Bax Official

Bax Official Now is the time for business

remembere to like,comments and share this
17/03/2020

remembere to like,comments and share this

Corona in Africa Tz included
17/03/2020

Corona in Africa Tz included

Covid 19
17/03/2020

Covid 19

16/03/2020
16/03/2020

Namba za kupiga simu bure endapo utaona una dalili au utaona mtu mwenye dalili za Ugonjwa wa Korona

0800110124
0800110125
Namba hizi kupiga Ni bure hata k**a hauna salio kwenye simu yako.

DALILI ZA UGONJWA WA CORONA

Dalili zionekanazo mara kwa Mara:
• Homa
• Kikohozi kibichi
• Uhemaji wa tabu
• Maumivu ya mwili
• Kuuma kwa koo mfano wa
matonses (tonsillitis)
• Kukosa hamu ya kula

Dalili za mara chache:
• Kuhara
• Kutapika
• Kichwa kuuma
• Kukohoa damu
• Maumivu ya kifua

Nani hupatwa na korona?

• Watu wote (wakike kwa kiume) waweza
kudhurika na korona
• Wenye maradhi yanayoshusha kinga mwili huwa na hatari kubwa Zaidi.
• Wazee pia wapo katika hatari kubwa kupatakorona kwani wana kingamwili hafifu.

KINGA:

• Kuosha mikono vizuri kwa maji safi na sabuni
• Tumia vikinga pua na mdomo (masks) ikiwa unahudumia washukiwa wa korona.
• Epuka kugusa na kurekebisha kikinga mdomo na pua (mask) na uso.
• Zingatia walau umbali wa futi 6 kutoka kwa mgonjwa mwenye korona
• Hakuna chanjo mpaka sasa

Kirusi cha korona katika mwili wa
binadamu:

• Huchukua siku 2 mpaka 14 (wastani siku 5) kwa binadamu kuanza kuonesha dalili baada ya kuambukizwa na virusi vya korona (incubation perion)
• Huambukizwa kwa njia ya matone yatokanayo kwa kukohoa au kugusana moja kwa moja.
• Epuka kusalimiana kwa mikono

WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO

😁😁😀Nauza. Smartphone hizo kwa Bei K**a bure 😜😜6700000000\=😂😂😂😂😂
20/10/2019

😁😁😀Nauza. Smartphone hizo kwa Bei K**a bure 😜😜
6700000000\=😂😂😂😂😂

Work hard pray hardKesho ni zamu yako
20/10/2019

Work hard pray hard
Kesho ni zamu yako

Address

Ghana
Mwanza

Telephone

+255653356313

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bax Official posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share