmoja ambaye hajafahamika majina yake huko katika Jiji la Arusha, ameingia kwenye uvungu wa kivuko (Culv...
12/05/2026

Dereva pikipiki mmoja ambaye hajafahamika majina yake huko katika Jiji la Arusha, ameingia kwenye uvungu wa kivuko (Culvert), na kisha kuhofiwa kufariki dunia, wakati akiwa anawahi kwenye shughuli zake Jijini humo.

Inaelezwa kuwa tukio hilo limetokea leo Mei 11, 2026, katika mtaa wa Siara kata ya Moshono Jijini Arusha.

Taarifa zaidi zitakujia.

Follow

๐Ÿšจ MSHTUKO MKUBWA DUNIANI! ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณRais Donald Trump anatarajiwa kumkabili moja kwa moja Rais wa China Xi Jinping kuhusu mada...
12/05/2026

๐Ÿšจ MSHTUKO MKUBWA DUNIANI! ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ

Rais Donald Trump anatarajiwa kumkabili moja kwa moja Rais wa China Xi Jinping kuhusu madai ya China kuendelea kuiunga mkono Iran wakati wa ziara yake rasmi nchini China! ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ”ฅ

Taarifa kutoka maafisa wa White House zinaeleza kuwa Trump anataka kuweka PRESHA kubwa kwa Beijing kuhusu uhusiano wake na Iran, hasa katika kipindi hiki ambacho mvutano wa Mashariki ya Kati umeendelea kuishtua dunia.

Ziara hiyo ya Trump nchini China inatajwa kuwa ya kihistoria na yenye mvutano mkubwa, huku masuala ya Iran, Taiwan, biashara, pamoja na ushawishi wa China duniani yakitarajiwa kutawala mazungumzo kati ya viongozi hao wawili wenye nguvu duniani.

Wachambuzi wa siasa za kimataifa wanasema mkutano huu unaweza kubadilisha kabisa mwelekeo wa mahusiano kati ya Marekani na China, hasa baada ya Marekani kuishutumu China kwa kuendelea kununua mafuta kutoka Iran licha ya vikwazo vya Marekani.

Follow ๐Ÿ‘‰

freedom USA China Trump XiJinping Iran

Hii inasaidia nini? Huyo ni Mchezaji wa timu ya Gor mahia queens ๐Ÿ‘‘.
12/05/2026

Hii inasaidia nini?
Huyo ni Mchezaji wa timu ya Gor mahia queens ๐Ÿ‘‘.

Address

Moshi

Telephone

+255656179490

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kasherente TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kasherente TV:

Share